1956
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 1 Januari - Nchi ya Sudani inapata uhuru kutoka Misri na Uingereza.
- 20 Machi - Nchi ya Tunisia inapata uhuru kutoka Ufaransa.
[edit] Waliozaliwa
- 5 Mei - Jay Rosen, mwandishi Mmarekani
- 19 Desemba - Jens Fink-Jensen (mwandishi Mdenmark)
[edit] Waliofariki
- 22 Septemba - Frederick Soddy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1921)