Pieter Zeeman

From Wikipedia

Pieter Zeeman
Pieter Zeeman

Pieter Zeeman (25 Mei, 18659 Oktoba, 1943) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Hasa anajulikana kwa utafiti wake wa usumaku na wa nuru. Mwaka wa 1902, pamoja na Hendrik Lorentz alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Pieter Zeeman" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Pieter Zeeman kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.