Eliasafu
From Wikipedia
Eliasafu alikuwa kiongozi wa kabila la Gadi anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 14.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Eliasafu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Eliasafu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |