Watongwe
From Wikipedia
Watongwe ni kabila kutoka eneo la Ziwa Tanganyika, Wilaya ya Kigoma, sehemu ya magharibi ya nchi ya Tanzania. Mwaka 2000 idadi ya Watongwe ilikadiriwa kuwa 31,551 [1]. Lugha yao ni Kitongwe.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Watongwe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Watongwe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |