1695
From Wikipedia
[edit] Matukio
- Kuanzishwa kwa Ufalme wa Ashanti. Kufuatana na mapokeo ya Waashanti mfalme wa Kumasi (au:Kumasihene) Osei Kofi Tutu I alipokea "kikalio cha dhahabu" kama alama ya kuteuliwa na mbinguni lakini hali halisi kiti kilitengenezwa na kuhani Okomfo Anokye.
- Januari 27: Mustafa II anachukua nafasi ya Sultani wa Dola la Uturuki badala ya Ahmad II aliyefariki
- Julai 17: Benki ya Uskoti inaanzishwa kwa sheria ya bunge la Uskoti
- Disemba 31: Kodi ya madirisha inazishwa Uingereza; wenye nyumba wengi wanafunga madirisha kwa matofari ili kuepukana na kodi hiyo.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki