Washington (maana)

From Wikipedia

Washington ni jina linalotaja mahali na watu mbalimbali duniani.

Jina limejulikana hasa kutokana na mji mkuu wa Marekani, yaani Washington D.C., na rais wa kwanza wa nchi ile, George Washington.

Washington (jimbo) ni jimbo la Marekani kando la Pasifiki.

[edit] Miji

[edit] Watu

  • Washington imetumika kama jina la kwanza pia jina la familia

[edit] Vingine

Kuna pia meli, vyuo, barabara, milima na visiwa vinavyoitwa kwa jina hilo.

Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja.

Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.

Lugha nyingine