Władysław Reymont
From Wikipedia
Władysław Reymont (7 Mei, 1867 – 5 Desemba, 1925) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Poland (jina lake pia liliandikika Rejment). Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1924 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Władysław Reymont (7 Mei, 1867 – 5 Desemba, 1925) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Poland (jina lake pia liliandikika Rejment). Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1924 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.