Wanyamwanga
From Wikipedia
Wanyamwanga ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Mbozi, na Mkoa wa Rukwa, Wilaya ya Sumbawanga. Lugha yao ni Kinyamwanga.
Wanyamwanga ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Mbozi, na Mkoa wa Rukwa, Wilaya ya Sumbawanga. Lugha yao ni Kinyamwanga.