1896
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 1 Machi - Waethiopia chini ya Negus Menelik II wanashinda jeshi la Italia karibu na mji wa Adwa
[edit] Waliozaliwa
- 28 Februari - Philip Hench (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950)
- 4 Aprili - Robert Sherwood (mwandishi Mmarekani)
- 12 Oktoba - Eugenio Montale (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1975)
[edit] Waliofariki
- 10 Desemba - Alfred Nobel (mhandisi Msweden, na mwanzishaji wa Tuzo ya Nobel)