Msesewe
From Wikipedia
Msesewe unatokana na mti unaoitwa msesewe. Utengenezaji wake wanabandua magamba ya msesewe wanaanika kwenye jua, wanakuupigapiga na kuwa katika vipande vidogovidogo, ambavyo hupelekwa machineni kwa kusaga na kuwa katika hali ya unga. Utumiaji wake baada ya pombe kupikwa huwekwa huu unga ili kuongeza ukali wa pombe na pia kuweza kuweka pombe hiyo kukaa kwa muda mrefu. Msesewe hufanya kazi kwa muda wa masaa sita tu pale inapokuwa imepikwa na pombe.