Hans Bethe

From Wikipedia

Hans Bethe
Hans Bethe

Hans Albrecht Bethe (2 Julai, 19066 Machi, 2005) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa katika mji wa Strasbourg. Mwaka wa 1933 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hans Bethe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hans Bethe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.