Bjørnstjerne Bjørnson

From Wikipedia

Bjørnstjerne Martinius Bjørnson (8 Desemba, 183226 Aprili, 1910) alikuwa mwandishi, mshairi na mhariri kutoka nchi ya Norwei. Katika Norwei ya karne ya 19, Bjørnson alikuwa mwandishi mkuu wa pili baada ya Henrik Ibsen. Mwaka wa 1903 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bjørnstjerne Bjørnson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bjørnstjerne Bjørnson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.