Iringa Kijijini

From Wikipedia

Wilaya ya Iringa Kijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Iringa. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 245,623 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Iringa Kijijini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Iringa Kijijini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine