Daniel Auber

From Wikipedia

Daniel Auber (29 Januari, 178212 Mei, 1871) alikuwa mtungaji wa muziki kutoka nchi ya Ufaransa. Alikuwa mwanafunzi wa Luigi Cherubini. Hasa alitunga muziki ya opera.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Daniel Auber" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Daniel Auber kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.