Pemba
From Wikipedia
Pemba ni neno linalomaanisha
- Kisiwa cha Pemba ambacho ni sehemu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar katika Tanzania
- Pemba (Msumbiji) (zamani: "Porto Amelia"), mji wa mwambao wa Msumbiji na makao makuu ya mkoa wa Cabo Delgado
- Pemba (Zambia) ni wilaya na mji katika Jimbo la Kusini takriban 300 km kusini ya Lusaka