Lord Rayleigh

From Wikipedia

Lord Rayleigh (12 Novemba, 184230 Juni, 1919) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa John William Strutt. Baadhi ya utafiti mwingine aligundua elementi ya agoni. Mwaka wa 1904, pamoja na William Ramsay alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Lord Rayleigh" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Lord Rayleigh kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.