Mtakatifu Marko

From Wikipedia

Mtakatifu Marko (karne 1 BK) ndiye aliyeandika kitabu cha pili cha injili katika Biblia. Mama yake alikuwa mkristo wa kwanza Jerusalemu. Alifanya kazi na mtume Paulo kuhubiri injili katika miji ya Roma alifariki wakati akifanya kazi hiyo huko Alexandria, Misri.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mtakatifu Marko" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mtakatifu Marko kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.