Albrecht Kossel
From Wikipedia
Albrecht Kossel (16 Septemba, 1853 – 5 Julai, 1927) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza protini. Mwaka wa 1910 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Albrecht Kossel (16 Septemba, 1853 – 5 Julai, 1927) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza protini. Mwaka wa 1910 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.