Newala

From Wikipedia

Wilaya ya Newala ni wilaya moja ya Mkoa wa Mtwara. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 183,930 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Newala" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Newala kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine