Musoma vijijini

From Wikipedia

Wilaya ya Musoma Vijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Mara. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 330,953 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Musoma vijijini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Musoma vijijini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine