Pyotr Kapitsa

From Wikipedia

mchoro wa Kapitsa (upande wa kushoto) ulivyochorwa na Boris Kustodiyev
mchoro wa Kapitsa (upande wa kushoto) ulivyochorwa na Boris Kustodiyev

Pyotr Leonidovich Kapitsa (8 Julai, 18948 Aprili, 1984) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Hasa alichunguza nadharia ya usumaku. Alifanya kazi nchini Uingereza pamoja na Ernest Rutherford kuanzia mwaka wa 1921 hadi 1934 alipolazimishwa na Yosip Stalin kubaki Urusi kama mkurugenzi wa utafiti wa fizikia. Mwaka wa 1978, pamoja na Arno Penzias na Robert Woodrow Wilson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Pyotr Kapitsa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Pyotr Kapitsa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.