Arthur Kornberg

From Wikipedia

Arthur Kornberg (amezaliwa 3 Machi, 1918) ni daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza DNA. Mwaka wa 1959, pamoja na Severo Ochoa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Arthur Kornberg" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Arthur Kornberg kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.