Euphrase Kezilahabi

From Wikipedia

Euphrase Kezilahabi (amezaliwa 13 Aprili, 1944) ni mwandishi kutoka nchi ya Tanzania. Lugha yake ya kwanza ni Kikerewe lakini huandika hasa kwa Kiswahili ambacho amekipanua kwa kutumia mitindo ya lugha yake ya asili. Baadhi ya maandiko yake ni:

  • Rosa Mistika (1971)
  • Kichwamaji (1974)
  • Dunia Uwanja wa Fujo (1975)
  • Gamba la Nyoka (1979)
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Euphrase Kezilahabi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Euphrase Kezilahabi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine