Wanyiha

From Wikipedia

Wanyiha ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Mbozi. Pia wako Zambia. Lugha yao ni Kinyiha.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wanyiha" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wanyiha kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine