Guglielmo Marconi

From Wikipedia

Guglielmo Marconi
Guglielmo Marconi

Guglielmo Marconi (25 Aprili, 187420 Julai, 1937) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Italia. Baadhi ya uchunguzi mwingi, alivumbua njia ya mawasiliano bila waya. Mwaka wa 1909, pamoja na Ferdinand Braun alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Guglielmo Marconi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Guglielmo Marconi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.