Wapogolo
From Wikipedia
Wapogolo ni kabila kutoka kusini-kati ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wapogolo ilikadiriwa kuwa 185,000 [1]. Lugha yao ni Kipogolo.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wapogolo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wapogolo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |