Micheweni

From Wikipedia

Wilaya ya Micheweni ni wilaya moja ya Mkoa wa Pemba Kaskazini. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 83,531 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Micheweni" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Micheweni kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.