Vistula (mto)

From Wikipedia

Vistula
Kipoland: Wisła
Vistula karibu na Warshawa, Poland.
Vistula karibu na Warshawa, Poland.
Chanzo Milima ya Beskidi
Mdomo Bahari ya Baltiki
Nchi Poland
Urefu 1,047 km
Kimo cha chanzo 1,106 m
Mkondo 1,054 m³/s
Eneo la beseni 194,424 km²
Nchi za beseni: Poland,
Ukraine, Belarus, Slovakia

Vistula (Kipoland: Wisła tamka: viswa) ni mto mkubwa nchini Poland mwenye urefu wa 1047 km.

Chanzo chake ni katika milima ya Beskidi inaishia katika Bahari Baltiki. Inapita kwenye miji mikubwa ya Krakov na Warshawa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Vistula (mto)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Vistula (mto) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.