Air Tanzania

From Wikipedia

Air Tanzania ni kampuni ya ndege ya taifa la Tanzania. Shirika la Ndege la Tanzania linahudumia vituo vinane - vitano ndani ya nchi na vituo vitatu vya kimataifa. Dar es Salaam hutumika kama kiungio cha safari za anga kati ya viwanja vya ndege vya Entebbe, Hahaya, Johannesburg, Mwanza, Kilimanjaro, Mtwara na Zanzibar.

[edit] Viungo vya nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Air Tanzania" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Air Tanzania kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.