Lindi (mji)

From Wikipedia

Lindi ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Lindi. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 41,549 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Lindi (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Lindi (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine