Lugha asilia
From Wikipedia
- Lugha asilia ni lugha ambayo ilikua kama sehemu ya utamaduni wa umma fulani ambao watu wake wanaiongea kama lugha ya mama. Ni kinyuma cha lugha ya kuundwa.
- Mara nyingi lugha asilia maana yake ni lugha yoyote ambayo inaweza kuzungumzwa na watu, na lugha za kompyuta na za kuandaa programu zinaitwa lugha za kuundwa.
Categories: Mbegu | Lugha