Ivar Giaever

From Wikipedia

Ivar Giaever (amezaliwa 5 Aprili, 1929) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Norwei. Baadaye alihamia na kufanya kazi nchini Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya upitishaji umeme. Mwaka wa 1973, pamoja na Leo Esaki na Brian Josephson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ivar Giaever" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ivar Giaever kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.