Robert Schrieffer

From Wikipedia

John Robert Schrieffer (amezaliwa 31 Mei, 1931) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya upitishaji umeme. Mwaka wa 1972, pamoja na John Bardeen na Leon Cooper alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Robert Schrieffer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Robert Schrieffer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.