Usultani
From Wikipedia
Usultani ni nchi au eneo chini ya mamlaka ya Sultani. Katika mazingira ya Kiislamu jina limelingana mara nyingi na "Ufalme" ingawa limetumiwa pia na watawala wa ngazi za chini.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Usultani" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Usultani kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Categories: Mbegu | Uislamu | Serikali