User:Pmusyoki

From Wikipedia

Mimi naitwa Philip, mzaliwa wa Kenya. Naunga mkono sera zinazopendela mabadiliko, pamoja na demokrasi na uhuru wa kibinafsi.

Userboxes
en This user is a native speaker of English.

[edit] Kuhusu mambo ninayo andika

Napenda sana kuandika juu ya mambo yanayohusu siasa za Afrika and wanasiasa wa Afrika.Pia nachangia mambo kuhusu demokrasia, uhuru and haki.

[edit] Kuhusu mimi

  • Mimi ni mzaliwa wa Kenya, Afrika ya Mashariki.
  • Napendelea mambo ya siasa, sanasana siasa za Afrika, na hali ya dunia kwa kiujumla.
  • Napenda nyimbo za kitamaduni na zile za Mariachi.
  • Napenda michezo ya kompiuta ya Deus Ex na Doom.

Template:Userpage sw:User:PMusyoki