Tanganyika
From Wikipedia
Tanganyika ni
- Ziwa la Tanganyika kati ya Tanzania na Kongo
Tanganyika ilikuwa sehemu kubwa wa koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani kasoro maeneo ya Rwanda na Burundi. Tanganyika imekabidhiwa kwa Uingereza na Shirikisho la Mataifa 1920 baada ya ya vita vikuu vya kwanza, wakati Ujerumani imechukuliwa koloni zake zote.
Waingerezea waliamua kutumia jina ya Tanganyika kwa ajili ya eneo hili kutokana na ziwa kubwa ambalo ni mpaka wa mashariki wa eneo lake.
Tanganyika imepata uhuru wake tar. 09.12.1961 (taz.: Historia ya Tanzania).
Mwaka 1964 imeunganishwa na Zanzibar kuwa Jamhuri ya Maungano ya Tanzania.
- Tanganyika, Kongo ni jina la wilaya ya Tanganyika katika Mkoa wa Katanga wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ufukoni wa Ziwa la Tanganyika.