Cuthbert Mayne

From Wikipedia

Cuthbert Mayne (154430 Novemba, 1577) alikuwa mchungaji ndani ya Kanisa la Anglikana la Uingereza kabla hajabadilisha kuwa padre Mkatoliki. Hii ilimsababisha kuuawa chini ya sheria ya Malkia Elizabeth II. Mwaka wa 1970 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 25 Oktoba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Cuthbert Mayne" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Cuthbert Mayne kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.