Rudolf Mössbauer

From Wikipedia

Rudolf Ludwig Mössbauer (amezaliwa 31 Januari, 1929) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1961, pamoja na Robert Hofstadter alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Rudolf Mössbauer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Rudolf Mössbauer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.