J. M. Coetzee
From Wikipedia
John Maxwell Coetzee (amezaliwa 9 Februari, 1940) ni mwandishi kutoka nchi ya Afrika Kusini. Hasa ameandika riwaya kuhusu athari za apartheid. Mwaka wa 2003 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
John Maxwell Coetzee (amezaliwa 9 Februari, 1940) ni mwandishi kutoka nchi ya Afrika Kusini. Hasa ameandika riwaya kuhusu athari za apartheid. Mwaka wa 2003 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.