August Krogh

From Wikipedia

August Krogh (15 Novemba, 187413 Septemba, 1949) alikuwa daktari na mwanafiziolojia kutoka nchi ya Denmark. Hasa alichunguza maswali ya uvutaji pumzi. Mwaka wa 1920 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "August Krogh" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu August Krogh kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.