1948
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 1 Aprili - Jimmy Cliff, mwanamuziki kutoka Jamaika
- 15 Mei - Brian Eno, mwanamuziki wa Uingereza
- 1 Novemba - Amani Abeid Karume, Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar tangu mwaka wa 2000
bila tarehe
- Penina Muhando, mwandishi Mtanzania
[edit] Waliofariki
- 30 Januari - Mahatma Gandhi anauawa na Mhindu mkali anayechukia jitihada za Ghandi za kutunza umoja wa Uhindi na haki kwa ajili ya Waislamu Wahindi.