Kigoma (mji)
From Wikipedia
Kigoma ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kigoma. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 144,852 [1].
Kigoma ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kigoma. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 144,852 [1].