Cotonou

From Wikipedia

Mahali pa Cotonou nchini Benin
Mahali pa Cotonou nchini Benin

Cotonou ni mji mkubwa wa Benin na kitovu chake cha kiuchumi. Rasmi si mji mkuu wa nchi ambao kisheria ni mji wa Porto Novo. Lakini hali halisi wizara nyinga zina ofisi zao hapa siyo Porto Novo.

Mji una wakazi zaidi ya milioni moja. Uko katika kusini ya nchi kati ya pwani la Atlantiki na ziwa Nokoue kwenye 6°22'N 2°26'E.

Mji una pia banadari kuu ya Benin.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Cotonou" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Cotonou kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.