Theodor Seuss Geisel
From Wikipedia
Theodor Seuss Geisel (2 Machi, 1904 – 24 Septemba, 1991) alikuwa mwandishi na mchoraji vielezo kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa vitabu vyake kwa watoto alivyoviandika chini ya jina la Dr. Seuss.
Theodor Seuss Geisel (2 Machi, 1904 – 24 Septemba, 1991) alikuwa mwandishi na mchoraji vielezo kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa vitabu vyake kwa watoto alivyoviandika chini ya jina la Dr. Seuss.