Ernesto Teodoro Moneta

From Wikipedia

Ernesto Teodoro Moneta (20 Septemba, 183310 Februari, 1918) alikuwa mwandishi wa habari kutoka nchi ya Italia. Mwaka wa 1907, pamoja na Louis Renault alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ernesto Teodoro Moneta" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ernesto Teodoro Moneta kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.