Kaledonia Mpya

From Wikipedia

Nouvelle-Calédonie
New Caledonia
Flag of New Caledonia Emblem ya New Caledonia
Bendera Emblem
Wito la taifa: --
Wimbo wa taifa: La Marseillaise
Lokeshen ya New Caledonia
Mji mkuu Nouméa
°′  °′ 
Mji mkubwa nchini Nouméa
Lugha rasmi Kifaransa
Serikali
Rais wa Ufaransa
Kamishna Mkuu
Rais wa serikali ya Kaledonia Mpya
(Eneo la ng'ambo la Ufaransa)
Jacques Chirac
Michel Mathieu
Marie-Noëlle Thémereau
Eneo la ng'ambo la Ufaransa
{{{established_events}}}
{{{established_dates}}}
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
18,575 km² (ya 154)
--
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - Septemba 2004 sensa
 - Msongamano wa watu
 
237,000 (ya 182)
230,789
13/km² (ya 200)
Fedha CFP franc (XPF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+11)
(UTC)
Intaneti TLD .nc
Kodi ya simu +687

Kaledonia Mpya (Kifaransa: Nouvelle-Calédonie - nuvel kaledoni) ni eneo la ng'ambo la Ufaransa katika bahari ya Pasifiki. Kisiwa kikubwa cha Grande Terre pamoja na visiwa vingine ni sehemu ya Melanesia. Jumla la eneo la visiwa vyote ni 18,575 km² na kuna wakazi 230,789. Mji mkuu ni Nouméa. Hadi sasa pesa ni Franc ya pasifiki lakini kuna majidiliano kutumia Euro jinsi ilivyo Ufaransa bara.

Watu wa Kaledonia mpya watapiga kura mwaka 2014 kama watapendelea kujitegemea kama nchi huru au kuendelea kama sehemu ya Ufaransa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kaledonia Mpya" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kaledonia Mpya kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.