Kibungu
From Wikipedia
Kibungu (pia huitwa Kiwungu) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wabungu.
[edit] Mfumo wa Sauti (Fonolojia)
Lugha ya Kibungu ina irabu 7 na konsonanti 23. Pia kuna toni (au mawimbi ya sauti) zinazotofautisha maana ya nomino fulani na nyakati za vitenzi.
[edit] Viungo vya nje
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=wun
- http://www.african.gu.se/tanzania/weblinks.html
- http://www.linguistics.berkeley.edu/CBOLD/Docs/TLS.html (tovuti hiyo ina msamiati wa Kibungu)
[edit] Marejeo
- Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kibungu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kibungu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |