Warungwa
From Wikipedia
Warungwa ni kabila kutoka eneo la wilaya ya Mpanda, mkoa wa Rukwa, magharibi ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Warungwa ilikadiriwa kuwa 18,000 [1]. Lugha yao ni Kirungwa.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Warungwa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Warungwa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |