Svante Arrhenius

From Wikipedia

Svante Arrhenius
Svante Arrhenius

Svante Arrhenius (19 Februari, 18592 Oktoba, 1927) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Sweden. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza uchanganuaji dutu kwa nguvu za umeme (elektrolisisi). Mwaka wa 1903 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Svante Arrhenius" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Svante Arrhenius kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.