Paul Heyse
From Wikipedia
Paul Johann Ludwig von Heyse (15 Machi, 1830 – 2 Aprili, 1914) alikuwa mwandishi hodari kutoka nchi ya Ujerumani. Anajulikana hasa kwa riwaya fupi zake mbalimbali. Mwaka wa 1910 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Paul Johann Ludwig von Heyse (15 Machi, 1830 – 2 Aprili, 1914) alikuwa mwandishi hodari kutoka nchi ya Ujerumani. Anajulikana hasa kwa riwaya fupi zake mbalimbali. Mwaka wa 1910 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.