1852
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 26 Januari - Pierre Brazza
- 28 Septemba - Henri Moissan (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1906)
- 2 Oktoba - William Ramsay (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1904)
- 9 Oktoba - Hermann Emil Fischer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1902)
- 3 Novemba - Mutsuhito (Meiji), Mfalme Mkuu wa Japani
- 15 Desemba - Antoine Henri Becquerel (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1903)
- 19 Desemba - Albert Abraham Michelson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1907)