Robert Hofstadter

From Wikipedia

Robert Hofstadter (15 Februari, 191517 Novemba, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1961, pamoja na Rudolf Mössbauer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Robert Hofstadter" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Robert Hofstadter kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.