Wamakonde

From Wikipedia

Wamakonde ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mtwara. Pia wako Msumbiji. Lugha yao ni Kimakonde.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wamakonde" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wamakonde kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.