Papa Pius XI

From Wikipedia

Pius XI ofisini
Pius XI ofisini

Papa Pius XI (31 Mei 1857 – 10 Februari 1939) alikuwa Papa kuanzia 6 Februari, 1922 hadi kifo chake. Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Achille Ambrogio Damiano Ratti. Alivishwa taji 12 Februari 1922. Kabla ya kuchaguliwa kama Papa, alikuwa askofu mkuu wa Milano (tangu 1921).

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Papa Pius XI" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Papa Pius XI kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Image:Pius XI.jpg