Mkuranga
From Wikipedia
Wilaya ya Mkuranga ni wilaya moja ya Mkoa wa Pwani. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 187,428 [1].
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Mkuranga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Mkuranga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |