Billy Hughes

From Wikipedia

William Morris "Billy" Hughes CH PC KC (25 Septemba, 186228 Oktoba, 1952) alikuwa mwanasiasa wa Australia. Alikuwa mbunge wa muda mrefu kabisa katika historia ya Australia, na pia alikuwa Waziri Mkuu kuanzia mwaka wa 1915 hadi 1923.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Billy Hughes" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Billy Hughes kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.