Carlo Rubbia

From Wikipedia

Carlo Rubbia (amezaliwa 31 Machi, 1934) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Italia. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza usumaku wa sehemu za atomu. Mwaka wa 1984, pamoja na Simon van der Meer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Carlo Rubbia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Carlo Rubbia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.