Wadigo

From Wikipedia

Wadigo ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Tanga, hasa kwenye mji wa Tanga. Pia wako Kenya wanapoishi upande wa Kusini wa mji wa Mombasa. Lugha yao ni Kidigo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wadigo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wadigo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine