Mtwara (mji)

From Wikipedia

Mtwara ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mtwara. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 92,602 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mtwara (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mtwara (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine