Nuku'alofa

From Wikipedia

Jumba la kifalme mjini Nuku'alofa, Tonga
Jumba la kifalme mjini Nuku'alofa, Tonga
Image:Talamahu.jpg
Soko la Talamahu mjini Nuku'alofa

Nuku'alofa ni mji mkuu wa Tonga mwenye wakazi 22,400 (1996). Iko Tongatapu ambayo ni kisiwa kikubwa cha nchi.

Mji ulianzishwa mwaka 1795 pamoja na jumba la kifalme. Mwanzo wa karne ya 19 boma likaongezwa. Imetangazwa kuwa mji mkuu mwaka 1845.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nuku'alofa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nuku'alofa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.