Ivan Alekseyevich Bunin

From Wikipedia

Ivan Alekseyevich Bunin (22 Oktoba, 18708 Novemba, 1953) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Urusi. Mwaka wa 1920 alihamia Ufaransa. Hasa aliandika riwaya na mashairi. Mwaka wa 1933 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ivan Alekseyevich Bunin" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ivan Alekseyevich Bunin kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.