Bukoba Mjini

From Wikipedia

Wilaya ya Bukoba Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Kagera. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 81,221 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bukoba Mjini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bukoba Mjini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.