Wapangwa

From Wikipedia

Wapangwa ni kabila kutoka Milima Livingstone karibu na pwani ya mashariki ya Ziwa Nyasa, wilaya ya Ludewa, Mkoa wa Iringa, kusini ya nchi ya Tanzania. Mwaka 2002 idadi ya Wapangwa ilikadiriwa kuwa 95,000 [1]. Lugha yao ni Kipangwa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wapangwa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wapangwa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine