Albert Abraham Michelson

From Wikipedia

Albert Abraham Michelson
Albert Abraham Michelson


Albert Abraham Michelson (19 Desemba, 18529 Mei, 1931) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Tafiti zake ziliweka msingi kwa nadharia ya Albert Einstein (Relativity Theory). Pia aliboresha vipimo vya mwendo wa nuru. Mwaka wa 1907 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Albert Abraham Michelson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Albert Abraham Michelson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.