Dennis Gabor
From Wikipedia
Dennis Gabor (5 Juni, 1900 – 8 Februari, 1979) alikuwa mhandisi kutoka nchi ya Hungaria. Mwaka wa 1933, baada ya kufanya kazi nchini Ujerumani, alihamia Uingereza. Hasa alichunguza nadharia ya upigaji picha na kuvumbua holografia. Mwaka wa 1971 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.