Gimba la angani
From Wikipedia
Gimba la angani ni jina kwa ajili ya magimba yanayopatikana katika anga ya ulimwengu.
Kati ya vitu hivi huhesabiwa:
Haya yote ni magimba asilia. Vitu angani vilivyotengenezwa na binadamu ni vyombo vya angani ingawa kuna swali kama mabaki kutokana na vyombyo vya angani vilivyovunjika au takataka kutokana safari za angani yanastahili kuitwa kwa neno hili.
Elimu ya magimba ya angani ni falaki.