Mlango wa Dover

From Wikipedia

Mlango wa bahari ya Dover
Mlango wa bahari ya Dover

Mlango wa Dover (Kifaransa: Pas de Calais; Kiing.: Strait of Dover) ni sehemu nyembamba ya Mfereji wa Kiingereza kati ya Ufaransa na Uingereza. Bahari ina upana wa 34 km pekee.

Kimataifa imekuwa kawaida kuuita kwa jina la mji wa Dover upande wa Uingereza. Wafaransa wanauita kufuatana na mji wa Calais uliopo upande wao wa mlango wa bahari.

Feri zinavuka kati ya miji ya Dover na Calais.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mlango wa Dover" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mlango wa Dover kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.