Tsung-Dao Lee

From Wikipedia

Tsung-Dao Lee (amezaliwa 25 Novemba, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya China; baadaye alihamia Marekani. Hasa alichunguza vipande vya atomu na nadharia yake. Mwaka wa 1957, pamoja na Chen Ning Yang alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Tsung-Dao Lee" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Tsung-Dao Lee kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.