Sri Lanka

From Wikipedia

Image:SrilankaFont.png
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijamii ya Sri Lanka
Flag of Sri Lanka Nembo ya Sri Lanka
Bendera Nembo
Wito la taifa:
Wimbo wa taifa: Sri Lanka Matha (Sri Lanka Mama)
Lokeshen ya Sri Lanka
Mji mkuu Sri Jayawardenapura
6°54′ N 79°54′ E
Mji mkubwa nchini Colombo
Lugha rasmi Kisinhala, Kitamil
Serikali Jamhuri
Mahinda Rajapaksa
Ratnasiri Wickremanayake
Uhuru
kutoka Uingereza
ilikubaliwa
4 Februari 1948
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
65,610 km² (ya 122)
4.4
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
20,743,000 (ya 52)
18,732,255
316/km² (ya 35)
Fedha Rupia ya Sri Lanka (LKR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+5:30)
(UTC)
Intaneti TLD .lk
Kodi ya simu +94
Ramani ya Sri Lanka
Ramani ya Sri Lanka

Sri Lanka (hadi 1972: Ceylon) ni nchi ya kisiwani katika Asia ya Kusini. Iko karibu na ncha ya kusiniy a rasi ya Uhindi katika Bahari Hindi. Idadi ya wakazi ni takriban milioni 20. Mji mkuu ni Sri Jayewardenepura


Wakazi walio wengi (74 %) ni Wasinhala amabo ni hasa wafuasi wa Ubuddha. Takriban 20 % ni Watamili ambao ni hasa Wahindu. Wanaishi hasa katika kaskazini ya kisiwa. Kuna vikundi vidogo vya Wakristo na Waislamu vilevile.

[edit] Mikoa

Sri Lanka ina mikoa 9:

  • Sri Lanka Kati
  • Sri Lanka Kaskazini Kati
  • Sri Lanka Kaskazini
  • Sri Lanka Mashariki
  • Sri Lanka Kaskazini Magharibi
  • Sabaragamuwa
  • Sri Lanka Kusini
  • Uva
  • Sri Lanka Magharibi
Hekalu ya Kihindu mjini Colombo
Hekalu ya Kihindu mjini Colombo
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sri Lanka" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sri Lanka kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.