Kibondo
From Wikipedia
Wilaya Kibondo ni wilaya moja ya Mkoa wa Kigoma. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 414,764 [1].
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kibondo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kibondo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |