Orodha ya vyama vya siasa Tanzania
From Wikipedia
Tanzania ni nchi yenye mfumo wa vyama vingi vya siasa uliorejeshwa katika katiba ya Tanzania mwaka 1992.
Chama tawala ni
- Chama cha Mapinduzi (CCM) ambacho kimetokana na muungano kati ya
-
- Tanganyika African National Union (TANU) na
- Afro Shiraz Party (ASP) ya Zanzibar.
Vyama vingine vya siasa Tanzania ni
- Civic United Front (CUF),
- Tanzania Labour Party (TLP),
- Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),
- National Convention for Constitution and Reconstruction-Mageuzi (NCCR-Mageuzi),
- National League of Democracy (NLD),
- Democratic Party (DP), na
- Demokrasia Makini.