George Beadle

From Wikipedia

George Beadle
George Beadle

George Wells Beadle (22 Oktoba, 19039 Juni, 1989) alikuwa mwanajenetiki kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza uhusiano kati ya jeni na vimeng’enya. Mwaka wa 1958, pamoja na Edward Tatum na Joshua Lederberg alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "George Beadle" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu George Beadle kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.