Rashidi Kawawa
From Wikipedia
Rashidi Mfaume Kawawa (amezaliwa 27 Mei, 1926) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Kuanzia tarehe 22 Januari, 1962 hadi tarehe 13 Februari, 1977 alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. Alifuatwa na Edward Sokoine.
Rashidi Mfaume Kawawa (amezaliwa 27 Mei, 1926) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Kuanzia tarehe 22 Januari, 1962 hadi tarehe 13 Februari, 1977 alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. Alifuatwa na Edward Sokoine.