Yasunari Kawabata

From Wikipedia

Yasunari Kawabata (11 Juni, 189916 Aprili, 1972) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ujapani. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1968 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Yasunari Kawabata" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Yasunari Kawabata kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine