Guinea ya Ikweta

From Wikipedia

República de Guinea Ecuatorial
Jamhuri ya Guinea ya Ikweta
Flag of Guinea ya Ikweta Nembo ya Guinea ya Ikweta
Bendera Nembo
Wito la taifa: Unidad, Paz, Justicia
(Kihispania: Umoja, Amani, Haki)
Wimbo wa taifa: Caminemos pisando la senda
(Kihispana: acha tu kanyange njia
Lokeshen ya Guinea ya Ikweta
Mji mkuu Malabo
{{{latd}}}°{{{latm}}}′ {{{latNS}}} {{{longd}}}°{{{longm}}}′ {{{longEW}}}
Mji mkubwa nchini Malabo
Lugha rasmi Kihispania
Serikali
Teodoro Obiang Nguema Mbasogo
Miguel Abia Biteo Boricó
Uhuru
Kutoka Uhispania
Oktoba 12, 1968
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
28,051 km² (141)
-
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - ? sensa
 - Msongamano wa watu
 
535,881 (160)
haiko
19.1/km² (157)
Fedha CFA franc (XAF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
- (UTC+1)
Intaneti TLD .gq
Kodi ya simu +240 Río Muni

footnotes =

Jamhuri ya Guinea ya Ikweta (kisw. pia: Ginekweta) ni nchi magharibi Afrika ya Kati. Ni nchi mojawapo ndogo kwa bara la Afrika.

Imepakana na Kamerun upande wa kaskazini, Gabon kusini na mashariki, na Guba la Guinea magharibi, ambapo kisiwa cha São Tomé na Príncipe chapatikana kusini-magharibi mwa Guinea ya ikweta. Ilikuwa koloni ya Uhispania ambapo iliitwa Guinea ya Uhispania, na eneo zake ambazo zajulikana (kwa bara kama Río Muni) za husu eneo kadhaa visiwa, na pia kisiwa kama Bioko ambapo mji mkuu humo, Malabo (ambayo iliitwa, Santa Isabela). Jina la nchi hii latokana na kuwa ya kwamba imo karibu na Ikweta na pia karibu na Guba la Guinea.

Ni nchi pekee Afrika ambapo lugha ya Kihispania ndio lugha rasmi na ya Taifa, hasa ukiacha maeneo ya Hispania iliozungukwa na bara, Ceuta na Melilla na nchi-Isiotambuliwa-kimataifa Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu.

Contents

[edit] Historia

Tako la Kifungu: Historia ya Guinea ya Ikweta

[edit] Siasa

Tako la kifungu: Siasa za Guinea ya Ikweta

[edit] Uchumi

Tako la kifungu: Uchumi wa Guinea ya Ikweta

[edit] Mikoa

Mikoa ya Guinea ya Ikweta
Mikoa ya Guinea ya Ikweta

Tako la kifungu: Mikoa ya Guinea ya Ikweta

Guinea ya ikwete imegawa kwa mikoa 7:

  1. Mkoa wa Annobón (mji mkuu wa mkoa: San Antonio de Palé)
  2. mkoa wa Bioko Norte (Malabo)
  3. Mkoa wa Bioko Sur (Luba)
  4. Mkoa wa Centro Sur (Evinayong)
  5. Mkoa wa Kié-Ntem (Ebebiyín)
  6. mkoa wa Litoral (Bata)
  7. Mkoa wa Wele-Nzas (Mongomo)

[edit] Jiografia

Bioko (Guinea ya ikweta) yaonekana kutoka Kamerun
Bioko (Guinea ya ikweta) yaonekana kutoka Kamerun

Tako la: Jiografia ya jamhuri ya Ikweta


[edit] Watu

Tako la kifungu: Watu wa Guinea ya ikweta


[edit] Utamaduni

Tako la Kifangu: Utamaduni wa Guinea ya Ikweta

[edit] Vituo via Habari

.

[edit] Shauri kiwazowazo

  • Mawasiliano Guinea ya Ikweta
  • Eric Moussambani
  • Mambo ya Guinea ya Ikweta
  • Orotha ya watu wanaosifa guinea ya Ikweta
  • Jeshi ya Guinea ya Ikweta
  • Chama cha Skauti Guinea ya Ikweta
  • Ussafirishaji Guinea ya Ikweta

[edit] Uchambuzi

    • Max Liniger-Goumaz, Udogo siyo urembo : Hadithi ya Guinea ya ikweta (French 1986, translated 1989) ISBN 0-389-20861-2
    • Ibrahim K. Sundiata, Equatorial Guinea: Colonialism, State Terror, and the Search for Stability (1990, Boulder: Westview Press) ISBN 0-8133-0429-6

    Template:Factbook

    [edit] Viungi via nnje

    Template:Mahusiano

    [edit] Habari

    [edit] Uchambuzi na Maelekezo

    [edit] Ukoo na Kabila

    • African Pygmies (Utamaduni na mziki wa watu wa Guinea ya ikwete / picha na ukoo.)

    [edit] utalii

    • Template:Wikitravel

    [edit] uchumi


    Nchi za Afrika Bara la Afrika
    Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
    Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
    Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia