Tanomura Chikuden

From Wikipedia

Tanomura Chikuden (14 Julai, 177720 Oktoba, 1835) alikuwa mchoraji maarufu kutoka nchi ya Japani. Jina lake la asili lilikuwa Tanomura Koken. Hasa alichora maua, ndege na mandhari.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Tanomura Chikuden" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Tanomura Chikuden kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.