Wangulu
From Wikipedia
Wangulu (au Wanguu) ni kabila la Tanzania wanaoishi mpakani mwa mikoa mitatu ya Tanga, Dodoma na Morogoro. Lugha yao ni Kingulu.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wangulu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wangulu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |