Wasuba
From Wikipedia
Wasuba ni kabila kutoka eneo la Ziwa Viktoria, nchini Tanzania, karibu na mpaka wa Kenya. Mwaka 1987 idadi ya Wasuba ilikadiriwa kuwa 30,000 [1]. Lakini wengi zaidi huishi nchini Kenya, idadi yao ni 129,000. Lugha yao ni Kisuba.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wasuba" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wasuba kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |