David Byrne

From Wikipedia

David Byrne ni mwanamuziki wa Marekani. Alizaliwa 14 Mei, 1952 huko Uskoti. Anajulikana hasa kama mwanzishaji wa Talking Heads akipiga muziki wa Rock.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "David Byrne" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu David Byrne kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.