Roseau

From Wikipedia

Roseau
Roseau
Roseau na bandari pamoja na meli ya utalii
Roseau na bandari pamoja na meli ya utalii

Roseau ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Dominica katika Karibi. Ni mji mdogo mwenye wakazi 14,000.

Iko upande wa magharibi wa kisiwa (kwenye 15°18'N - 61°23'W). Mji ulianzishwa na Ufaransa wakati wa karne ya 18 una majengo ya zamani za Wafaransa na pia za kisasa.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Roseau" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Roseau kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.