Samuel Ting

From Wikipedia

Samuel Chad Chung Ting (amezaliwa 27 Januari, 1936) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uchina. Alipokuwa na umri wa miaka 20 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1976, pamoja na Burton Richter alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Samuel Ting" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Samuel Ting kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine