Wajita
From Wikipedia
Wajita ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mara. Lugha yao ni Kijita.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wajita" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wajita kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |