1874
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 5 Januari - Joseph Erlanger (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1944)
- 15 Aprili - Johannes Stark (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1919)
- 25 Aprili - Guglielmo Marconi (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1909)
- 15 Novemba - August Krogh (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1920)
- 30 Novemba - Winston Churchill (Waziri Mkuu wa Uingereza, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1953)