Saint-John Perse

From Wikipedia

Saint-John Perse (31 Mei, 188720 Septemba, 1975) alikuwa mwandishi na mwanasiasa kutoka nchi ya Ufaransa. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Marie-René-Auguste-Aléxis Saint-Léger Léger. Hasa aliandika mashairi. Mwaka wa 1960 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Saint-John Perse" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Saint-John Perse kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine