Saul Bellow

From Wikipedia

Saul Bellow (10 Juni, 19155 Aprili, 2005) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa nchini Kanada lakini. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1976 alipokea Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya riwaya yake "Kipaji cha Humboldt" (kwa Kiingereza Humboldt's Gift) iliyotolewa mwaka wa 1975. Mwaka uleule wa 1976 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Saul Bellow" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Saul Bellow kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine