Kigoma Vijijini

From Wikipedia

Wilaya Kigoma Vijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Kigoma. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 490,816 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kigoma Vijijini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kigoma Vijijini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine