Frederick Robbins

From Wikipedia

Frederick Chapman Robbins (25 Agosti, 19164 Agosti, 2003) alikuwa daktari wa watoto kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza virusi visababishavyo magonjwa mbalimbali. Mwaka wa 1954, pamoja na John Enders na Thomas Weller alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Frederick Robbins" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Frederick Robbins kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.