John Fisher

From Wikipedia

John Fisher (146922 Juni, 1535) alikuwa padre Mkatoliki kule Uingereza. Pia aliitwa John wa Rochester. Alimkataa mfalme Henry VIII aliyejitenga na Kanisa la kikatoliki. Kwa hiyo, John Fisher alifungwa ndani na baada ya kushtakiwa mahakamani aliuawa. Mwaka wa 1935 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 9 Julai.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Fisher" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Fisher kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.