Lituanya
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: Tautos jėga vienybėje! "Nguvu ya Taifa ni Umoja!" |
|||||
Wimbo wa taifa: Tautiška giesmė | |||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | ![]() |
||||
Mji mkubwa nchini | Vilnius | ||||
Lugha rasmi | Kilithuania | ||||
Serikali | Jamhuri, serikali ya kibunge Valdas Adamkus Gediminas Kirkilas |
||||
Uhuru Ilitangazwa Ilitangazwa Ilikubaliwa |
16 February 1918 11 Machi 1990 6 Septemba 1991 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
65,303 km² (ya 123) 1,35% |
||||
Idadi ya watu - 2006 kadirio - Msongamano wa watu |
3,483,972 (ya 125) 55/km² (ya 113) |
||||
Fedha | Litas (Lt) (LTL ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
EET (UTC+2) EEST (UTC+3) |
||||
Intaneti TLD | .lt1 | ||||
Kodi ya simu | +370 |
||||
1 Pia .eu pamoja na nchi za Umoja wa Ulaya |
Litwania(au pia Lituania) ni nchi iliyoko Kaskazini Mashariki mwa Ulaya. Inajulikana rasmi kama Jamhuri ya Lituania.
[edit] Mji mkuu
Mji mkuu wa Litwania ni Vilnius.
[edit] Miji
[edit] Historia
1922 - 1991 nchi ilikuwa jamhuri mwanachama wa Umoja wa Kisovyeti na kabla hayo sehemu ya Dola la Urusi.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Lituanya" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Lituanya kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Lituanya" ni fupi mno. Inahitaji kupanushwa karibuni. |
Categories: Mbegu | Fupi | Nchi za Ulaya | Litwania