8 Juni

From Wikipedia

Mei - Juni - Jul
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30
Kalenda ya Gregori

[edit] Matukio

  • 68 - Bunge la Roma linakubali na mfalme mkuu Galba.
  • 536 - Silverius Mtakatifu amechaguliwa kuwa Papa.
  • 1624 - Mtetemeko wa ardhi unatokea katika nchi ya Peru.
  • 1866 - Bunge la Kanada linafanyika mara ya kwanza katika mji wa Ottawa.

[edit] Waliozaliwa

[edit] Waliofariki