Walambya
From Wikipedia
Walambya ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Ileje. Pia wako Malawi. Lugha yao ni Kilambya.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Walambya" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Walambya kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |