Basil wa Caesarea

From Wikipedia

Mtakatifu Basil, Askofu Mkuu wa mji wa Caesarea
Mtakatifu Basil, Askofu Mkuu wa mji wa Caesarea

Basil wa Caesarea (takriban 329 – 1 Januari, 379) alikuwa askofu katika mji wa Caesarea. Alitangazwa kuwa mtakatifu punde baada ya kifo chake. Sikukuu yake ni 2 Januari.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Basil wa Caesarea" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Basil wa Caesarea kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.