Ali Tarab Ali (amezaliwa 20 Julai, 1947) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania tangu 2005. Alipata shahada ya udaktari katika mada ya biokemia kutoka chuo Kikuu cha Kharkov, Urusi, mwaka wa 1984.
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza ukibofya hapa au ukibonyeza "hariri" hapo juu. Ikiwepo makala kuhusu Ali Tarab Ali kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.