John Maron
From Wikipedia
John Maron (kwa Kiarabu Yuhanna Marun) alikuwa askofu mkuu wa mji wa Antioch kuanzia 685 hadi 707. Aliongoza Kanisa la Maroniti. Ametambuliwa kuwa mtakatifu.
John Maron (kwa Kiarabu Yuhanna Marun) alikuwa askofu mkuu wa mji wa Antioch kuanzia 685 hadi 707. Aliongoza Kanisa la Maroniti. Ametambuliwa kuwa mtakatifu.