User talk:Joseph
From Wikipedia
Mimi naitwa joseph na nimechanga, kaandika vifungu vya kenya na eritrea, wengine mjitolee, asante. Kweli ni kazi ngumu hasaa kuleta picha na michoro kwa Vikurasa.
Karibu Wikipedia ya Kiswahili! --Chamdarae 00:09, 16 Desemba 2005 (UTC)
Karibu sana Joseph. Polepole ndio mwendo.