Maurice Maeterlinck

From Wikipedia

Maurice Polydore Marie Bernard Maeterlinck (29 Agosti, 18625 Mei, 1949) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Ubelgiji. Mwaka wa 1911 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Maurice Maeterlinck" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Maurice Maeterlinck kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.