Wilaya ya Dodoma Mjini

From Wikipedia

Dodoma Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Dodoma. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Dodoma Mjini ilihesabiwa kuwa 324,347 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Dodoma Mjini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Dodoma Mjini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.