Irving Langmuir

From Wikipedia

Irving Langmuir
Irving Langmuir

Irving Langmuir (31 Januari, 188118 Agosti, 1957) alikuwa mwanafizikia na mwanakemia kutoka nchi ya Marekani. Alifanya utafiti kuhusu taa za gesi, neli za elektroni na vivuta hewa. Mwaka wa 1932 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Irving Langmuir" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Irving Langmuir kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.