Hermann Emil Fischer

From Wikipedia

Hermann Emil Fischer (9 Oktoba, 185215 Julai, 1919) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Baadhi ya utafiti mwingine aligundua usanisi wa glukosi (aina ya sukari). Mwaka wa 1902 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hermann Emil Fischer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hermann Emil Fischer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.