Tunis
From Wikipedia
Tunis (Kiarabu: تونس ) ni mji mkuu wa Tunisia na mji mkubwa nchini ikiwa na wakazi 728,463 (mwaka 2004) ambao pamoja na wakazi wa mitaa ya nje wanafikia jumla ya milioni 1.6.
Mji uko ufukoni wa Mediteranea karibu na Karthago ya Kale.
[edit] Viungo vya Nje
- Lexicorient
- Video tour ya makumbusho ya Bardo
- Video of Tunis Medina
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Tunis" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Tunis kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |