Bede Mheshimiwa

From Wikipedia

Bede Mheshimiwa (takriban 672 au 673 – 25 Mei, 735) alikuwa mwanatheolojia na mwanahistoria kutoka nchi ya Uingereza. Hasa anafahamika kwa kitabu chake “Historia ya kikanisa ya taifa la Waingereza” (kwa Kilatini: Historia ecclesiastica gentis Anglorum). Mwaka wa 1899 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 25 Mei.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bede Mheshimiwa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bede Mheshimiwa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.