1974
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 10 Septemba - Nchi ya Guinea Bisau inapata uhuru rasmi kutoka Ureno.
- 12 Septemba - Kaisari Haile Selassie wa Ethiopia anapinduliwa na wanajeshi wa DERG
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 24 Mei - Duke Ellington, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 9 Juni - Miguel Asturias (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1967)
- 11 Julai - Par Lagerkvist (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1951)
- 23 Julai - James Chadwick (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1935)