Wahangaza

From Wikipedia

Wahangaza ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Kagera, hasa kwenye wilaya za Ngara na Biharamulo. Lugha yao ni Kihangaza.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wahangaza" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wahangaza kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine