1519
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 4 Machi - Hernan Cortes anafika Mexiko.
- 28 Juni - Mfalme Carlos I wa Hispania amekuwa Kaisari wa Dola Takatifu la Roma akitawala kama Karolo V hadi 1556.
- 4 Julai - Martin Luther anapinga mamlaka ya Papa katika majadiliano yake na Yohane Eck mjini Leipzig (Ujerumani)
- 8 Novemba - Hernan Cortez anafika Tenochtitlan (Mexiko) akipokelewa kama mungu. Atachoma mji na kuijenga upya kama Mji wa Mexiko.