1916
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 11 Mei - Camilo Jose Cela (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1989)
- 25 Agosti - Frederick Robbins (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1954)
[edit] Waliofariki
- 20 Februari - Klas Pontus Arnoldson (mwanasiasa Msweden, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1908)
- 23 Julai - William Ramsay (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1904)
- 4 Septemba - José Echegaray y Eizaguirre (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1904)
- 15 Novemba - Henryk Sienkiewicz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1905)