Robert Woodrow Wilson

From Wikipedia

Robert Woodrow Wilson (amezaliwa 10 Januari, 1936) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza mnururisho wa nyota. Mwaka wa 1978, pamoja na Arno Penzias na Pyotr Kapitsa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Robert Woodrow Wilson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Robert Woodrow Wilson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.