Abidani
From Wikipedia
Abidani alikuwa kiongozi wa kabila la Benyamini anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 22.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Abidani" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Abidani kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |