9 Novemba

From Wikipedia

Okt - Novemba - Des
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30
Kalenda ya Gregori

[edit] Matukio

  • 694 - Mfalme Egica, mfalme wa WaVisigoth wa Hispania, anawashtaki Wayahudi kuwasaidia Waislamu, na anawaadhibu kuwa watumwa.
  • 1282 - Papa Martin IV anamtenga Mfalme Peter III wa Aragon na kanisa.
  • 1494 - Akina de Medici wanaanza kuwa watawala wa mji wa Florence.
  • 1799 - Napoleon Bonaparte anapindua serikali ya Ufaransa.
  • 1848 - Robert Blum anauawa katika mji wa Vienna.
  • 1872 - Moto unateketeza sehemu kubwa ya mji wa Boston.
  • 1918 - Mfalme Mkuu Wilhelm II wa Ujerumani anajiuzulu, na Ujerumani unatangazwa kuwa jamhuri.
  • 1938 - Usiku wa Chembechembe (kwa Kijerumani: Reichskristallnacht), ambapo WaNazi wanatumia nguvu na vurugu dhidi ya Wayahudi.
  • 1989 - Nchi ya Ujerumani wa Mashariki inafungulia Ukuta wa Berlin na kuwaruhusu wananchi wake kusafiri bila shida kwenda Ujerumani wa Magharibi.

[edit] Waliozaliwa

[edit] Waliofariki

  • 1952 - Chaim Weizmann