Edith Stein

From Wikipedia

Mtakatifu Teresa Benedikta wa Msalaba
Mtakatifu Teresa Benedikta wa Msalaba

Edith Stein (12 Oktoba, 1891 – 9 au 10 Agosti, 1942) alikuwa mtawa wa kike na mwanafalsafa. Jina lake la utawa lilikuwa Teresa Benedikta wa Msalaba (kwa Kilatini: Teresia Benedicta A Cruce). Aliuawa na wafuasi wa Nazi katika kambi ya wafungwa wa siasa kule Auschwitz. Mwaka wa 1998 alitangazwa kuwa mtakatifu.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Edith Stein" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Edith Stein kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.