Ganga (mto)

From Wikipedia

Mto Ganga (Ganges)
Ramani ya Beseni ya mto Ganga
Ramani ya Beseni ya mto Ganga
Chanzo barafuto ya Gangotri
Mdomo Ghuba ya Bengali
Nchi za beseni ya mto India, Bangladesh
Urefu 2,510 km
Kimo cha chanzo 7,756 m
Kiasi cha maji kinachotolewa mdomoni 14,270 m³/s
Eneo la beseni (km²) 907,000 km²
Image:Varanasi temple.jpg
Mjini Varanasi kuna mahekalu mengi kando la mtoni

Ganga ni mto mkubwa katika Uhindi wa Kaskazini.

[edit] Ganga na dini

Katika imani ya Uhindu Ganga ni mto mtakatifu. Huabudiwa pia kama mungu wa kike. Wafuasi wa dini ya Uhindu mara nyingi wanajaribu kuhiji mtoni kabla ya kufa wakitumaini ya kwmaba maiti itachomwa na majivu kumwagika mtoni. Kuoga mtoni kunatazamiwa kama bafu ya kuondoa dhambi.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ganga (mto)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ganga (mto) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.