Kenneth Wilson

From Wikipedia

Kenneth Geddes Wilson (amezaliwa 8 Juni, 1936) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine alijitahidi kueleza nadharia ya fizikia kwa jumla. Mwaka wa 1982 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kenneth Wilson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kenneth Wilson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.