Kupro
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: none | |||||
Wimbo wa taifa: Ύμνος εις την Ελευθερίαν imnos is tin eleftherian Wimbo la uhuru1 |
|||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | Nikosia |
||||
Mji mkubwa nchini | Nikosia | ||||
Lugha rasmi | Kigiriki, Kituruki | ||||
Serikali | Jamhuri Tassos Papadopoulos |
||||
Uhuru Tarehe |
16 Agosti 1960 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
9,251 km² (ya 167) -- |
||||
Idadi ya watu - 2006 kadirio - 2005 sensa - Msongamano wa watu |
784,301 (ya 157) 835,000 90/km² (ya 105) |
||||
Fedha | Cyprus Pound (CYP ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
EET (UTC+2) EEST (UTC+3) |
||||
Intaneti TLD | .cy3 | ||||
Kodi ya simu | +357 |
||||
1 Sawa na wimbo la taifa la Ugiriki |
Kupro (pia: Kuprosi, Kipro, Saiprasi, Cyprus) ni nchi ya kisiwani kwenye Mediteranea. Kijiografia ni sehemu ya Asia lakini kiutamaduni na kisiasa ni sehemu ya Ulaya. Mji mkuu ni Nikosia.
Wakazi walio wengi hutumia lugha ya Kigiriki, wengine Kituruki. Tangu vita ya Kupro ya 1974 kisiwa kimegawiwa. Kaskazini imetawaliwa na Jamhuri ya Kituruki ya Cyprus ya Kaskazini kisichotambuliwa kimataifa.
[edit] Viungo vya Nje
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kupro" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kupro kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Nchi na maeneo ya Ulaya | ||||
---|---|---|---|---|
Albania | Andorra | Austria | Belarus | Bosnia na Herzegovina | Bulgaria | Kroatia | Denmark | Eire | Estonia | Ufaransa | Hungaria | Iceland | Italia | Jamhuri ya Masedonia | Latvia | Liechtenstein | Lithuania | Luxemburg | Malta | Moldova | Monako |Montenegro | Norway | Poland | Romania | San Marino | Serbia3 | Slovakia | Slovenia | Hispania | Ubelgiji | Uceki | Ufini | Ugiriki | Ujerumani | Uholanzi | Ureno | Urusi1 | Uswidi | Uswisi | Ukraine | Uingereza | Vatikani
Maeneo ya Ulaya ya kujitawala chini ya nchi nyingine: Visiwa vya Faroe | Gibraltar | Guernsey | Jan Mayen | Jersey | Isle of Man | Svalbard Nchi za Asia ambazo ni mwanachama wa baraza la Ulaya au vyombo vingine vya Ulaya: Armenia2 | Azerbaijan1 || Cyprus2 | Georgia1 | Kazakhstan1 | Uturuki1 Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa: Abkhazia | Nagorno-Karabakh2 | Ossetia ya Kusini | Transnistria | Jamhuri ya Kituruki ya Kupro ya Kaskazini2 Maelezo: (1) nchi ya kimabara katika Asia na Ulaya; (2) nchi katika eneo la Asia ya Magharibi (kufuatana na kanda za UM) lakini kiutamaduni huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya; (3) Inaelekea kugawiwa kuwa nchi mbili za Serbia na Montenegro
|