Ivo Andric
From Wikipedia
Ivo Andric (10 Oktoba, 1892 – 13 Machi, 1975) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Yugoslavia. Hasa aliandika riwaya; lugha yake ni KiSerbia. Mwaka wa 1961 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Ivo Andric (10 Oktoba, 1892 – 13 Machi, 1975) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Yugoslavia. Hasa aliandika riwaya; lugha yake ni KiSerbia. Mwaka wa 1961 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.