Marijani Rajab

From Wikipedia

Marijan Rajab ni mmoja wa wanamuziki kutoka Tanzania ambaye atakumbukwa daima. Marijani alikuwa ni kiongozi wa bendi ya The Safari Tripers, na baadaye Dar International Orchestra. Uwezo wa Marijan kuandika tungo zinazogusa maisha ya kila siku kama vile mapenzi, msiba, wivu, ufukara, n.k. na kuziimba kwa sauti ya pekee ulimpa jina "jabali la muziki." Nyimbo maarufu alizoandika na kuimba Marijan ni pamoja na Georgina, Mayasa, Zuwena, Uzuri wa asili, Mateso, Masudi, na Mwanameka.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Marijani Rajab" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Marijani Rajab kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.