Agnes Mtakatifu

From Wikipedia

Nakshi za mawe za Agnes Mtakatifu kanisani mwa "Santa Agnese fuori le mura".
Nakshi za mawe za Agnes Mtakatifu kanisani mwa "Santa Agnese fuori le mura".

Agnes (aliishi katika karne ya 3 au 4 BK) alikuwa bikira aliyekataa kuolewa kwa sababu ya imani yake ya kikristo. Aliteswa na kuuawa wakati wa mateso ya Wakristo chini ya enzi ya Warumi. Sikukuu yake ni 21 Januari.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Agnes Mtakatifu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Agnes Mtakatifu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.