Wilaya ya Njombe

From Wikipedia

Wilaya ya Njombe ni wilaya moja ya Mkoa wa Iringa. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 420,348 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Njombe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Njombe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine