Ulanga

From Wikipedia

Wilaya ya Ulanga ni wilaya moja ya Mkoa wa Morogoro. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 194,209 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ulanga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ulanga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine