Antony Hewish
From Wikipedia
Antony Hewish (amezaliwa 11 Mei, 1924) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza mionzi ya nyota na kugundua nyota zinazodundadunda (kwa Kiingereza pulsar). Mwaka wa 1974, pamoja na Martin Ryle alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.