Omar Bongo

From Wikipedia

Omar Bongo pamoja na George W. Bush, mwaka wa 2004
Omar Bongo pamoja na George W. Bush, mwaka wa 2004

El Hadj Omar Bongo Ondimba (amezaliwa 30 Desemba, 1935) ni Rais wa nchi ya Gabon tangu mwaka wa 1967. Baadhi ya marais barani Afrika, Bongo ameshika urais kwa muda mrefu kabisa. Alimfuata Leon M'ba akiwa na umri wa miaka 31 tu, na wakati ule alikuwa rais kijana kabisa duniani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Albert-Bernard Bongo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Omar Bongo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Omar Bongo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.