Lev Landau

From Wikipedia

Lev Davidovich Landau (22 Januari, 19081 Aprili, 1968) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Alichunguza vipengele vingi vya fizikia, hasa upande wa atomu, nyota, halijoto chini na kadhalika. Mwaka wa 1962 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Lev Landau" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Lev Landau kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.