Walambya

From Wikipedia

Walambya ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Ileje. Pia wako Malawi. Lugha yao ni Kilambya.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Walambya" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Walambya kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine