Allvar Gullstrand

From Wikipedia

Allvar Gullstrand (5 Juni, 186228 Julai, 1930) alikuwa daktari wa macho kutoka nchi ya Sweden. Hasa alichunguza mfumo wa jicho. Mwaka wa 1911 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Allvar Gullstrand" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Allvar Gullstrand kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.