Chen Ning Yang

From Wikipedia

Chen Ning Yang
Chen Ning Yang

Chen Ning Yang (amezaliwa 22 Septemba, 1922) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya China; baadaye alihamia Marekani. Pia alijiita Frank Yang. Hasa alichunguza vipande vya atomu na nadharia yake. Mwaka wa 1957, pamoja na Tsung-Dao Lee alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Chen Ning Yang" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Chen Ning Yang kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.