Edward Sokoine

From Wikipedia

Edward Moringe Sokoine (amezaliwa 1938) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Alikuwa Waziri Mkuu mara mbili, 13 Februari, 1977 hadi 7 Novemba, 1980, na tena 24 Februari, 1983 hadi 24 Aprili, 1984.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Edward Sokoine" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Edward Sokoine kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.