1940
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 4 Januari - Gao Xingjian (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 2000)
- 4 Januari - Brian Josephson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1973)
- 9 Februari - John Maxwell Coetzee (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 2003)
- 24 Mei - Joseph Brodsky (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1987)
- 3 Septemba - Joseph Sinde Warioba, Waziri Mkuu wa Tanzania
- 9 Oktoba - John Lennon (mwanamuziki Mwingereza)
- 13 Oktoba - Pharaoh Sanders, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 27 Novemba - Bruce Lee
[edit] Waliofariki
- 16 Machi - Selma Lagerlof (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1909)
- 20 Mei - Verner von Heidenstam (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1916)