Svalbard
From Wikipedia
Svalbard ni funguvisiwa cha Norwei katika Bahari ya Aktika. Iko katikati ya Norwei na ncha ya kaskazini.
Kuna wakazi 2,756 kwenye visiwa vitatu vya Spitsbergen, Bjørnøya na Hopen. Makao makuu ni mji mdogo wa Longyearbyen.
Mkataba wa kimataifa wa Svalbard umekubali ya kwamba funguvisiwa iko chini ya Norwei lakini kuna mashariti fulani. Raia wa nchi zote 40 zilizotia sahihi kwenye mkataba wana haki ya kuingia na kufanya shughuli zao. Hivyo kuna mji wa Kirusi wa Barentsburg ambako Warusi wanachimba madini.
[edit] Viungo vya Nje
Nchi na maeneo ya Ulaya | |||
---|---|---|---|
Albania | Andorra | Austria | Belarus | Bosnia na Herzegovina | Bulgaria | Kroatia | Denmark | Eire | Estonia | Ufaransa | Hungaria | Iceland | Italia | Jamhuri ya Masedonia | Latvia | Liechtenstein | Lithuania | Luxemburg | Malta | Moldova | Monako |Montenegro | Norway | Poland | Romania | San Marino | Serbia3 | Slovakia | Slovenia | Hispania | Ubelgiji | Uceki | Ufini | Ugiriki | Ujerumani | Uholanzi | Ureno | Urusi1 | Uswidi | Uswisi | Ukraine | Uingereza | Vatikani
Maeneo ya Ulaya ya kujitawala chini ya nchi nyingine: Visiwa vya Faroe | Gibraltar | Guernsey | Jan Mayen | Jersey | Isle of Man | Svalbard Nchi za Asia ambazo ni mwanachama wa baraza la Ulaya au vyombo vingine vya Ulaya: Armenia2 | Azerbaijan1 || Cyprus2 | Georgia1 | Kazakhstan1 | Uturuki1 Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa: Abkhazia | Nagorno-Karabakh2 | Ossetia ya Kusini | Transnistria | Jamhuri ya Kituruki ya Kupro ya Kaskazini2 Maelezo: (1) nchi ya kimabara katika Asia na Ulaya; (2) nchi katika eneo la Asia ya Magharibi (kufuatana na kanda za UM) lakini kiutamaduni huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya; (3) Inaelekea kugawiwa kuwa nchi mbili za Serbia na Montenegro
|