Go-Momozono

From Wikipedia

Go-Momozono (17581779) alikuwa mfalme mkuu wa 118 (Tenno) wa Japani. Alikuwa mtoto wa Mfalme Mkuu Momozono. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Hidehito. Mwaka wa 1771 alimfuata shangazi yake, Go-Sakuramachi, na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni Kokaku.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Go-Momozono" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Go-Momozono kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine