1887
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 24 Januari - Waethiopia wanawashinda Waitalia katika mapigano ya Dogali.
[edit] Waliozaliwa
- 4 Februari - Iyasu V
- 10 Aprili - Bernardo Houssay (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1947)
- 31 Mei - Saint-John Perse (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1960)
- 22 Juni - Julian Huxley (mwanabiolojia, na mkurugenzi wa kwanza wa UNESCO)
- 22 Julai - Gustav Hertz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1925)
[edit] Waliofariki
- 27 Februari - Alexander Borodin (mtungaji wa muziki Mrusi)