Kiribati
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: Te Mauri, Te Raoi ao Te Tabomoa (Afya, amani na usitawi) |
|||||
Wimbo wa taifa: Teirake Kaini Kiribati | |||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | Teinainano (Tarawa) |
||||
Mji mkubwa nchini | Betio (Tarawa) | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza , Kikiribati | ||||
Serikali
Rais
|
Jamhuri Anote Tong |
||||
Uhuru kutoka Uingereza |
12 Julai 1979 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
726 km² (ya 186) 0 |
||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - 2000 sensa - Msongamano wa watu |
105,432 (ya 197) 84,494 137/km² (ya 73) |
||||
Fedha | Dollar ya Australia (AUD ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+12, +13, +14) (UTC) |
||||
Intaneti TLD | .ki | ||||
Kodi ya simu | +686 |
||||
1 Supplemented by a nearly equal amount from external sources. |
Kiribati ni nchi ya visiwani ya Polynesia na Mikronesia katika Pasifiki karibu na ikweta yenye wakazi 100,000. Eneo lake ni visiwa 33 vinavyosambaa kwa 5,200,000 [km²]].
[edit] Jiografia
Kiribati ina eneo pana sana; umbali kati ya kisiwa cha mgahribi kabisa cha Banaba hadi kisiwa cha mashariki kabisa cha Millenium ni kilomita 4,835 km; umbali wa kaskazini-kusini ni 1,973 km.
Eneo hili liko katikati ya Hawaii na Australia. Visiwa 32 vimepangwa katika vikundi vinne:
- Visiwa vya Gilbert (visiwa 16)
- Visiwa vya Phoenix (visiwa 8)
- Visiwa vya Line 8
Karibu visiwa vyote havipiti kimo cha mita 2 juu ya UB. Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani na kupanda kwa uwiano wa bahari wataalamu wamekadiria ya kwamba nchi itazama kabisa katika karne hii ya 21.
Mji mkuu wa Bairiki uko kwenye kisiwa cha Tarawa.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kiribati" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kiribati kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |