Paul Ehrlich

From Wikipedia

Paul Ehrlich (14 Machi, 185420 Agosti, 1915) alikuwa daktari na mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Pamoja na Sahachiro Hata aligundua dawa ya kutibu kaswende. Mwaka wa 1908, pamoja na Ilya Mechnikov alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Paul Ehrlich" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Paul Ehrlich kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.