Fredrik Bajer
From Wikipedia
Fredrik Bajer (21 Aprili, 1837 – 22 Januari, 1922) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Denmark. Mwaka wa 1908, pamoja na Klas Pontus Arnoldson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.
Fredrik Bajer (21 Aprili, 1837 – 22 Januari, 1922) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Denmark. Mwaka wa 1908, pamoja na Klas Pontus Arnoldson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.