Jean Perrin

From Wikipedia

Jean Baptiste Perrin
Jean Baptiste Perrin

Jean Baptiste Perrin (30 Septemba, 187017 Aprili, 1942) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza mada za fizikia ya kiini na kemia ya kifizikia. Mwaka wa 1926 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Jean Perrin" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jean Perrin kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.