Kishineu

From Wikipedia

Kishineu mjini: geti na kanisa
Kishineu mjini: geti na kanisa

Kishineu (tamka: ki-shi-ne-u; Kiromania Chişinău (matamshi kama mbele); kwa mwandiko wa kikirili Кишинэу, Kirusi Кишинёв "kishinyev") ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Moldova mwenye wakazi 600,000.

Contents

[edit] Jiografia

Mji uko kwa 47°0′N 28°55′E kando la mto Bich (Bîc) amabo ni tawimto wa Dnestr . Eneo la mji ni 120 km². Kishineu iko katikati ya nchi ya Moldova.


Kuna vyuo vingi pamoja na shule, makumbusho na nyumba za igizo. Mji una viwanda vingi.

[edit] Wakazi

Kati ya wakazi kuna vikundi vifuatayo kufuatana na lugha:

  • Kiromania - 68.4%
  • Kirusi - 13.7%
  • Kiukraine - 8.4%
  • Kiromania - 4.4%
  • Kibulgaria - 1.2%

[edit] Viungo vya Nje

[edit] Picha za Kishineu

[edit] Ramani