Asia ya Mashariki

From Wikipedia

Asia ya Mashariki ni kanda la bara la Asia linalojumuisha takriban 15% za eneo la bara lote.

Asia ya Mashariki.
Asia ya Mashariki.

Nchi zifuatazo huhesabiwa kuwa sehemu za Asia ya Mashariki:

Kiutamaduni nchi hizi zote zimeathiriwa na China jinsi inavyonekana katika maandishi, falsafa ya Konfutse, Ubuddha wa Mahayana na mtindo wa kula kwa kutumia vijiti.


[edit] Tazama pia

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Asia ya Mashariki" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Asia ya Mashariki kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.