Kanda za dunia

From Wikipedia

UM imegawa kanda za dunia kwa kusudi la kupanga takwimu za nchi
UM imegawa kanda za dunia kwa kusudi la kupanga takwimu za nchi

Kanda za dunia za Umoja wa Mataifa ni mpangilio wa nchi za dunia kwa kanda mbalimbali.

Kanda zimepangwa kufuatana na bara. Kusudi la mpangilio huu ni namna ya kuonysha takwimu hukusu dunia yetu.

Hali halisi haulingani kila mahali na utamaduni au historia ya kila mahali panapotajwa humo.