Sully Prudhomme

From Wikipedia

Sully Prudhomme
Sully Prudhomme

Sully Prudhomme (16 Machi, 18397 Septemba, 1907) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Ufaransa. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa René-François-Armand Prudhomme. Mashairi yake yanaonyesha sifa za ujumi. Mwaka wa 1901 alikuwa mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Nobel kwa Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sully Prudhomme" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sully Prudhomme kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.