Thomas Weller

From Wikipedia

Thomas Huckle Weller (amezaliwa 15 Juni, 1915) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza virusi visababishavyo magonjwa mbalimbali. Mwaka wa 1954, pamoja na Frederick Robbins na John Enders alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Thomas Weller" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Thomas Weller kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.