Wabungu
From Wikipedia
Wabungu ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Chunya. Lugha yao ni Kibungu.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wabungu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wabungu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |