Władysław Reymont

From Wikipedia

Władysław Reymont (7 Mei, 18675 Desemba, 1925) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Poland (jina lake pia liliandikika Rejment). Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1924 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Władysław Reymont" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Władysław Reymont kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.