Robert Barany
From Wikipedia
Robert Bárány (22 Aprili, 1876 – 8 Aprili, 1936) alikuwa daktari na mwanakemia kutoka nchi ya Hungaria. Mwaka wa 1914 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Robert Bárány (22 Aprili, 1876 – 8 Aprili, 1936) alikuwa daktari na mwanakemia kutoka nchi ya Hungaria. Mwaka wa 1914 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.