Maria Goeppert-Mayer

From Wikipedia

Maria Goeppert-Mayer (28 Juni, 190620 Februari, 1972) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa Ujerumani na kuhamia Marekani mwaka wa 1930 baada ya kuolewa na Mmarekani Joseph Mayer. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1963, pamoja na J. Hans D. Jensen na Eugene Wigner alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Maria Goeppert-Mayer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Maria Goeppert-Mayer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.