Louis Neel

From Wikipedia

Louis Eugene Felix Néel (22 Novemba, 190417 Novemba, 2000) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza sifa za usumaku. Mwaka wa 1970, pamoja na Hannes Alfven alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Louis Neel" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Louis Neel kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.