Hans Buchner

From Wikipedia

Hans Ernst August Buchner (16 Desemba, 18505 Aprili, 1902) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza virusi visababishavyo magonjwa na damu ya binadamu. Alikuwa kaka ya Eduard Buchner aliyepokea Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1907.

Asichanganywe na mtungaji muziki Mjerumani wa karne ya 15, Hans Buchner.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hans Buchner" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hans Buchner kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine