Eugene O'Neill

From Wikipedia

Eugene O'Neill
Eugene O'Neill

Eugene Gladstone O'Neill (16 Oktoba, 188827 Novemba, 1953) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Hasa aliandika tamthiliya. Mwaka wa 1936 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Eugene O'Neill" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Eugene O'Neill kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.