Kwango
From Wikipedia
Mto wa Kwango (Cuango) | |
---|---|
|
|
Chanzo | Nyanda za juu za Bié (Angola) |
Mdomo | Kasai |
Nchi | Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |
Urefu | 1,100 km |
Kimo cha chanzo | takriban 1,500 m |
Mkondo | ?? m³/s |
Eneo la beseni | ?? km² |
Kwango ni mto katika Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo ni pia tawimto mrefu wa mto Kasai. Chanzo chake iko nyanda za juu za Bié katika Angola ikielekea kaskazini. Inakuwa mpaka kati ya Angola na Kongo halafu kuingia ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Inaishia kwenye mto wa Kasai karibu na mji wa Bandudu.