1996
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 28 Januari - Joseph Brodsky (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1987)
- 18 Machi - Odysseas Elytis (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1979)
- 15 Juni - Ella Fitzgerald, mwimbaji wa kike Mmarekani wa Jazz
- 1 Agosti - Tadeus Reichstein (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950)
- 8 Agosti - Nevill Mott (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1977)
- 9 Agosti - May Ayim, mwandishi Mwafrika kutoka Ujerumani alijiua
- 21 Novemba - Abdus Salam (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1979)