Wahehe
From Wikipedia
Wahehe ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Iringa. Lugha yao ni Kihehe.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wahehe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wahehe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Lugha hihi imegawanyika kiasi fulani katika lahja (matamshi) tofauti tofauti kutokana na kutofautiana kwa maeneo ambayo huzungumza luhga hii lugha hii imefanana sana kimatamshi na kimaana na lugha ya kibena iliyopo wilayani Njombe.Ikifuatiwa na kikinga iliyopo wilayani makete.