Morogoro Mjini

From Wikipedia

Wilaya ya Morogoro Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Morogoro. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 228,863 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Morogoro Mjini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Morogoro Mjini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine