Murray Gell-Mann
From Wikipedia
Murray Gell-Mann (amezaliwa 15 Septemba, 1929) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alikuwa wa kwanza kutumia jina la quark kwa sehemu za atomu. Mwaka wa 1969 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Murray Gell-Mann (amezaliwa 15 Septemba, 1929) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alikuwa wa kwanza kutumia jina la quark kwa sehemu za atomu. Mwaka wa 1969 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.