Jules Bordet

From Wikipedia

Jules Bordet
Jules Bordet

Jules Bordet (13 Juni, 18706 Aprili, 1961) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ubelgiji. Hasa alichunguza virusi visababishavyo magonjwa mbalimbali. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Jules Bordet" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jules Bordet kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.