Santiago de Chile

From Wikipedia

Santiago de Chile

Kitovu cha Santiago mbele ya milima ya Andes
Habari za kimsingi
Utawala Mkoa wa Santiago
Historia iliundwa 12 Februari 1541
Anwani ya kijiografia Latitudo: 33°27′0"S
Longitudo: 70°40′0"W
Kimo 520 m juu ya UB
Eneo 641 km² (mji)
Wakazi - mji: 5,428,590
Msongamano wa watu watu 8,000 kwa km²
Simu +56 (nchi) 73 (mji)
Mahali

Santiago de Chile ni mji mkuu wa nchi ya Chile. Mji ni sehemu ya kanda la mji mkuu (Región Metropolitana) inayojumlisha pamoja na mkoa wa Santiago mikoa mitano mingine. Santiago yenyewe ni jina la sehemu penye kitovu cha mji na mitaa ya serikali penye watu 202,000 tu.

Santiago ni kitovu cha kiuchumi na kisasa ya nchi hata kama Bunge lakutana mjini Valparaiso.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Santiago de Chile" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Santiago de Chile kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.