Reigen
From Wikipedia
Reigen (1654 – 1732) alikuwa mfalme mkuu wa 112 (Tenno) wa Japani. Baba yake alikuwa mfalme mkuu Go-Mizunoo. Mwaka wa 1663 alimfuata mfalme mkuu Go-Sai, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1687. Mwaka wa 1713 akawa mtawa wa Buddha. Aliyemfuata kama mfalme ni Higashiyama.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Reigen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Reigen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |