Robert Sherwood

From Wikipedia

Robert Emmet Sherwood (4 Aprili, 189614 Novemba, 1955) alikuwa mwandishi wa michezo ya kuigiza kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa tamthiliya zake zinazojishughulikia na shida za kijamii na za kisiasa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Robert Sherwood" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Robert Sherwood kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine