Morogoro (mji)

From Wikipedia

Mji wa Morogoro ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Morogoro. Kulingana na sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 228,863 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Morogoro (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Morogoro (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine