Wilaya ya Wete

From Wikipedia

Wilaya ya Wete ni wilaya moja ya Mkoa wa Pemba Kaskazini. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 102,482 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wilaya ya Wete" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wilaya ya Wete kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine