Amani Abeid Karume
From Wikipedia
Amani Abeid Karume (amezaliwa 1 Novemba, 1948) ni rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar tangu mwaka wa 2000. Mwaka wa 2005 alichaguliwa mara ya pili. Baba yake, Abeid Amani Karume, alikuwa rais wa kwanza wa Zanzibar.