Julian Schwinger
From Wikipedia
Julian Schwinger (12 Februari, 1918 – 16 Julai, 1994) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza nguvu za umeme na nadharia ya kwanta. Mwaka wa 1965, pamoja na Richard Feynman na Shinichiro Tomonaga alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.