William Ramsay

From Wikipedia

William Ramsay
William Ramsay

William Ramsay (2 Oktoba, 185223 Julai, 1916) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alivumbua na kuchunguza elementi za gesi, yaani neoni, agoni, kriptoni na xenoni. Mwaka wa 1904 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "William Ramsay" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu William Ramsay kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.