Niger (maana)

From Wikipedia

Niger ni neno linaloweza kumaanisha:

  • Niger nchi ya Afrika ya Magharibi
  • Niger (mto) ni mto mkuwa wa Afrika ya magharibi
  • Niger (Nigeria) ni dola mojawapo wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria
  • Niger (meli) ilikuwa jina la meli za kivita za Uingereza
  • "niger" ni neno la lugha ya Kilatini linalomaanisha "nyeusi"
Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja.

Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.