Wilaya ya Ngorongoro

From Wikipedia

Wilaya ya Ngorongoro ni wilaya moja ya Mkoa wa Arusha. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro ilihesabiwa kuwa 129,776 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Ngorongoro" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Ngorongoro kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine