John Stephen Akhwari
From Wikipedia
John Stephen Akhwari (amezaliwa 1938) ni mwanariadha kutoka nchi ya Tanzania aliyehudhuria Michezo ya Olimpiki mwaka wa 1968 kule Mexiko upande wa mbio ya marathoni.
John Stephen Akhwari (amezaliwa 1938) ni mwanariadha kutoka nchi ya Tanzania aliyehudhuria Michezo ya Olimpiki mwaka wa 1968 kule Mexiko upande wa mbio ya marathoni.