Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
From Wikipedia
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (kifupisho chake UDSM kutoka Kiingereza "University of Dar es Salaam") ni chuo kikuu cha kwanza nchini Tanzania. Kiko katika jiji la Dar es Salaam. Kilianza kuwa chuo kikuu mwaka wa 1970 baada ya kutengwa kwa Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki katika byuo vikuu vitatu: Chuo Kikuu cha Makerere (Uganda), Chuo Kikuu cha Nairobi (Kenya) na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
[edit] Watu mashuhuri waliopitia UDSM
- Yoweri Museveni
- John Garang
- Walter Rodney
- Jakaya Kikwete
- Francis K. Butagira
- Laurent-Désiré Kabila
- Asha-Rose Migiro
[edit] Viungo vya nje
- University of Dar es Salaam - Tovuti rasmi ya Chuo Kikuu