Maurice Maeterlinck
From Wikipedia
Maurice Polydore Marie Bernard Maeterlinck (29 Agosti, 1862 – 5 Mei, 1949) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Ubelgiji. Mwaka wa 1911 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Maurice Polydore Marie Bernard Maeterlinck (29 Agosti, 1862 – 5 Mei, 1949) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Ubelgiji. Mwaka wa 1911 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.