Ebenezer Obey

From Wikipedia

Ebenezer Obey alikuwa mwanamuziki wa Nigeria. Jina lake la kuzaliwa ni Ebenezer Remilekun Aremu Olasupo Fabiyi. Alizaliwa 1942 huko Ogun State. Alikuwa anapiga muziki wa Juju na Highlife.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ebenezer Obey" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ebenezer Obey kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine