1973
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 24 Septemba - Nchi ya Guinea Bisau inatangaza kuwa huru kutoka Ureno.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 23 Februari - Dickinson Richards (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1956)
- 6 Machi - Pearl S. Buck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1938)
- 10 Juni - William Inge (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1954)
- 20 Julai - Bruce Lee
- 16 Agosti - Selman Waksman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1952)
- 23 Septemba - Pablo Neruda (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1971)
- 25 Oktoba - Abebe Bikila (mwanariadha Mhabeshi)
- 11 Novemba - Artturi Ilmari Virtanen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1945)