User:Pmusyoki
From Wikipedia
Mimi naitwa Philip, mzaliwa wa Kenya. Naunga mkono sera zinazopendela mabadiliko, pamoja na demokrasi na uhuru wa kibinafsi.
Userboxes |
---|
[edit] Kuhusu mambo ninayo andika
Napenda sana kuandika juu ya mambo yanayohusu siasa za Afrika and wanasiasa wa Afrika.Pia nachangia mambo kuhusu demokrasia, uhuru and haki.
[edit] Kuhusu mimi
- Mimi ni mzaliwa wa Kenya, Afrika ya Mashariki.
- Napendelea mambo ya siasa, sanasana siasa za Afrika, na hali ya dunia kwa kiujumla.
- Napenda nyimbo za kitamaduni na zile za Mariachi.
- Napenda michezo ya kompiuta ya Deus Ex na Doom.
Template:Userpage sw:User:PMusyoki