Port Vila

From Wikipedia

Ramani ya Port Vila na Vanuatu.
Ramani ya Port Vila na Vanuatu.

Port Vila ni mji mkuu wa nchi ya visiwani vya Vanuatu katika Pasifiki ya kusini. Anwani ya kijiografia ni 17°45′S 168°18′E. Kuna wakazi 29,356.

Port Villa iko kwenye mwambao wa kusini wa kisiwa cha Efate. Ni mahali penye bandari kubwa na uwanja wa ndege muhimu wa nchi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Port Vila" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Port Vila kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.