Karl Adolph Gjellerup

From Wikipedia

Karl Adolph Gjellerup (2 Juni, 185711 Oktoba, 1919) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Denmark. Aliandika hasa kuhusu mambo ya dini. Mwaka wa 1917, pamoja na Henrik Pontoppidan alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Karl Adolph Gjellerup" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Karl Adolph Gjellerup kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.