Tadeus Reichstein

From Wikipedia

Tadeus Reichstein (20 Julai, 18971 Agosti, 1996) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uswisi, lakini alizaliwa Poland. Hasa alichunguza homoni katika gamba la tezi adrenali. Mwaka wa 1950, pamoja na Edward Kendall na Philip Hench alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Tadeus Reichstein" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Tadeus Reichstein kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.