Palestina

From Wikipedia

السلطة الوطنية الفلسطينية
As-Sulta Al-Wataniyya Al-Filastīniyya

Mamlaka ya Kitaifa ya Palestina
Flag of Mamlaka ya Palestina Nembo ya Mamlaka ya Palestina
Bendera Nembo
Wito la taifa: --
Wimbo wa taifa: Biladi
Lokeshen ya Mamlaka ya Palestina
Mji mkuu Ramallah na Gaza hali halisi kama makao ya ofisi za serikali.
Yerusalemu ya Mashariki ni mji mkuu wa Palestina unaotazamiwa.
[[[:Template:Coor URL]]31_46_N_35_15_E_{{{7}}} 31°46′N 35°15′E]<noinclude>
{{{latd}}}°{{{latm}}}′ {{{latNS}}} {{{longd}}}°{{{longm}}}′ {{{longEW}}}
Mji mkubwa nchini Gaza
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali
Mahmoud Abbas
Ismail Haniya
Katiba
Uhuru
ilitangazwa
Hali

15 Novemba 1988
Haitambuliwi
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
6,220 km² (ya 169)
3.54
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
3,702,212 (ya 128)
595/km² (ya 18)
Fedha Shekel ya Israel
Dinari ya Yordania
(JOD, ILS)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
  (UTC+2)
  (UTC+3)
Intaneti TLD .ps
Kodi ya simu +970b
a West Bank pekee.
b si rasmi.
Ramani ya maeneo yanayotazamiwa kuwepo chini ya Mamlaka ya Palestinia
Ramani ya maeneo yanayotazamiwa kuwepo chini ya Mamlaka ya Palestinia

Palestina ni nchi mpya katika mwendo wa kuzaliwa lakini kwa sasa hakuna uhakika kama tendo litakamilika na lini. Kwa sasa kuna idadi ya maeneo yanayotawaliwa na Mamlaka ya Kitaifa ya Palestina. Maeneo haya yametengwa kati yao na maeneo yanayosimamiwa na Israeli.

Maeneo haya yako kati ya mto Yordani na pwani la Mediteranea. Ni hasa eneo la magharibi ya Yordani na kanda la Gaza. Mamlaka ya Kitaifa ya Palestina ina kiwango fulani cha madaraka ya serikali katika sehemu ya maeneo haya. Mamlaka hutambuliwa kama serikali halisi na nchi nyingi za Waarabu. Jumuyia ya kimataifa kwa ujumla imetambua mamlaka kwa viwango mbalimbali lakini si kama serikali kamili ya nchi huria. Mamlaka ina kiti cha mtazamaji kwenye Umoja wa Mataifa.

Maeneo ya Palestina yamepakana na Israel, Yordani na Misri. Kanda la Gaza lina pwani kwenye Mediteranea.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Palestina" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Palestina kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.