Wapare

From Wikipedia

Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini ya nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wapare" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wapare kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine