Kivu ya kusini
From Wikipedia
Kivu ya kusini ni jimbo moja la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Liko upande wa Mashariki wa nchi likipakana na nchi ya Tanzania na Ziwa la Tanganyika. Mji wake mkuu ni Bukavu.
Kivu ya kusini ni jimbo moja la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Liko upande wa Mashariki wa nchi likipakana na nchi ya Tanzania na Ziwa la Tanganyika. Mji wake mkuu ni Bukavu.