Kosta Rika

From Wikipedia

República de Costa Rica
Jamhuri ya Kosta Rika
Flag of Kosta Rika Nembo ya Kosta Rika
Bendera Nembo
Wito la taifa: ¡Vivan siempre el trabajo y la paz!
Wimbo wa taifa: Noble patria, tu hermosa bandera
Lokeshen ya Kosta Rika
Mji mkuu San Jose
9°56′ N 84°5′ W
Mji mkubwa nchini San Jose
Lugha rasmi Kihispania
Serikali
Rais
Jamhuri, demokrasia
Óscar Arias
Uhuru
Tarehe
15 Septemba 1821
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
51,100 km² (ya 129)
0.7%
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
4,327,000 (ya 119)
85/km² (ya 107)
Fedha colón (CRC)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-6)
(UTC)
Intaneti TLD .cr
Kodi ya simu +506
Ramani ya Kosta Rika.
Ramani ya Kosta Rika.

Kosta Rika (Costa Rica) ni nchi ya Amerika ya Kati. Imepakana na Nikaragua na Panama; kuna pwani la Pasifiki upande wa magharibi na pwani la Bahari ya Karibi upande wa mashariki.

Kosta Rika ilikuwa nchi ya kwanza duniani ya kufuta jeshi lake kikatiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kosta Rika" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kosta Rika kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.