Jimmy Cliff

From Wikipedia

Jimmy Cliff alikuwa mwanamuziki wa Jamaika. Alizaliwa 1 Aprili, 1948 huko St Catherine, Jamaika. Jina lake la kuzaliwa ni James Chambers. Alikuwa anapiga muziki wa Reggae.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Jimmy Cliff" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jimmy Cliff kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.