Kilwa Masoko

From Wikipedia

Kilwa Masoko ni mji mdogo katika Tanzania ikiwa makao makuu ya Wilaya ya Kilwa tangu miaka ya 1960.

Iko barani ikitazama Kilwa Kisiwani. Mji ni wa kisasa. Kuna uwanja mdogo wa ndege pia bandari ndogo yenye kituo cha forodha.

Tarafa ina wakazi 12,324 (2002).

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kilwa Masoko" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kilwa Masoko kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.