Misri

From Wikipedia

جمهوريّة مصرالعربيّة
Gumhūriyyat Misr al-ʿarabiyya
Jamhuri ya Kiarabu ya Misri
Bendera ya Misri
Nembo la Misri
Lugha rasmi Kiarabu
Mji Mkuu Kairo
Serikali Jamhuri
Rais Muhammad Hosni Mubarak
Waziri Mkuu Ahmad Nazif
Eneo 1.001.450 km²
Wakazi 77.505.756 (Julai 2005)
Wakazi kwa km² 77 kwa jumla; katika bonde la Nile 1120
Uhuru 26 Julai, 1952 kutoka Uingereza
Pesa Lira au Pauni ya Misri = 100 Piaster
Wakati UTC +2
Wimbo ya Taifa Biladi, Biladi, Biladi (nchi yangu)
Image:Ägypten-Pos.png
Image:Karte Ägyptens.png

Misri (Kiarabu: مصر Masr) ni nchi ya Afrika ya Kaskazini-Mashariki. Rasi ya Sinai ambayo ni sehemu ya Misri huhesabiwa kuwa sehemu ya bara la Asia.

Misri imepakana na Bahari ya Mediteraneo, Israel, Eneo la mamalaka ya Palestina, ghuba la Suez, ghuba la Aqaba, Bahari ya Shamu, Sudan na Libya.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Misri" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Misri kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia