Cleopa David Msuya
From Wikipedia
Cleopa David Msuya (amezaliwa 4 Novemba, 1931) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Alikuwa Waziri Mkuu mara mbili, 7 Novemba, 1980 hadi 24 Februari, 1983, na tena 7 Desemba, 1994 hadi 28 Novemba, 1995.
Cleopa David Msuya (amezaliwa 4 Novemba, 1931) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Alikuwa Waziri Mkuu mara mbili, 7 Novemba, 1980 hadi 24 Februari, 1983, na tena 7 Desemba, 1994 hadi 28 Novemba, 1995.