Doha

From Wikipedia

Majengo ya kisasa mjini Doha
Majengo ya kisasa mjini Doha

Doha (Kiarabu: الدوحة ad-dawḥah) ni mji mkuu wa Qatar.

Idadi ya watu ni takriban lakhi nne (2005). Doha ni mji wa bandari mwambaoni wa ghuba ya Uajemi.

Doha iliundwa mwaka 1850 kwa jina Al-Bida (mji mweupe). Tangu kupatikana kwa mafuta ya petroli mji umejengwa upya na nyumba kubwa na za kisasa kabisa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Doha" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Doha kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.