Wikipedia:Privacy policy
From Wikipedia
Chuo Cha Ukutubi Na Uhifadhi Nyaraka
Chuo Kilianzishwa mwaka 1989 Mkuu wa Chuo wa kwanza alikuwa Bw. Adonia Elieza Mwinyimvua Annuani ya Chuo: S.L. P. 227, Bagamoyo. Chuo kinatoa stashahada ya miaka miwili kwa wahitimu wenye eleimu ya kidato cha sita au wale walio na elimu ya Sekondari ya kidato cha nne na cheti cha ukutubi baada ya mafunzo ya mwaka mmoja.
Chuo mpaka sasa kinatoa mafunzo katika nyaja ya Cheti na stashahada. Mafunzo ya stashahada inatolewa toka Maktaba Kuu ya Taifa Dar es Salaaam.