Chapati
From Wikipedia
Chapati ni chakula muhimu nchini Tanzania, ni kama mkate mbapa unaookwa bila mafuta. Kwa asili chapati zimetoka Uhindi.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Chapati" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Chapati kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |