Wilhelm Wien

From Wikipedia

Wilhelm Wien (1911)
Wilhelm Wien (1911)
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Wilhelm Wien (13 Januari, 186430 Agosti, 1928) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza mambo ya mnururisho. Mwaka wa 1911 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilhelm Wien" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilhelm Wien kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.