Waha
From Wikipedia
Waha ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Kigoma, pia mpakani na Burundi. Lugha yao ni Kiha.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Waha" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Waha kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |