Ernest Orlando Lawrence

From Wikipedia

Ernest O. Lawrence
Ernest O. Lawrence


Ernest Orlando Lawrence (8 Agosti, 190127 Agosti, 1958) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alifanya utafiti wa fizikia ya kiini. Mwaka wa 1939 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Mwaka wa 1941 alifaulu kutenganisha isotopu za elementi ya urani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ernest Orlando Lawrence" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ernest Orlando Lawrence kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.