1492

From Wikipedia

[edit] Matukio

  • 2 Januari - Mfalme Boabdil wa Granada anasalimisha mji wake kwa wafalme wa Hispania - mwisho wa utawala wa Kiislamu katika Hispania
  • 30 Machi - Wafalme Ferdinand na Isabella wa Hispania waamuru kufukuzwa nchini kwa Wayahudi wote wasiopokea imani ya kikatoliki
  • 31 Julai - Wahayudi wanafukuzwa Hispania
  • Sultani Bayazid II wa Dola la Uturuki anatuma meli zake kwa shabaha ya kupokea Wayahudi wanaofukuzwa Hispania na kuwapeleka katika miji ya dola lake
  • 2 Agosti - Kristoforo Kolumbus anaanza safari yake ya kwanza ya kuvuka Atlantiki akiamini ya kwamba anaelekea Uhindi
  • 12 Oktoba - Kristoforo Kolumbus anafika kwenye visiwa vya Karibi akiamini ya kwamba amefika Uhindini.
  • 28 Oktoba - Kristoforo Kolumbus anafika Kuba.


[edit] Waliozaliwa

[edit] Waliofariki