Thomas Jefferson
From Wikipedia
Thomas Jefferson alikuwa mwandishi wa katiba ya Marekani aliyetumia Nadharia ya John Locke na kupanga hoja za kupinga Marekani kuendelea kuwa chini ya mfumo wa utawala wa Kifalme chini ya Uingereza.
Thomas Jefferson alikuwa mwandishi wa katiba ya Marekani aliyetumia Nadharia ya John Locke na kupanga hoja za kupinga Marekani kuendelea kuwa chini ya mfumo wa utawala wa Kifalme chini ya Uingereza.