Wasandawe

From Wikipedia

Wasandawe ni kabila kutoka eneo la wilaya ya Kondoa, mkoa wa Dodoma, kati ya nchi ya Tanzania. Mwaka 2000 idadi ya Wasandawe ilikadiriwa kuwa 40,000 [1]. Lugha yao ni Kisandawe.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wasandawe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wasandawe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine