Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi

From Wikipedia

Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi

Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi ni kati ya mikoa 26 za Tanzania. Mikoa mitatu kati yao iko Unguja kisiwani.

Mkoa huu una wilaya mbili ndizo mjini yaani Jiji la Zanzibar na Unguja Magharibi.

Idadi ya wakazi ni 390,074; mjini wako 205,870 na Unguja Magharibi 184,204 (sensa ya 2002).


 
Mikoa ya Tanzania
Bandera Tanzania
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Iringa | Kagera | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.