Kilombero

From Wikipedia

Wilaya ya Kilombero ni wilaya moja ya Mkoa wa Morogoro. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 322,779 [1]. Makao makuu ya wilaya hiyo ni mji wa Ifakara. Mji maarufu kwa utafiti wa ugonjwa wa malaria.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kilombero" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kilombero kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine