Singida (mji)
From Wikipedia
Singida ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Singida. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 115,354 [1].
Singida ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Singida. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 115,354 [1].