Camillo Golgi

From Wikipedia

Camillo Golgi (7 Julai, 184421 Januari, 1926) alikuwa daktari kutoka nchi ya Italia. Hasa alichunguza mfumo wa neva. Mwaka wa 1906, pamoja na Santiago Ramon y Cajal alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Camillo Golgi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Camillo Golgi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.