Festus Gontebanye Mogae

From Wikipedia

Festus Mogae alipomtembelea George W. Bush mwaka wa 2005
Festus Mogae alipomtembelea George W. Bush mwaka wa 2005

Festus Gontebanye Mogae (amezaliwa 21 Agosti, 1939) ni Rais wa nchi ya Botswana tangu 1 Aprili, 1998. Alimfuata Quett Masire.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Festus Gontebanye Mogae" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Festus Gontebanye Mogae kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.