Zaire

From Wikipedia

Zaire ni neno lenye maana mbalimbali:

  • kiasili ni jina la kihistoria kwa ajili ya mto Kongo. Wareno walitamka neno la Kibantu la "nzari" (=mto) kama "zari - zaire".
  • watu wa nje wakati mwingine walitumia jina la mto pia kwa ajili ya ufalme wa Kongo ulioenea pande zote mbili za mto.
  • Zaire ilikuwa pesa ya Kongo wakati ilipoitwa "Zaire"
  • jina la mkoa mmoja wa Angola
  • jina la mkoa wa Bas-Zaire katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hadi mwaka 2007.


[edit] Viungo vya Nje

en: Encyclopedia Britannica 1911 juu ya neno "Zaire"

Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja.

Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.