Mesopotamia

From Wikipedia

Mesopotamia ni neno lenye asili ya Kigiriki lenye maneno asilia ya "meso" (kati ya) na "potamia" (mto, mito), hivyo ni "nchi kati ya mito". Mito hii ni Frati na Hidekeli.

Mesopotamia ilikuwa kati ya nchi penye utamaduni wa kujenga miji ya kwanza kabisa duniani kama vile Sumeri na Babeli.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mesopotamia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mesopotamia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.