Johannes Fibiger

From Wikipedia

Johannes Fibiger (23 Aprili, 186730 Januari, 1928) alikuwa daktari na mwanapatholojia kutoka nchi ya Denmark. Hasa alichunguza ugonjwa wa kansa. Mwaka wa 1926 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Johannes Fibiger" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Johannes Fibiger kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.