William Fowler
From Wikipedia
William Alfred Fowler (9 Agosti, 1911 – 14 Machi, 1995) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza uenezaji wa elementi za kikemia ndani ya nyota. Mwaka wa 1983, pamoja na Subrahmanyan Chandrasekhar alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.