Harold Pinter

From Wikipedia

Harold Pinter (amezaliwa 10 Oktoba, 1930) ni mwandishi wa michezo ya kuigiza kutoka nchi ya Uingereza. Mwaka wa 2005 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Harold Pinter" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Harold Pinter kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.