Serbia

From Wikipedia

Република Србија
Republika Srbija

Jmahuri ya Serbia
Flag of Serbia Nembo ya Serbia
Bendera Nembo
Wito la taifa: {{{national_motto}}}
Wimbo wa taifa: Bože pravde
Mungu wa haki
Lokeshen ya Serbia
Mji mkuu  Belgrad
44°48′ N 20°28′ E
Mji mkubwa nchini Belgrad
Lugha rasmi Kiserbia kinachoandikwa
kwa Mwandiko wa kikirili(1)
Serikali Jamhuri
Boris Tadić
Vojislav Koštunica
Kutokea kwa taifa la Serbia
Kuzaliwa kwa taifa
Uhuru
kuanzishwa kwa Ufalme
kutwaliwa na Dola la Uturuki
Uasi wa kwanza
Katiba ya kwanza
Kutambuliwa na Mkutano wa Berlin
Yugoslavia
Serbia na Montenegro

karne ya 8
1166
1077
1459
14 Februari 1804
15 Februari 1835
1878
1918
5 Juni 2006
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
88,361 km² (ya 113)
0.13
Idadi ya watu
 - 2002 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
9,396,411 (ya 83)
106/km² (ya 94)
Fedha Dinari ya Serbia (2) (RSD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
{{{time_zone_DST}}} (UTC{{{utc_offset_DST}}})
Intaneti TLD .yu (.rs) (3)
Kodi ya simu +381 (4)
1 Jimboni Vojvodina zifuatazo ni lugha rasmi kieneo: Kihungaria, Kislovakia, Kiromania, Kirusyn na Kikroatia. Katiba mpya imepanga pia kukubaliwa kwa mwandiko wa Kilatini kwa Kiserbia pamoja kikirili. Jimboni Kosovo lugha rasmi ni pia Kialbania na Kiingereza.
2 Euro hutumiwa jimboni Kosovo pamoja na dinar.
3 ".rs" ni rasmi tangu Septemba 2006 lakini anwani zenye ".yu" bado zinatumiwa.
4 pamoja na Montenegro hadi 2007.

Serbia (Kiserbia: Република Србија au Republika Srbija) ni nchi ya Ulaya kwenye rasi ya Balkani. Mji mkuu ni Belgrad. Nchi ina wakazi milioni 9.3 kwenye eneo la km² 88.361.

Imepakana na Hungaria, Bulgaria, Romania, Masedonia, Albania, Montenegro, Bosnia na Herzegovina na Kroatia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Serbia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Serbia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


Nchi na maeneo ya Ulaya
Albania | Andorra | Austria | Belarus | Bosnia na Herzegovina | Bulgaria | Kroatia | Denmark | Eire | Estonia | Ufaransa | Hungaria | Iceland | Italia | Jamhuri ya Masedonia | Latvia | Liechtenstein | Lithuania | Luxemburg | Malta | Moldova | Monako |Montenegro | Norway | Poland | Romania | San Marino | Serbia3 | Slovakia | Slovenia | Hispania | Ubelgiji | Uceki | Ufini | Ugiriki | Ujerumani | Uholanzi | Ureno | Urusi1 | Uswidi | Uswisi | Ukraine | Uingereza | Vatikani

Maeneo ya Ulaya ya kujitawala chini ya nchi nyingine: Visiwa vya Faroe | Gibraltar | Guernsey | Jan Mayen | Jersey | Isle of Man | Svalbard

Nchi za Asia ambazo ni mwanachama wa baraza la Ulaya au vyombo vingine vya Ulaya: Armenia2 | Azerbaijan1 || Cyprus2 | Georgia1 | Kazakhstan1 | Uturuki1

Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa: Abkhazia | Nagorno-Karabakh2 | Ossetia ya Kusini | Transnistria | Jamhuri ya Kituruki ya Kupro ya Kaskazini2

Maelezo: (1) nchi ya kimabara katika Asia na Ulaya; (2) nchi katika eneo la Asia ya Magharibi (kufuatana na kanda za UM) lakini kiutamaduni huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya; (3) Inaelekea kugawiwa kuwa nchi mbili za Serbia na Montenegro