1773

From Wikipedia

[edit] Matukio

  • 12 Januari - Jumba la makumbusho (museum) la kwanza la Marekani lilifumguliwa hadharani katika mji wa Charleston, jimbo la South Carolina.
  • 17 Januari - Rubani James Cook ni Mzungu wa kwanza kuvuka mstari wa Antaktiki.
  • 16 Desemba - Wakoloni katika mji wa Boston kule Marekani wanavamia meli na kusababisha Sherehe ya Chai ya Boston (Boston Tea Party).

[edit] Waliozaliwa

[edit] Waliofariki