Aristide Briand

From Wikipedia

Aristide Briand (28 Machi, 18627 Machi, 1932) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Ufaransa. Kati ya 1906 na 1932 alikuwa Waziri Mkuu mara 11. Mwaka wa 1926, pamoja na Gustav Stresemann alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Aristide Briand" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Aristide Briand kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.