Charles Dawes

From Wikipedia

Charles Gates Dawes (27 Agosti, 186523 Aprili, 1951) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Kuanzia 1925 hadi 1929 alikuwa Makamu wa Rais. Mwaka wa 1925, pamoja na Austen Chamberlain alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Charles Dawes" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Charles Dawes kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.