Cayman
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: "He hath founded it upon the seas" | |||||
Wimbo wa taifa: God Save the Queen Mungu abariki Malkia |
|||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | George Town |
||||
Mji mkubwa nchini | George Town | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
Serikali
Malkia wa Uingereza
Gavana Mtendaji wa Serikali |
Ufalme wa kikatiba Elizabeth II wa Uingereza Stuart Jack Kurt Tibbetts |
||||
Kuundwa Kutengwa na Jamaila |
1962 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
260 km² (ya 206) 1.6 |
||||
Idadi ya watu - 2005 kadirio - 1999 sensa - Msongamano wa watu |
45,017 (ya 208) 39,020 139.5/km² (ya 63) |
||||
Fedha | Cayman dollar (KYD ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-5) (UTC-5) |
||||
Intaneti TLD | .ky | ||||
Kodi ya simu | +1-345 |
Visiwa vya Cayman ni funguvisiwa vya Karibi na eneo la ng'ambo la Uingereza katika Bahari ya Karibi upande wa kusini wa Kuba na upande wa magharibi wa Jamaika. Eneo lake ni visiwa vitatu vya Grand Cayman, Little Cayman na Cayman Brac, jumla 260 km².
Mji mkuu ni George Town kwenye kisiwa cha Grand Cayman.
Uchumi umetegemea hasa huduma za benki na utalii.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Cayman" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Cayman kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |