Imre Kertész

From Wikipedia

Imre Kertesz (amezaliwa 9 Novemba, 1929) ni mwandishi kutoka nchi ya Hungaria. Hasa ameandika riwaya kuhusu maisha ya Wayahudi wakati wa ukatili wa WaNazi. Mwaka wa 2002 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Imre Kertész" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Imre Kertész kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.