Norman Angell

From Wikipedia

Sir Ralph Norman Angell Lane (26 Desemba, 18737 Oktoba, 1967) alikuwa mtaalamu wa uchumi na mwandishi wa habari kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alijitahidi kutekeleza amani ya kimataifa. Anajulikana sana kwa kitabu chake “Uwongo Mkubwa” (kwa Kiingereza Great Illusion) kilichotolewa mwaka wa 1910. Mwaka wa 1933 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

[edit] Viungo vya nje

ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Norman Angell" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Norman Angell kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.