Bukoba Vijijini

From Wikipedia

Wilaya ya Bukoba Vijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Kagera. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 395,130 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bukoba Vijijini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bukoba Vijijini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine