John Maron

From Wikipedia

John Maron (kwa Kiarabu Yuhanna Marun) alikuwa askofu mkuu wa mji wa Antioch kuanzia 685 hadi 707. Aliongoza Kanisa la Maroniti. Ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Maron" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Maron kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine