Steven Weinberg
From Wikipedia
Steven Weinberg (amezaliwa 3 Mei, 1933) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza usumaku. Mwaka wa 1979, pamoja na Sheldon Glashow na Abdus Salam alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Steven Weinberg (amezaliwa 3 Mei, 1933) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza usumaku. Mwaka wa 1979, pamoja na Sheldon Glashow na Abdus Salam alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.