Grazia Deledda

From Wikipedia

Grazia Deledda
Grazia Deledda

Grazia Deledda (30 Septemba, 187115 Agosti, 1936) alikuwa mwandishi wa kike kutoka nchi ya Italia. Hasa aliandika riwaya ambazo wahusika wake wametoka kisiwa cha Sardinia. Mwaka wa 1926 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Grazia Deledda" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Grazia Deledda kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.