Wasegeju

From Wikipedia

Wasegeju ni kabila kutoka eneo baina ya Tanga na mpaka wa Kenya, pwani ya nchi ya Tanzania. Kabila hili lina mahusiano mengi na Wadhaiso. Mwaka 2003 idadi ya Wasegeju ilikadiriwa kuwa chini ya 15,000, na chini ya 7,000 wanaosema Kisegeju [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wasegeju" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wasegeju kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine