Kiribati

From Wikipedia

Ribaberikin Kiribati
Jamhuri ya Kiribati
Flag of Kiribati Nembo ya Kiribati
Bendera Nembo
Wito la taifa: Te Mauri, Te Raoi ao Te Tabomoa
(Afya, amani na usitawi)
Wimbo wa taifa: Teirake Kaini Kiribati
Lokeshen ya Kiribati
Mji mkuu Teinainano (Tarawa)
1°28′ N 173°2′ E
Mji mkubwa nchini Betio (Tarawa)
Lugha rasmi Kiingereza , Kikiribati
Serikali
Rais
Jamhuri
Anote Tong
Uhuru
kutoka Uingereza

12 Julai 1979
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
726 km² (ya 186)
0
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - 2000 sensa
 - Msongamano wa watu
 
105,432 (ya 197)
84,494
137/km² (ya 73)
Fedha Dollar ya Australia (AUD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+12, +13, +14)
(UTC)
Intaneti TLD .ki
Kodi ya simu +686
1 Supplemented by a nearly equal amount from external sources.

Kiribati ni nchi ya visiwani ya Polynesia na Mikronesia katika Pasifiki karibu na ikweta yenye wakazi 100,000. Eneo lake ni visiwa 33 vinavyosambaa kwa 5,200,000 [km²]].

Ramani ya Kiribati
Ramani ya Kiribati

[edit] Jiografia

Kiribati ina eneo pana sana; umbali kati ya kisiwa cha mgahribi kabisa cha Banaba hadi kisiwa cha mashariki kabisa cha Millenium ni kilomita 4,835 km; umbali wa kaskazini-kusini ni 1,973 km.

Eneo hili liko katikati ya Hawaii na Australia. Visiwa 32 vimepangwa katika vikundi vinne:

  • Visiwa vya Gilbert (visiwa 16)
  • Visiwa vya Phoenix (visiwa 8)
  • Visiwa vya Line 8

Karibu visiwa vyote havipiti kimo cha mita 2 juu ya UB. Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani na kupanda kwa uwiano wa bahari wataalamu wamekadiria ya kwamba nchi itazama kabisa katika karne hii ya 21.

Mji mkuu wa Bairiki uko kwenye kisiwa cha Tarawa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kiribati" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kiribati kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.