Evo Morales

From Wikipedia

Evo Morales akipongezwa na rais Lula wa Brazil wakitazamwa na rais Hugo Chavez wa Kolombia
Evo Morales akipongezwa na rais Lula wa Brazil wakitazamwa na rais Hugo Chavez wa Kolombia

Juan Evo Morales Aima (* 26 Oktoba 1959) ni rais wa Bolivia tangu 22 Januari 2006. Morales ni Mwaymara na rais wa kwanza anayetoka kati ya wakazi asilia ya nchi.

Alianzisha na kuongoza chama cha Movimiento al Socialismo (harakati kwa ujamaa).