Kupro

From Wikipedia

Κυπριακή Δημοκρατία (Greek)
Kypriakí Dhimokratía
Kıbrıs Cumhuriyeti (Turkish)

Jamhuri ya Kupro
Flag of Kupro Nembo ya Kupro
Bendera Nembo
Wito la taifa: none
Wimbo wa taifa: Ύμνος εις την Ελευθερίαν
imnos is tin eleftherian
Wimbo la uhuru1
Lokeshen ya Kupro
Mji mkuu Nikosia
35°08′ N 33°28′ E
Mji mkubwa nchini Nikosia
Lugha rasmi Kigiriki, Kituruki
Serikali Jamhuri
Tassos Papadopoulos
Uhuru
Tarehe
16 Agosti 1960
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
9,251 km² (ya 167)
--
Idadi ya watu
 - 2006 kadirio
 - 2005 sensa
 - Msongamano wa watu
 
784,301 (ya 157)
835,000
90/km² (ya 105)
Fedha Cyprus Pound (CYP)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)
Intaneti TLD .cy3
Kodi ya simu +357
1 Sawa na wimbo la taifa la Ugiriki
Ramani ya Kupro
Ramani ya Kupro

Kupro (pia: Kuprosi, Kipro, Saiprasi, Cyprus) ni nchi ya kisiwani kwenye Mediteranea. Kijiografia ni sehemu ya Asia lakini kiutamaduni na kisiasa ni sehemu ya Ulaya. Mji mkuu ni Nikosia.

Wakazi walio wengi hutumia lugha ya Kigiriki, wengine Kituruki. Tangu vita ya Kupro ya 1974 kisiwa kimegawiwa. Kaskazini imetawaliwa na Jamhuri ya Kituruki ya Cyprus ya Kaskazini kisichotambuliwa kimataifa.

[edit] Viungo vya Nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kupro" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kupro kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


Nchi na maeneo ya Ulaya
Albania | Andorra | Austria | Belarus | Bosnia na Herzegovina | Bulgaria | Kroatia | Denmark | Eire | Estonia | Ufaransa | Hungaria | Iceland | Italia | Jamhuri ya Masedonia | Latvia | Liechtenstein | Lithuania | Luxemburg | Malta | Moldova | Monako |Montenegro | Norway | Poland | Romania | San Marino | Serbia3 | Slovakia | Slovenia | Hispania | Ubelgiji | Uceki | Ufini | Ugiriki | Ujerumani | Uholanzi | Ureno | Urusi1 | Uswidi | Uswisi | Ukraine | Uingereza | Vatikani

Maeneo ya Ulaya ya kujitawala chini ya nchi nyingine: Visiwa vya Faroe | Gibraltar | Guernsey | Jan Mayen | Jersey | Isle of Man | Svalbard

Nchi za Asia ambazo ni mwanachama wa baraza la Ulaya au vyombo vingine vya Ulaya: Armenia2 | Azerbaijan1 || Cyprus2 | Georgia1 | Kazakhstan1 | Uturuki1

Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa: Abkhazia | Nagorno-Karabakh2 | Ossetia ya Kusini | Transnistria | Jamhuri ya Kituruki ya Kupro ya Kaskazini2

Maelezo: (1) nchi ya kimabara katika Asia na Ulaya; (2) nchi katika eneo la Asia ya Magharibi (kufuatana na kanda za UM) lakini kiutamaduni huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya; (3) Inaelekea kugawiwa kuwa nchi mbili za Serbia na Montenegro

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: