Sumbawanga (mji)
From Wikipedia
Sumbawanga ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Rukwa. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 147,483 [1].
Sumbawanga ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Rukwa. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 147,483 [1].