Andorra la Vella

From Wikipedia

Kitovu cha mji
Kitovu cha mji
Bunge la Andorra
Bunge la Andorra

Andorra la Vella (Kikatalani: Andorra ya Kizee) ni mji mkuu pia mji mkubwa nchini Andorra yenye wakazi 22,035.

Iko katika bonde la milima ya Pirenei kwa kimo cha m 1409. Uchumi unategemea sana utalii hasa ski miezi ya baridi.

Andorra la Vella hana uwanja wa ndege wala kituo cha treni lakini kuna huduma ya basi kwenda nje ya nchi.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Andorra la Vella" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Andorra la Vella kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.