1946
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 19 Machi - Guyana ya Kifaransa, Guadeloupe, Martinique na Réunion zinapewa hali ya kuwa mikoa ya ng'ambo ya Ufaransa
[edit] Waliozaliwa
- 17 Oktoba - Graca Machel, mke wa marehemu Samora Machel, na sasa mke wa Nelson Mandela
- 20 Oktoba - Elfriede Jelinek (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2004)
[edit] Waliofariki
- 6 Juni - Gerhart Hauptmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1912)