Adalbert wa Prague

From Wikipedia

Adalbert wa Prague (takriban 95623 Aprili, 997) alikuwa askofu katika mji wa Prague. Mwaka wa 999 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 23 Aprili.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Adalbert wa Prague" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Adalbert wa Prague kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.