Warufiji

From Wikipedia

Warufiji ni kabila kutoka eneo la pwani ya Tanzania, karibu na Mto Rufiji. Mwaka 1987 idadi ya Warufiji ilikadiriwa kuwa 200,000 [1]. Lugha yao ni Kirufiji.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Warufiji" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Warufiji kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine