Mwanza (mji)

From Wikipedia

Mwanza ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mwanza. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 378,327 (ukijumlisha wakazi wa Wilaya ya Nyamagana na sehemu za Wilaya ya Ilemela).

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mwanza (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mwanza (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.