Gamalieli

From Wikipedia

Gamalieli alikuwa kiongozi wa kabila la Manase anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 20.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Gamalieli" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gamalieli kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.