Mkoa wa Nyanza (Kenya)

From Wikipedia

Mahali pa Nyanza
Mahali pa Nyanza

Nyanza ni mkoa wa magharibi ya Kenya kando la ziwa Viktoria Nyanza. Mji mkuu ni Kisumu. Mkoa umepakana na Tanzania, Uganda halafu mikoa ya Kenya ya Magharibi na Bonde la Ufa.

Nyanza ina wakazi zaidi ya milioni tano. Walio wengi ni Waluo, halafu Wakisii, Wakuria na Waluhya.

[edit] Wilaya

Wilaya Makao Makuu
Wilaya ya Bondo Bondo
Wilaya ya Gucha (Kisii Kusini) Ogembo
Wilaya ya Homa Bay Homa Bay
Wilaya ya Kisii (Kisii Kati) Kisii
Wilaya ya Kisumu Kisumu
Wilaya ya Kuria Kehancha
Wilaya ya Migori Migori
Wilaya ya Nyamira (Kisii Kaskazini) Nyamira
Wilaya ya Nyando Awasi
Wilaya ya Rachuonyo Oyugis
Wilaya ya Siaya Siaya
Wilaya ya Suba Mbita