Penina Muhando

From Wikipedia

Penina Muhando (amezaliwa 1948) ni mwandishi wa kike kutoka nchi ya Tanzania. Hasa ameandika tamthiliya. Baadhi yao ni:

  • Hatia (1972)
  • Tambueni haki zetu (1973)
  • Heshima yangu (1974)
  • Pambo (1975)
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Penina Muhando" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Penina Muhando kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.