622

From Wikipedia

[edit] Matukio

  • 20 Septemba - Muhammad anafika Madina anapopokelewa vzuri na kuwa kiongozi wa mji pamoja na Umma wa wafuasi wake
  • Vita kati ya Uajemi na Bizanti: Kaisari Herakleios anaongoza mashumbulizi ya Waroma.

[edit] Waliozaliwa

[edit] Waliofariki

  • 8 Aprili: kifo cha Shotoku Kaishi, mwana wa nasaba ya kifalme wa Japani aliyekuwa kati ya wafuasi wa kwanza wa Ubuddha nchini Japani