Hai
From Wikipedia
Wilaya ya Hai ni wilaya moja ya Mkoa wa Kilimanjaro. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Mbulu ilihesabiwa kuwa 259,958 [1]. Katika wilaya hiyo Wachaga wengi wanaishi ambao huzungumza lahaja tofauti, kama Wamachame na Wamasama.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Hai" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Hai kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |