Bandar Seri Begawan

From Wikipedia

Msikiti ya Sultan Omar Ali Saifuddin
Msikiti ya Sultan Omar Ali Saifuddin

Bandar Seri Begawan ni mji mkuu wa Brunei kwenye kisiwa cha Borneo mwenye wakazi 46,229 (1991). Iko kwa 4°55'N na 114°55'E.

Tangu kupatikana kwa utajiri wa mafuta ya petroli mji umepambwa na majengo mazuri kama vile jumba la Sultani, msikiti ya Sultan Omar Ali Saifuddien. makumbusho ya teknolojia ya Kimalay na makumbusho ya historia ya Brunei.

Kuna pia viwanda vya fenicha na vitambaa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bandar Seri Begawan" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bandar Seri Begawan kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.