Blaise Compaoré

From Wikipedia

Blaise Compaoré mwaka wa 2003
Blaise Compaoré mwaka wa 2003

Blaise Compaoré (amezaliwa 3 Februari, 1951) ni Rais wa nchi ya Burkina Faso tangu 15 Oktoba, 1987. Alimfuata Thomas Sankara.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Blaise Compaoré" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Blaise Compaoré kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.