Rudolf Christoph Eucken

From Wikipedia

Rudolf Eucken wakati wa uzee wake
Rudolf Eucken wakati wa uzee wake
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Rudolf Christoph Eucken (5 Januari, 184614 Septemba, 1926) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Alitafsiri vitabu vya Aristoteli na kuandika vitabu kuhusu maadili na dini. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Rudolf Christoph Eucken" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Rudolf Christoph Eucken kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.