Ubangi

From Wikipedia

Mto wa Ubangi
Ubangi inavyoonekana kutoka angani kati ya maeneo ya mashamba na msitu wa mvua
Ubangi inavyoonekana kutoka angani kati ya maeneo ya mashamba na msitu wa mvua
Chanzo Maungano ya mito Mbomou na Uele mpakani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Mdomo {{{mdomo}}}
Nchi Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jamhuri ya Kongo
Urefu 850 km, pamoja na Uele 2.272 km
Kimo cha chanzo  ? m
Mkondo 7,000 m³/s
Eneo la beseni 613,202 km²

Ubangi ni tawimto mkubwa wa mto Kongo na kati ya mito mirefu ya Afrika.