Charles Richet

From Wikipedia

Charles Robert Richet (25 Agosti, 18504 Novemba, 1935) alikuwa daktari na mwanafiziolojia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza vimiminiko vya mwili kama damu, jasho na kadhalika. Mwaka wa 1913 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Charles Richet" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Charles Richet kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.