Talk:Dini ya kiislamu

From Wikipedia

[edit] Maandishi

Naona maandishi haya yote yahamishwe kwenda "Uislamu". "Dini" ni istilahi inayohusu aina mbalimbali za imani. Halafu maelezo kuhusu dini zote zilingane na masharti ya kamusi elezo. Vilevile ukurasa huu wa majadiliano haufai kwa mahubiri au mafundisho ya kidini kama hapo chini. --Kipala 09:02, 26 Desemba 2005 (UTC)

Nimeyafuta. Matt Crypto 13:18, 21 Aprili 2006 (UTC)

[edit] Baki

Makala hii imeandikiwa kutoka maoni ya mwislamu. Wikipedia ina sera ya msingi ya "baki" (Neutrality/Neutral Point of View/NPOV kwa kiingereza). Hatuwezi kuandika kama kanuni za Uislamu (au Ukristo, Uyahudi n.k.) ni ukweli wala kuandika ni uongo. Matt Crypto 13:22, 21 Aprili 2006 (UTC)