Julian Schwinger

From Wikipedia

Julian Schwinger (12 Februari, 191816 Julai, 1994) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza nguvu za umeme na nadharia ya kwanta. Mwaka wa 1965, pamoja na Richard Feynman na Shinichiro Tomonaga alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Julian Schwinger" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Julian Schwinger kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.