Murray Gell-Mann

From Wikipedia

Murray Gell-Mann (amezaliwa 15 Septemba, 1929) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alikuwa wa kwanza kutumia jina la quark kwa sehemu za atomu. Mwaka wa 1969 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Murray Gell-Mann" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Murray Gell-Mann kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.