Jamhuri ya Kongo

From Wikipedia

---Sidenote START---
République du Congo
Jamhuri ya Kongo
Bendera ya Jamhuri ya Kongo
Nembo
(Details) (Details)
Hadabu: « Unité, Travail, Progrès »
Kifaransa: „Umoja, Kazi, Maendeleo“
Lugha rasmi Kifaransa
Lugha ya Taifa Lingala, Munukutuba
Mji Mkuu Brazzaville
Serikali Jamhuri
Raisi Denis Sassou-Nguesso
Eneo 342.000 km²
Wakazi 3.9 Mio. (UN, 2005)
Wakazi / km² 11
JPT/Mkazi 1.129 US-$ (2004)
Uhuru kutoka Ufaransa tar. 15.08.1960
Pesa CFA-Franc
Wakati MEZ
Wimbo wa Taifa La Congolaise
Image:Kongo-Pos.png
Ramani ya Jamhuri ya Kongo

Jamhuri ya Kongo ni nchi ya Afrika ya Kati. Imejulikana pia kama Kongo-Brazzaville kutokana na mji mkuu kwa kusudi la kutochanganywa na nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Jamhuri ya Kongo imepakana na Gabon, Kamerun, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Angola na Bahari ya Atlantiki.

Nchi ilikuwa koloni ya Ufaransa.


Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Jamhuri ya Kongo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jamhuri ya Kongo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.