Seamus Heaney

From Wikipedia

Seamus Heaney (amezaliwa 13 Aprili, 1939) ni mwandishi kutoka nchi ya Ireland. Hasa ameandika mashairi yanayohusu historia na utamaduni wa nchi yake. Mwaka wa 1995 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Seamus Heaney" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Seamus Heaney kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.