7 Agosti
From Wikipedia
Jul - Agosti - Sep | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
[edit] Matukio
- 1960 - Nchi ya Côte d'Ivoire inapata uhuru kutoka Ufaransa.
[edit] Waliozaliwa
- 1533 - Valentin Weigel (mwanateolojia Mjerumani)
- 1904 - Ralph Bunche (mwanasiasa Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1950)
[edit] Waliofariki
- 1901 - Oreste Baratieri, jenerali ya Kiitalia aliyeshindwa 1896 katika mapigano ya Adowa.
- 1941 - Rabindranath Tagore (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1913)