Mkoa wa Shinyanga
From Wikipedia
Mkoa wa Shinyanga ni kati ya mikoa 26 za Tanzania. Makao makuu ndipo Shinyanga. Mkoa umepakana upande wa kaskazini na mikoa ya Mwanza, Mara na Kagera, upande wa kusini na Mkoa wa Tabora. Mkoa wa Kigoma uko upande wa magharibi, Mkoa wa Singida kusini-magharibi na mikoa ya Arusha na Manyara mashariki.
Mkoa una wakazi 2,796,630 kufuatana na sensa ya 2002. [1]
[edit] Wilaya
Mkoa wa Shinyanga una wilaya 8: Bariadi, Bukombe, Kahama, Kishapu, Maswa, Meatu, Shinyanga vijijini and Shinyanga mjini.
[edit] Utamaduni
Makabila ya Shinyanga ndio hasa are the Wasukuma, Wanyamwezi na Wasumbwa.
[edit] Viungo vya nje
- Shinyanga Region Homepage for the 2002 Tanzania National Census
- Tanzanian Government Directory Database
|
![]() |
---|---|
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Iringa | Kagera | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi | |