Kisarawe
From Wikipedia
Wilaya ya Kisarawe ni wilaya moja ya Mkoa wa Pwani. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 95,614 [1].
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kisarawe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kisarawe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |