Adolf von Baeyer

From Wikipedia

Adolf von Baeyer
Adolf von Baeyer

Adolf von Baeyer (31 Oktoba, 183520 Agosti, 1917) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Mwaka wa 1880 alifaulu kusanisi nili na kuendelea kuichunguza. Mwaka wa 1905 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Adolf von Baeyer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Adolf von Baeyer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.