James Chadwick

From Wikipedia

James Chadwick (20 Oktoba, 189123 Julai, 1974) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Aligundua na kuchunguza nutroni. Mwaka wa 1935 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "James Chadwick" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu James Chadwick kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.