Donald A. Glaser

From Wikipedia

Donald Arthur Glaser (amezaliwa 21 Septemba, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1960 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Donald A. Glaser" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Donald A. Glaser kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.