Simon van der Meer

From Wikipedia

Simon van der Meer (amezaliwa 24 Novemba, 1925) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza usumaku wa sehemu za atomu. Mwaka wa 1984, pamoja na Carlo Rubbia alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Simon van der Meer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Simon van der Meer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.