Gabriel Lippmann
From Wikipedia
Gabriel Lippmann (16 Agosti, 1845 – 13 Julai, 1921) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza taalamu ya kupiga picha kwa rangi. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Gabriel Lippmann (16 Agosti, 1845 – 13 Julai, 1921) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza taalamu ya kupiga picha kwa rangi. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.