Rudyard Kipling

From Wikipedia

Rudyard Kipling (30 Desemba, 186518 Januari, 1936) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aliandika riwaya fupi kwa ajili ya kutetea ukoloni. Mwaka wa 1907 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Rudyard Kipling" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Rudyard Kipling kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.