Lindi Mjini

From Wikipedia

Wilaya ya Lindi Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Lindi. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 41,549 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Lindi Mjini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Lindi Mjini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine