Eduard Buchner

From Wikipedia

Eduard Buchner
Eduard Buchner

Eduard Buchner (20 Mei, 186013 Agosti, 1917) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza kimeng'enya cha hamira. Mwaka wa 1907 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Eduard Buchner" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Eduard Buchner kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.