Kibungu

From Wikipedia

Kibungu (pia huitwa Kiwungu) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wabungu.

[edit] Mfumo wa Sauti (Fonolojia)

Lugha ya Kibungu ina irabu 7 na konsonanti 23. Pia kuna toni (au mawimbi ya sauti) zinazotofautisha maana ya nomino fulani na nyakati za vitenzi.

[edit] Viungo vya nje

[edit] Marejeo

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kibungu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kibungu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.