Wamatengo
From Wikipedia
Wamatengo ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Ruvuma, upande wa Mashariki wa Ziwa la Nyasa. Lugha yao ni Kimatengo.
Wamatengo ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Ruvuma, upande wa Mashariki wa Ziwa la Nyasa. Lugha yao ni Kimatengo.