Buenos Aires
From Wikipedia
Buenos Aires (kihisp.: "upepo mzuri") ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Argentina katika Amerika Kusini mwenye wakazi 2,776,234.
Mji uko kando la Río de la Plata kwenye pwani la mashariki ya Amerika Kusini kwa 34°36′S na 58°23′W. Magharibi ya Buenos Aires zinanaza tambarare zenye rutba za pampa.
[edit] Viungo vya Nje
- Google Maps Satellite city View
- digital Buenos Aires
- Buenos Aires Travel Guide
- english.buenosaires.com - Tourism Portal
- Official Tourism Website (English, Spanish, Portuguese and guides in ten different languages including Chinese, Japanese, French, German, Italian, etc.)