Morogoro (mji)
From Wikipedia
Mji wa Morogoro ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Morogoro. Kulingana na sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 228,863 [1].
Mji wa Morogoro ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Morogoro. Kulingana na sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 228,863 [1].