Vincent Ferrer
From Wikipedia
Vincent Ferrer (takriban 1350 – 5 Aprili, 1419) alikuwa mtawa na mhubiri kutoka nchi ya Hispania. Alisaidia kukomesha Farakano Kuu la Kanisa. Mwaka wa 1455 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 5 Aprili.
Vincent Ferrer (takriban 1350 – 5 Aprili, 1419) alikuwa mtawa na mhubiri kutoka nchi ya Hispania. Alisaidia kukomesha Farakano Kuu la Kanisa. Mwaka wa 1455 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 5 Aprili.