Bob Dylan
From Wikipedia
Bob Dylan alikuwa mwanamuziki wa Marekani. Jina lake la kuzaliwa ni Robert Allen Zimmerman. Alizaliwa 24 Mei, 1941 huko Duluth, Minnesota. Alikuwa anapiga muziki wa Folk na Rock.
Bob Dylan alikuwa mwanamuziki wa Marekani. Jina lake la kuzaliwa ni Robert Allen Zimmerman. Alizaliwa 24 Mei, 1941 huko Duluth, Minnesota. Alikuwa anapiga muziki wa Folk na Rock.