Yangon

From Wikipedia

Yangon (pia:Rangun) ni mji mkubwa wa Myanmar. Ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi 2005.

Kuna wakazi zaidi ya milioni 4. Mji uko kando la mto Hlaing karibu na bahari.

[edit] Picha za Rangun

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Yangon" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Yangon kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.