Nepal
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: जननी जन्मभूमिष्च स्वर्गादपि गरीयसी (Sanskrit) "Mama na Taifa heri ya Mbinguni" |
|||||
Wimbo wa taifa: Rastriya Gaan | |||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | Kathmandu |
||||
Mji mkubwa nchini | Kathmandu | ||||
Lugha rasmi | Kinepali | ||||
Serikali | Serikali ya muda Girija Prasad Koirala Mfalme Gyanendra Bir Bikram Shah Girija Prasad Koirala |
||||
Maungano ya temi za Nepal {{{established_events}}} |
{{{established_dates}}} | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
147,181 km² (ya 93) 2.8 |
||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - 2002 sensa - Msongamano wa watu |
27,133,000 (ya 42) 23,151,423 184/km² (ya 56) |
||||
Fedha | Rupia ya Nepal (NRs. ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
NPT (UTC+5:45) (haitumiki) (UTC+5:45) |
||||
Intaneti TLD | .np | ||||
Kodi ya simu | +977 |
Nepal nchi ya Asia ya Kusini kwenye milima ya Himalaya inayopakana na Uhindi na China. Mlima Everest ambao ni mlima mkubwa duniani uko Nepal. Mji mkuu ni Kathmandu.
Wakazi wengi hufuata dini ya Uhindu.
Kisiasa Nepal iko katika kipindi cha mageuzi. Hadi 2006 mfalme alitawala pekee yake baada ya kufukuza bunge. Katika 2006 mfalme alilazimishwa kurudisha bunge iliyotangaza ya kwamba mfalme hana mamlaka tena na kumteua Mkuuwa nchi kwa muda. Bunge mpya itakayochaguliwa katika Juni 2007 itaamua katiba mpya.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Nepal" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Nepal kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Cyprus2 | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Oman | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |
Categories: Mbegu | Nepal | Nchi za Asia