Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

From Wikipedia

Nembo
Nembo

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (kifupisho chake UDSM kutoka Kiingereza "University of Dar es Salaam") ni chuo kikuu cha kwanza nchini Tanzania. Kiko katika jiji la Dar es Salaam. Kilianza kuwa chuo kikuu mwaka wa 1970 baada ya kutengwa kwa Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki katika byuo vikuu vitatu: Chuo Kikuu cha Makerere (Uganda), Chuo Kikuu cha Nairobi (Kenya) na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

[edit] Watu mashuhuri waliopitia UDSM

[edit] Viungo vya nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Chuo Kikuu cha Dar es Salaam" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.