Charles Townes

From Wikipedia

Charles Townes (mwaka wa 1968)
Charles Townes (mwaka wa 1968)

Charles Hard Townes (amezaliwa 28 Julai, 1915) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza mionzi ya aina mbalimbali na kuvumbua leza. Mwaka wa 1964, pamoja na Nikolai Basov na Aleksander Prokhorov alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Charles Townes" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Charles Townes kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.