Fredrik Bajer

From Wikipedia

Fredrik Bajer (21 Aprili, 183722 Januari, 1922) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Denmark. Mwaka wa 1908, pamoja na Klas Pontus Arnoldson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Fredrik Bajer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Fredrik Bajer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.