Je, hii ni ungwana

From Wikipedia

Je Huu ni Ungwana ni kipindi maarufu cha mtangazaji maarufu Leonard Mambo Mbotela cha elimu, burudani, na ucheshi nchini Kenya katika redio ya Kenya Broadcasting Corporation.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Je, hii ni ungwana" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Je, hii ni ungwana kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.