Edward Tatum

From Wikipedia

Edward Lawrie Tatum (14 Desemba, 19095 Novemba, 1975) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza uhusiano kati ya jeni na vimeng’enya. Mwaka wa 1958, pamoja na George Beadle na Joshua Lederberg alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Edward Tatum" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Edward Tatum kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.