Camilo José Cela

From Wikipedia

Camilo José Cela
Camilo José Cela

Camilo Jose Cela Trulock (11 Mei, 191617 Januari, 2002) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Hispania. Aliandika riwaya, insha na vitabu vya safari. Mwaka wa 1989 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Camilo José Cela" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Camilo José Cela kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.