Jumapili

From Wikipedia

Siku ya Sabato. Kwa wakristu, siku ya sala kwa kawaida ni Jumapili. Siku hiyo ni siku ya mapumziko kwa wakristo wengi, pia Kwa wakristu wengi ni siku ya kwenda kanisani. Wakristo huhimiza siku hii ni siku ya kumshukuru Mungu kwa wiki ya kazi, afya njema, na mambo yote mazuri ambayo yamewatokea katika wiki inayopita.

Katika Bibilia, Mungu aliwapa wana wa israeli amri kumi. Katika amri hizi moja wapo ni kuitunza siku ya saba ya wiki kama siku ya sabato (angalia Kutoka20:8-11). Katika Bibilia, yasemekana yakwamba, Mungu aliumba dunia, bingu na nchi na vyote vilivyomo kwa siku sita, siku ya saba akapumzika.--131.158.129.20 07:15, 26 Machi 2007 (UTC)Elvis G.