Lugha saidizi ya kimataifa

From Wikipedia

Lugha saidizi ya kimataifa ni lugha ya kuundwa iliyoundwa kwa ajili ya mawasiliano kati ya watu toka mataifa mbalimbali. Lugha saidizi ya kimataifa inayozungumzwa zaidi ni Kiesperanto. Nyingine ni kama Kivolapuki, Kiido na Kiinterlingua.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Lugha saidizi ya kimataifa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Lugha saidizi ya kimataifa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.