Salim Ahmed Salim

From Wikipedia

Salim Ahmed Salim (amezaliwa 23 Januari, 1942) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Kuanzia tarehe 24 Aprili, 1984 hadi tarehe 5 Novemba, 1985 alikuwa Waziri Mkuu wa tano wa Tanzania. Alifuatwa na Joseph Sinde Warioba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Salim Ahmed Salim" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Salim Ahmed Salim kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine