1598
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 13 Aprili - Mfalme Henri IV wa Ufaransa atoa tamko la Nantes linalowapa Waprotestant haki sawa na Wakatoliki nchini Ufaransa na kumaliza vita ya kidhehebu.
- Agosti: Wapinzani wa Ueire wanashinda jeshi la Uingereza katika vita ya miaka tisa kati ya Ueire na Uingereza.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 13 Septemba - Mfalme Filipo II wa Hispania (* 1526)