Waluguru
From Wikipedia
Waluguru ni kabila la Tanzania wanaoishi katika mikoa ya Morogoro na Pwani, hasa kwenye Milima ya Uluguru. Lugha yao ni Kiluguru.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Waluguru" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Waluguru kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |