Elinewinga
From Wikipedia
Elinewinga alikuwa ni Mmachame wa kwanza kwenda Makerere Uganda kusomea elimu ya juu. Alizaliwa Masama Ng'uni. Baadaye alikuja kuwa mbunge wa Hai na waziri.
Elinewinga alikuwa ni Mmachame wa kwanza kwenda Makerere Uganda kusomea elimu ya juu. Alizaliwa Masama Ng'uni. Baadaye alikuja kuwa mbunge wa Hai na waziri.