Kenya Commercial Bank

From Wikipedia

Nembo
Nembo

Kenya Commercial Bank (KCB) ni kati ya benki kubwa za Kenya. Makao makuu yapo Nairobi.

KCB ina matawi kote nchini. Serikali inashika 26% za hisa.

Katika miaka iliyopita KCB ilipoteza pesa nyingi kwa kutoa mikopo kwa watu waliokosa nia au uwezo wa kurudisha pesa.


[edit] Viungo vya Nje

Lugha nyingine