Sharjah

From Wikipedia

Bendera ya Sharjah
Bendera ya Sharjah
Falme za Kiarabu
Falme za Kiarabu

Sharjah (Kiar.: الشارقة ash-shaariqah) ni utemi pia mji mkuu wake katika shirikisho la Falme za Kiarabu.

Ina wakazi 636,000 kwenye eneo la 2,600 km² mwambanoni wa Ghuba ya Uajemi.

[edit] Jiografia

Image:Sharjah-stamp1.jpg
Stempu ya Sharjah

Sharjah ni utemi mkubwa wa tatu kati ya Falme za Kiarabu. Inatawaliwa na Sheikh Dr. Sultan al-Qasimi.


Mji wa Sharja ina wakazi 519,000 (2003 sensa). Iko karibu na miji ya Ajman na Dubai na yoze mitatu imekuwa sasa rundiko la jiji.

[edit] Viungo vya Nje

[edit] Magazeti za Falme za Kiarabu