Wilaya ya Kibaha

From Wikipedia

Wilaya ya Kibaha ni wilaya moja ya Mkoa wa Pwani. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 132,045 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Kibaha" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Kibaha kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine