Philipp Lenard

From Wikipedia

Philipp Lenard (mnamo 1905)
Philipp Lenard (mnamo 1905)

Philipp Eduard Anton Lenard (7 Juni, 186220 Mei, 1947) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Alitayarisha misingi ya nadharia za elektroni. Pia aliipinga nadharia ya Albert Einstein (Relativity Theory). Mwaka wa 1905 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Philipp Lenard" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Philipp Lenard kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.