Koikoi

From Wikipedia

Koikoi
Koikoi kijivu
Koikoi kijivu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Ciconiiformes (Ndege kama makorongo)
Familia: Ardeidae (Ndege walio na mnasaba na koikoi)
Jenasi: Ardea (Koikoi)
Linnaeus, 1758
Spishi: Angalia katiba

Koikoi ni ndege wakubwa wa jenasi Ardea ndani ya familia Ardeidae wenye miguu mirefu na domo refu na nyembamba. Hupinda shingo yao wakiruka angani. Ndege hawa wana rangi nyeupe, kijivu na nyeusi. Spishi zenye rangi ya kahawiachekundu huitwa pondagundi pia. Spishi ingine nyeupe kabisa inaitwa msuka. Ilikuwa imeainishwa ndani ya jenasi Egretta mpaka juzi. Koikoi hupenda kula samaki lakini hula wanyama wadogo pia, kama vyura, mijusi na nyoka. Hujenga matago yao kwa matawi juu ya miti.

[edit] Spishi za Afrika

[edit] Spishi za mabara mengine

  • Ardea cocoi (Cocoi Heron)
  • Ardea herodias (Great Blue Heron)
  • Ardea insignis (White-bellied Heron)
  • Ardea pacifica (White-necked or Pacific Heron)
  • Ardea picata (Pied Heron)
  • Ardea sumatrana (Great-billed Heron)

[edit] Picha