1962
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 1 Julai - Nchi za Burundi na Rwanda zinapata uhuru kutoka Ubelgiji.
- 5 Julai - Nchi ya Algeria inapata uhuru kutoka Ufaransa.
- 6 Agosti - Nchi ya Jamaika inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 9 Oktoba - Nchi ya Uganda inapata uhuru kutoka Uingereza.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 22 Juni - Shaaban Robert (mshairi maarufu wa Tanzania)
- 6 Julai - William Faulkner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1949)
- 9 Agosti - Hermann Hesse (mwandishi Mjerumani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1946)