User talk:Joel Niganile

From Wikipedia

Karibu Wikipedia ya Kiswahili! --Chamdarae 00:03, 16 Desemba 2005 (UTC)

Asante kwa ajili ya makala kuhusu Tanga! Lakini siamini ya kwamba asili ya jina "Tanga" ni lugha ya Kiajemi. Habari hii imepatikana wapi? --Kipala 18:19, 25 Desemba 2005 (UTC)

Asante kwa jibu. Labda tuhame kwenye ukurasa ya majidiliano ya Tanga - ni afadhali kupeana jibu --Kipala 18:32, 25 Desemba 2005 (UTC)


Salamu! Nisipokosa umeniuliza swali lifuatalo (lakini umesahau kuweka sahihi yako > ni kitufe cha pili hapo juu kuanzia kulia, ukifungua "hariri" - --172.178.129.173 21:58, 7 Januari 2006 (UTC)

Habari ya mwaka mpya!
Samahani ninaomba tusaidiane kuupata ukweli, kitabu cha The story of East Africa and it's stamps kilichoandikwa na James A. Makay Kimeandikwa; Uganda ina maili za mraba 93,980 na katika Jarida la National Geographic la November 1971 limeandikwa; Uganda ina maili za mraba 91,134. Ahsante,

--Joel Niganile 09:06, 11 Januari 2006 (UTC)Joel Niganile

Mwaka mpya salama. Sasa wanipa ugumu ukianza mambo ya maili; mimi ni mtu wa mita. Nimeangalia kamuzi elezo zangu mbili zilizoko kwa CD:
Encycl. Britt. inasema : 93,072 square miles (241,038 square km), na MS Encarta inasema: 241 038 km².
Kwa sababu zinalingana zote mbili, ningeenda na hiyo lakini kwa kutaja km². --Kipala 19:24, 7 Januari 2006 (UTC)