Carl Spitteler
From Wikipedia
Carl Friedrich Georg Spitteler (24 Aprili, 1845 – 29 Desemba, 1924) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Uswisi. Hasa aliandika mashairi, riwaya fupi na insha. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Carl Friedrich Georg Spitteler (24 Aprili, 1845 – 29 Desemba, 1924) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Uswisi. Hasa aliandika mashairi, riwaya fupi na insha. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.