Frederic Passy

From Wikipedia

Frederic Passy (20 Mei, 182212 Juni, 1912) alikuwa mtaalamu wa uchumi kutoka nchi ya Ufaransa. Anajulikana hasa kwa maandishi yake yaliyojaribu kuzuia vita. Mwaka wa 1901, pamoja na Henri Dunant, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Frederic Passy" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Frederic Passy kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.