Wilaya ya Ilala

From Wikipedia

Wilaya ya Ilala ni wilaya moja ya Mkoa wa Dar es Salaam. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 637,573 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Ilala" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Ilala kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine