Papa Pius VIII

From Wikipedia

Pius VIII
Pius VIII

Papa Pius VIII (20 Novemba 1761 – 30 Novemba 1830) alikuwa Papa kuanzia 31 Machi 1829 hadi kifo chake. Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Francesco Saverio Castiglioni. Alivishwa taji 5 Aprili 1829.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Papa Pius VIII" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Papa Pius VIII kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.