1900
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 13 Machi - Giorgos Seferis (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1963)
- 25 Aprili - Wolfgang Pauli (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1945)
- 17 Mei - Ayatollah Ruhollah Khomeini aliyekuwa kiongozi wa mapinduzi ya Uajemi ya 1979
- 5 Juni - Dennis Gabor (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1971)
- 29 Juni - Antoine de Saint-Exupery mwandishi Mfaransa
- 29 Julai - Eyvind Johnson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1974)
- 25 Agosti - Hans Krebs (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953)
- 3 Desemba - Richard Kuhn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1938)