Yoshihito

From Wikipedia

Yoshihito (31 Agosti, 187925 Desemba, 1926) alikuwa mfalme mkuu (Tenno) wa Japani. Alimfuata baba yake, Mutsuhito, tarehe 13 Juni, 1912 na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni mwana wake Hirohito.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Yoshihito" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Yoshihito kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine