Mkoa wa Unguja Kaskazini
From Wikipedia
Mkoa wa Kaskazini Unguja ni moja kati ya mikoa 26 ya Tanzania. Iko Unguja kisiwani ambayo ni kisiwa kikubwa cha Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
Makao makuu ya mkoa uko Mkokotoni. Kuna wilaya mbili za Kaskazini Unguja 'A' na Kaskazini Unguja 'B'.
Eneo la mkoa ni 470 km² kuna wakazi 136,953 wakiwemo Kaskazini 'A' 84,348 na Kaskazini 'B' 52,605. Wengi wanajishughulisha na uvuvi na kilimo. Sehemu ya mashariki ya mkoa kuna kilimo cha karafuu. Upande wa magharibi utalii umeanza kuwa muhimu. Eneo la Ras Nungwi ni sehemu moja penye mahoteli ya watalii wa nje.
Kisiwa cha Tumbatu ni sehemu ya mkoa huu.
Miji ya mkoa ndiyo Mkokotoni, Mahonda na Gamba.
[edit] Viungo vya nje
Dira mikoani: Kaskazini Unguja
|
![]() |
---|---|
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Iringa | Kagera | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi | |