Kipekecho cha Warangi

From Wikipedia

Kipekecho kilivyochorwa na Ndg. Yovin Maingu kutoka Haubi, Wilaya ya Kondoa.
Kipekecho kilivyochorwa na Ndg. Yovin Maingu kutoka Haubi, Wilaya ya Kondoa.

Kipekecho cha Warangi kilichongwa kutokana na mti. Kwa Kirangi huitwa "lʉfire". Hutumika kwa kupekechea uji, ugali, au maziwa yaliyoganda. Kipekecho cha asili kilikuwa na masikio matatu.

[edit] Marejeo

  • Yovin Maingu na Brunhilde Bossow, 2006 "Mazingira ya Warangi na Wajerumani wa Kale", Kutolewa na Heimat- und Kulturverein Gellersen (Shirika la Historia na Utamaduni za Vijiji vya Gellersen, Ujerumani)