Hugo Theorell
From Wikipedia
Axel Hugo Teodor Theorell (6 Julai, 1903 – 15 Agosti, 1982) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Sweden. Hasa alichunguza kazi ya vimeng’enya katika chembe hai. Mwaka wa 1955 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Axel Hugo Teodor Theorell (6 Julai, 1903 – 15 Agosti, 1982) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Sweden. Hasa alichunguza kazi ya vimeng’enya katika chembe hai. Mwaka wa 1955 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.