Kisarawe

From Wikipedia

Wilaya ya Kisarawe ni wilaya moja ya Mkoa wa Pwani. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 95,614 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kisarawe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kisarawe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine