China

From Wikipedia

中华人民共和国
中華人民共和國
Zhōnghuá Rénmín Gònghéguó

Jamhuri ya Watu wa China
Flag of China Nembo ya China
Bendera Nembo
Wito la taifa:
Wimbo wa taifa: [[Maandamano ya wale wanaojitolea - Yìyǒngjūn Jìnxíngqǔ]]
Lokeshen ya China
Mji mkuu Beijing
km²) 39°55′ N 116°23′ E
Mji mkubwa nchini Shanghai
Lugha rasmi Mandarin Kichina1 (Putonghua)
Serikali
Rais
Waziri Mkuu
Ujamaa republic2
Hu Jintao
Wen Jiabao
Tarehe za kihistoria
Utawala wa nasaba ya Shang
Utawala wa nasaba ya Qin
Jamhuri ya China
Jamhuri ya Watu wa China ilitangazwa

1766 KK
221 KK
10 Oktoba 1911
1 Oktoba 1949
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
9,596,960 km² km² (ya 33)
2.82
Idadi ya watu
 - 2006 kadirio
 - 2000 sensa
 - Msongamano wa watu
 
1,315,844,0004 (ya 1)
1,242,612,226
140/km² (ya 72 (2))
Fedha Renminbi Yuan5, 2 (CNY)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+8)
not observed (UTC+8)
Intaneti TLD .cn2
Kodi ya simu +862
1 Pamoja na Kichina cha Mandarin kile cha Kikanton ni lugha rasmi katika Hong Kong na Macau. [Kiingereza]] ni pia lugha rasmi katika Hong Kong na Kireno huko Macau. Vilevile kuna lugha za kieneo yanayotumiwa rasmi kama vile Kiuyghur huko Xinjiang, Kimongolia katika jimbo la Mongolia ya Ndani, Kitibet huko Tibet na Kikorea katika mkoa wa Yanbian.

China (pia: Uchina, Sina) au Jamhuri ya Watu wa China, ni nchi kubwa ya Asia ya Mashariki na nchi yenye watu wengi duniani.

China imepakana na Vietnam, Laos, Myanmar, India, Bhutan, Nepal, Pakistan, Afghanistan, Tajikistan, Kyrgyzstan, Kazakhstan, Urusi, Mongolia, Korea ya Kaskazini. Kuna pwani ndefu la Bahari ya Kusini ya China na Bahari Kaskazini ya China ambazo ni bahari ya kando ya Pasifiki. Mji mkuu ni Beijing.

China kuna makabila tofauti 56. Walio wengi (92%) ni Wahan. Lugha rasmi ni Kichina cha Mandarin. Siasa inatawaliwa na chama cha kikomunisti.

Mji mkuu ni Beijing na Shanghai ni mji mkubwa. Hong Kong iliyokuwa koloni ya Uingereza na Macau iliyokuwa koloni ya Ureno ni maeneo ya China yenye utawala wa pekee.

Taiwan na visiwa vingine vya Jamhuri ya China vinatazamiwa na serikali ya Beijing kuwa majimbo chini yake lakini vimekuwa kama nchi ya pekee tangu 1949.

[edit] Tazama pia


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "China" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu China kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.