Allvar Gullstrand
From Wikipedia
Allvar Gullstrand (5 Juni, 1862 – 28 Julai, 1930) alikuwa daktari wa macho kutoka nchi ya Sweden. Hasa alichunguza mfumo wa jicho. Mwaka wa 1911 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Allvar Gullstrand (5 Juni, 1862 – 28 Julai, 1930) alikuwa daktari wa macho kutoka nchi ya Sweden. Hasa alichunguza mfumo wa jicho. Mwaka wa 1911 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.