Bukoba Vijijini
From Wikipedia
Wilaya ya Bukoba Vijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Kagera. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 395,130 [1].
Wilaya ya Bukoba Vijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Kagera. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 395,130 [1].