Wilaya ya Kondoa

From Wikipedia

Wilaya ya Kondoa ni wilaya moja ya Mkoa wa Dodoma. Makao ya halmashauri ya wilaya yapo Kondoa mjini. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kondoa ilihesabiwa kuwa 429,824 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Kondoa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Kondoa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.