John Malecela

From Wikipedia

John Samuel Malecela (amezaliwa 1934) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Baadhi ya kazi mbalimbali ya kisiasa, alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje (1972-73) na Mkuu wa Mkoa wa Iringa (1980-84). Kuanzia tarehe 9 Novemba, 1990 hadi tarehe 7 Desemba, 1994 alikuwa Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Malecela" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Malecela kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine