Wakahe
From Wikipedia
Wakahe ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Kilimanjaro, karibu na mji wa Moshi. Lugha yao ni Kikahe.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wakahe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wakahe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |