From Wikipedia
Ramani ya Kanda la Gaza pamoja na mji wa Gaza
Gaza (Kiarabu: غزة; Kiebrania: עזה azzah) ni mji mkubwa wa kanda la Gaza ambalo ni sehemu ya maeneo chini ya mamlaka ya Palestina mwenye wakazi 400,000. Ni makao ya ofisi nyingi za serikali ya Palestina.