Halldór Laxness
From Wikipedia
Halldór Laxness (23 Aprili, 1902 – 8 Februari, 1998) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Iceland. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1955 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Halldór Laxness (23 Aprili, 1902 – 8 Februari, 1998) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Iceland. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1955 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.