Gerhart Hauptmann

From Wikipedia

Gerhart Hauptmann (15 Novemba, 18626 Juni, 1946) alikuwa mwandishi wa michezo ya kuigiza na mshairi kutoka nchi ya Ujerumani. Anajulikana hasa kwa tamthiliya yake "Wafumaji" (kwa Kijerumani Die Weber) iliyotolewa mwaka wa 1892. Mwaka wa 1912 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Gerhart Hauptmann" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gerhart Hauptmann kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.