Adoniya

From Wikipedia

Adoniya alikuwa mwana wa Mfalme Daudi wa Israeli. Mama yake alikuwa Hagithi. Ametajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika Kitabu cha Pili cha Samueli, sura ya 3, mstari wa 4.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Adoniya" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Adoniya kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine