Martin Ryle

From Wikipedia

Martin Ryle (27 Septemba, 191814 Oktoba, 1984) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza mionzi ya nyota na kuvumbua darubini inayotumia mawimbi na mwangi wa redio. Mwaka wa 1966 alipewa cheo cha Sir cha Uingereza. Mwaka wa 1974, pamoja na Antony Hewish alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Martin Ryle" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Martin Ryle kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine