Luis Alvarez
From Wikipedia
Luis Walter Alvarez (13 Juni, 1911 – 1 Septemba, 1988) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine, alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1968 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Luis Walter Alvarez (13 Juni, 1911 – 1 Septemba, 1988) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine, alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1968 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.