Aloysius Gonzaga

From Wikipedia

Aloysius Gonzaga (9 Machi, 156821 Juni, 1591) alikuwa mtawa katika shirika la Wajesuit kutoka nchi ya Italia. Mwaka wa 1726 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 21 Juni.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Aloysius Gonzaga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Aloysius Gonzaga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.