333 KK

From Wikipedia

Contents

[edit] Matukio

[edit] Ugiriki wa Kale / Uajemi

  • Aleksander Mkuu anaendelea na vita katika Anatolia dhidi ya Uajemi. Anafungua fundo la Gordion kwa kuikata.
  • Novemba - Mapigano ya Issos, Aleksander anashinda jeshi la Mfalme Mkuu Darius III wa Uajemi. Mfalme anakimbia lakini mke na watoto wake wanakamatwa na Wagiriki.

[edit] Roma ya Kale

  • Publius Cornelius Rufinus anachaguliwa kuwa dikteta wa jamhuri ya Roma.

[edit] Waliozaliwa

  • Zenon wa Kition ni mwanafalsafa Mgiriki na mwanzisilishaji wa falsafa ya stoa († 264 KK)

[edit] Waliofariki

  • Memnon wa Rhodos aliyekuwa jemadari Mgiriki wa kukudoshwa