Korogwe (mji)

From Wikipedia

Korogwe ni mji upande wa Kaskazini-Mashariki wa Tanzania ambao ni makao makuu ya Wilaya ya Korogwe. Mwaka wa 2002, idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 44,000. Pia ni makao makuu ya Dayosisi ya Kanisa la Anglikana ya Tanga.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Korogwe (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Korogwe (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine