Frank Kellogg

From Wikipedia

Frank Billings Kellogg (22 Desemba, 185621 Desemba, 1937) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Kutoka 1925 hadi 1929 alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Hasa alijitahidi kutekeleza amani ya kimataifa. Mwaka wa 1929 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Frank Kellogg" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Frank Kellogg kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.