Alfred Kastler

From Wikipedia

Alfred Kastler (3 Mei, 19027 Januari, 1984) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1966 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Alfred Kastler" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Alfred Kastler kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.