Warangi
From Wikipedia
Warangi ni kabila kutoka mkoa wa Dodoma, ulioko katikati ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1999 idadi ya Warangi ilikadiriwa kuwa 350,000 [1].
Kirangi ni lugha ya Warangi, ambacho kinaitwa Kilaangi kwa lugha yao.
Kuhusu utamaduni wa Warangi, kijitabu kimetolewa juu ya vifaa vya zamani, kama kirindo, kipekecho na vinginevyo.
[edit] Marejeo
- Yovin Maingu na Brunhilde Bossow, 2006 "Mazingira ya Warangi na Wajerumani wa Kale", Kutolewa na Heimat- und Kulturverein Gellersen (Shirika la Historia na Utamaduni za Vijiji vya Gellersen, Ujerumani)
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Warangi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Warangi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |