Joshua Lederberg

From Wikipedia

Joshua Lederberg (amezaliwa 23 Mei, 1925) ni mwanajenetiki kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza jeni za chembe hai. Mwaka wa 1958, pamoja na George Beadle na Edward Tatum alikuwa mshindi wa ‘’’Tuzo ya Nobel ya Tiba’’’.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Joshua Lederberg" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Joshua Lederberg kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.