Paul Heyse

From Wikipedia

Paul Johann Ludwig von Heyse (15 Machi, 18302 Aprili, 1914) alikuwa mwandishi hodari kutoka nchi ya Ujerumani. Anajulikana hasa kwa riwaya fupi zake mbalimbali. Mwaka wa 1910 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Paul Heyse" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Paul Heyse kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.