Belize (mto)

From Wikipedia

Mto Belize (pia:Mto Mzee) ni mto muhimu zaidi nchini Belize mwenye urefu wa 290 km.

Una chanzo chake ambako mito ya Mopan na Macal inapokutana ndani ya Guatemala. Mashua huwezu kuvuka mto kutoka mdomo kwenye bahari ya Karibi hadi mpaka wa Beliza na Guatemala.

Bonde la mto linajaa misitu minene.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Belize (mto)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Belize (mto) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.