Pieter Zeeman
From Wikipedia
Pieter Zeeman (25 Mei, 1865 – 9 Oktoba, 1943) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Hasa anajulikana kwa utafiti wake wa usumaku na wa nuru. Mwaka wa 1902, pamoja na Hendrik Lorentz alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.