Alphege Mtakatifu

From Wikipedia

Alphege Mtakatifu (takriban 954 – 19 Aprili, 1012) alikuwa askofu mkuu katika mji wa Canterbury. Jina lake pia huandikwa “Aelfheah”. Alitambuliwa kuwa mtakatifu baada ya kuuawa na Wadenmark. Sikukuu yake ni 19 Aprili.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Alphege Mtakatifu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Alphege Mtakatifu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine