Kinu

From Wikipedia

Kwa asili kinu ni kifaa kinachotengenezwa kwa kutumia miti migumu ambapo gogo hutobolewa sehemu ya juu katikati kuelekea chini ambapo upana wa tundu hupungua kuelekea chini tundu hilo hutumika kuwekea vitu vinavyohitaji kusagwa ili kinu kikamilike huhitaji mchi ambao hutumika kusagia vitu vilivyowekwa ndani ya kinu.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kinu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kinu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.