Ninko
From Wikipedia
Ninko (1800 – 1846) alikuwa mfalme mkuu wa 120 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Ayahito. Mwaka wa 1817 alimfuata baba yake, Kokaku, na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni mwana wake, Komei.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Ninko" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Ninko kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |