Johannes Vilhelm Jensen

From Wikipedia

Johannes Vilhelm Jensen (20 Januari, 187325 Novemba, 1950) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Denmark. Anajulikana hasa kwa riwaya yake "Safari Ndefu" (kwa Kidenmark Den lange rejse) iliyotolewa katika majuzuu sita miaka ya 1908-22. Mwaka wa 1944 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Johannes Vilhelm Jensen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Johannes Vilhelm Jensen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine