Johannes Stark

From Wikipedia

Johannes Stark, 1919
Johannes Stark, 1919

Johannes Stark (15 Aprili, 187421 Juni, 1957) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza maswali ya umeme. Mwaka wa 1905 aligundua athari ya Doppler katika mionzi maalumu. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Johannes Stark" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Johannes Stark kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.