1968
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 12 Machi - Visiwa vya Morisi vinapata uhuru kutoka Uingereza.
- 12 Oktoba - Nchi ya Guinea ya Ikweta inapata uhuru kutoka Hispania.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 27 Machi - Yuri Gagarin (rubani Mrusi na mtu wa kwanza aliyefika katika anga la nje)
- 4 Aprili - Martin Luther King aliuawa kwa kupigwa risasi na adui wa imani yake.
- 14 Juni - Salvatore Quasimodo (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1959)
- 7 Julai - Leo Sowerby (mtungaji muziki Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1946)
- 23 Julai - Henry Dale (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1936)
- 20 Desemba - John Steinbeck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1962)