Wampoto
From Wikipedia
Wampoto ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Ruvuma, Wilaya ya Mbinga. Lugha yao ni Kimpoto.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wampoto" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wampoto kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |