Hirohito wa Japani

From Wikipedia

Mfalme Mkuu Hirohito, mwaka wa 1926
Mfalme Mkuu Hirohito, mwaka wa 1926

Hirohito (29 Aprili, 19017 Januari, 1989) alikuwa mfalme mkuu wa 124 (Tenno) wa Japani. Alimfuata baba yake Yoshihito tarehe 25 Desemba, 1926 na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni mwana wake Akihito.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hirohito wa Japani" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hirohito wa Japani kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.