Alfred Fried

From Wikipedia

Alfred Hermann Fried (11 Novemba, 18645 Mei, 1921) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Austria. Alianzisha makampuni na majarida mengi kwa ajili ya amani. Mwaka wa 1911, pamoja na Tobias Asser alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Alfred Fried" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Alfred Fried kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.