1949
From Wikipedia
[edit] Matukio
- Jumuiya ya Kibritania inabadilisha jina kuwa Jumuiya ya Madola kama ushirikiano wa Uingereza na koloni zake za zamani
- Kuundwa kwa madola mawili katika Ujerumani yaani Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani (mji mkuu Bonn) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani (mji mkuu Berlin ya Mashariki)
[edit] Waliozaliwa
- 22 Januari - Joseph Hill, mwimbaji kutoka Jamaika
[edit] Waliofariki
- 5 Mei - Maurice Maeterlinck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1911)
- 10 Juni - Sigrid Undset (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1928)
- 13 Septemba - August Krogh (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1920)