Orodha ya vitabu vya Biblia

From Wikipedia

Hapo chini vitabu vya Biblia vimeorodheshwa vinavyotambuliwa na Wakristo wote. Zingatia lakini kwamba hasa Wakatoliki na Waorthodox wana vitabu vingine katika Biblia wanavyoitumia. Majina ya vitabu yameandikwa kufuatana na tafsiri ya Habari Njema. Kama kuna jina lingine limeongezeka katika mabano.


Contents

[edit] Agano la Kale

[edit] Vitabu vya kihistoria

Mwanzo (Kitabu cha Kwanza cha Mose)
Kutoka (Kitabu cha Pili cha Mose)
Walawi (Kitabu cha Tatu cha Mose)
Hesabu (Kitabu cha Nne cha Mose)
Kumbukumbu la Sheria (Kitabu cha Tano cha Mose)
Yoshua
Maamuzi
Ruthu (Kitabu cha Ruthi)
Samueli I
Samueli II
Wafalme I
Wafalme II
Mambo ya Nyakati I
Mambo ya Nyakati II
Ezra
Nehemia (Kitabu cha Pili cha Ezra)
Esta

[edit] Vitabu vya kishairi

Yobu (Kitabu cha Ayubu)
Zaburi
Methali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Maombolezo (Maombolezo ya Yeremia)

[edit] Vitabu vya kinabii

Isaya
Yeremia
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki


[edit] Agano Jipya

[edit] Vitabu vya kihistoria

Injili ya Mathayo
Injili ya Marko
Injili ya Luka
Injili ya Yohane (Injili ya Yohana)
Matendo ya Mitume

[edit] Barua za Paulo

Barua kwa Waroma (Waraka kwa Warumi)
Barua ya Kwanza kwa Wakorintho
Barua ya Pili kwa Wakorintho
Barua kwa Wagalatia
Barua kwa Waefeso
Barua kwa Wafilipi
Barua kwa Wakolosai
Barua ya Kwanza kwa Wathesalonike
Barua ya Pili kwa Wathesalonike
Barua ya Kwanza kwa Timotheo
Barua ya Pili kwa Timotheo
Barua kwa Tito
Barua kwa Filemoni

[edit] Barua Nyingine

Barua kwa Waebrania
Barua ya Yakobo
Barua ya Kwanza ya Petro
Barua ya Pili ya Petro
Barua ya Kwanza ya Yohane
Barua ya Pili ya Yohane
Barua ya Tatu ya Yohane
Barua ya Yuda

[edit] Kitabu cha kinabii

Ufunuo (Ufunuo wa Yohane)