José Saramago

From Wikipedia

José Saramago (amezaliwa 16 Novemba, 1922) ni mwandishi kutoka nchi ya Ureno. Baadhi ya maandiko mengine ameandika hasa riwaya. Mwaka wa 1998 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "José Saramago" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu José Saramago kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.