Luigi Pirandello

From Wikipedia

Luigi Pirandello (28 Juni, 186710 Desemba, 1936) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Italia. Alijihusisha hasa na tamthiliya na nadharia yake. Mwaka wa 1934 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Luigi Pirandello" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Luigi Pirandello kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.