Shinyanga (mji)

From Wikipedia

Shinyanga ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Shinyanga. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 135,166 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Shinyanga (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Shinyanga (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine