Grenada
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: Ever Conscious of God We Aspire, Build and Advance as One People | |||||
Wimbo wa taifa: Hail Grenada Wimbo la Kifalme: God Save the Queen |
|||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | St. George's |
||||
Mji mkubwa nchini | St. George's | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
Serikali
Malkia
Gavana Mkuu Waziri Mkuu |
Ufalme wa kikatiba Bunge kwa namna ya Westminster Malkia Elizabeth II Sir Daniel Williams Keith Mitchell |
||||
Uhuru Kutoka Uingereza |
7 Februari 1974 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
344 km² (ya 203) 1.6 |
||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - Msongamano wa watu |
103,000 (ya 193) 259.5/km² (ya 45) |
||||
Fedha | East Caribbean Dollar (XCD ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-4) (UTC-4) |
||||
Intaneti TLD | .gd | ||||
Kodi ya simu | +1-473 |
Grenada ni nchi ya kisiwani katika kusini ya Bahari ya Karibi. Iko kaskazini ya Trinidad na Tobago na kusini ya Saint Vincent.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Grenada" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Grenada kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |