Port Moresby

From Wikipedia

Ramani ya Papua Guinea Mpya na Port Moresby
Ramani ya Papua Guinea Mpya na Port Moresby

Port Moresby (9°30′S 147°12′E) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Papua Guinea Mpya. Kuna wakazi 255,000 (2000). Mji uko mwambanoni wa ghuba ya Papua upande wa kusini-mashariki wa kisiwa cha Guinea Mpya.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Port Moresby" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Port Moresby kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.