Burton Richter

From Wikipedia

Burton Richter (amezaliwa 22 Machi, 1931) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1976, pamoja na Samuel Ting alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Burton Richter" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Burton Richter kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.