Mtakatifu Marko
From Wikipedia
Mtakatifu Marko (karne 1 BK) ndiye aliyeandika kitabu cha pili cha injili katika Biblia. Mama yake alikuwa mkristo wa kwanza Jerusalemu. Alifanya kazi na mtume Paulo kuhubiri injili katika miji ya Roma alifariki wakati akifanya kazi hiyo huko Alexandria, Misri.