Mpira wa miguu
From Wikipedia
Mpira wa miguu ni mchezo wa mpira ambapo timu mbili za wachezaji kumi na moja wanapingana. Wachezaji wanacheza sana kwa miguu; pia wanaruhusiwa kutumia sehemu nyingine za mwili ila mikono hairuhusiwi kutumiwa.
Mpira wa miguu ni mchezo wa mpira ambapo timu mbili za wachezaji kumi na moja wanapingana. Wachezaji wanacheza sana kwa miguu; pia wanaruhusiwa kutumia sehemu nyingine za mwili ila mikono hairuhusiwi kutumiwa.