Elisuri
From Wikipedia
Elisuri alikuwa kiongozi wa kabila la Reubeni anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 10.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Elisuri" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Elisuri kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |