George Gershwin

From Wikipedia

George Gershwin (26 Septemba, 189811 Julai, 1937) alikuwa mtungaji wa muziki kutoka nchi ya Marekani. Alitunga nyimbo nyingi zilizoathiriwa na mitindo ya Jazz. Pia alitunga opera moja iitwayo Porgy na Bess. Aliaga dunia mapema baada ya kupatwa na kansa ya ubongo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "George Gershwin" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu George Gershwin kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.