Ukraine

From Wikipedia

Україна
Ukrayina

Ukraine
Flag of Ukraine Nembo ya Ukraine
Bendera Nembo
Wito la taifa: --
Wimbo wa taifa: Ще не вмерла України
Shche ne vmerla Ukrajiny]]
"Ukraine's glory has not perished"
Lokeshen ya Ukraine
Mji mkuu Kiev (Kyiv)
50°27′ N 30°30′ E
Mji mkubwa nchini Kiev
Lugha rasmi Kiukraine
Serikali
Rais
Waziri Mkuu
Demokrasia
Viktor Yushchenko
Viktor Yanukovych
Uhuru
ilitangazwa
Kura ya maoni ya wananchi
ilikubaliwa
24 Agosti 1991
1 Desemba 1991
25 Desemba 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
603,700 km² (ya 44)
7%
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
46,481,000 (ya 27)
48,457,102
77/km² (114th)
Fedha Hryvnia ya Ukraine (UAH)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)
Intaneti TLD .ua
Kodi ya simu +380
Ramani ya Ukraine
Ramani ya Ukraine

Ukraine (Україна}}, Ukraina) ni nchi ya Ulaya ya Mashariki. Imepakana na Urusi, Belarus, Poland, Slovakia, Hungaria, Romania na Moldova. Kuna pwani la Bahari Nyeusi na ghuba ya Azov. Mji mkuu ni Kiev (Kyiv).

[edit] Lugha na utamaduni

Kiukraine (українська мова "ukrajin's'ka mova") ni lugha rasmi lakini angalau nusu ya wakazi hutumia Kirusi. Kuikraine lugha ya Kislavoni karibu sana na Kirusi. Kwa muda mrefu Ukraine ilitawaliwa na Urusi na Kirusi ikilikuwa lugha ya utawala hali halisi. Tangu uhuru serikali imeendesha siasa ya kujenga lugha ya kitaifa.

[edit] Wakazi

Sensa ya 2001 ilionyesha ya kwamba 77% za wakazi hujiita "Waukraine". Waliojiita Warusi walikuwa 17%. Vikundi vingi vingine kama Wabelarus, Wamoldovia, Watartari, Wabulgaria, Wapoland, Wayahudi na wengine walikuwa kila moja chini ya 1%.