Mshikaji
From Wikipedia
Mshikaji ni lugha ya mtaani. Inamaananisha rafiki, lakini mara nyingi neno hili halitumiwi kwa watu wa karibu sana. Kwa kweli unaweza kuita kila mtu mshikaji (washikaji) na kuna tafauti katika urafiki na kuwa washikaji. Hata hiviyo mshaji anaweza kuwa rafiki. Achlabu watu wanasema nilipata kitu kicho kishikaji na ina maana kwamba walipata kutoka mtu walimjua na alijepunguza bei.