Bertrand Russell

From Wikipedia

Bertrand Russell (18 Mei, 18722 Februari, 1970) alikuwa mwanafalsafa kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aliandika kuhusu mantiki ya hisabati. Pia alifanya makampeni kwa ajili ya amani ya mataifa. Mwaka wa 1950 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bertrand Russell" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bertrand Russell kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine