Jamhuri ya Kongo
From Wikipedia
(Details) | (Details) | |
Hadabu: « Unité, Travail, Progrès » Kifaransa: „Umoja, Kazi, Maendeleo“ |
||
Lugha rasmi | Kifaransa | |
Lugha ya Taifa | Lingala, Munukutuba | |
Mji Mkuu | Brazzaville | |
Serikali | Jamhuri | |
Raisi | Denis Sassou-Nguesso | |
Eneo | 342.000 km² | |
Wakazi | 3.9 Mio. (UN, 2005) | |
Wakazi / km² | 11 | |
JPT/Mkazi | 1.129 US-$ (2004) | |
Uhuru | kutoka Ufaransa tar. 15.08.1960 | |
Pesa | CFA-Franc | |
Wakati | MEZ | |
Wimbo wa Taifa | La Congolaise | |
Image:Kongo-Pos.png | ||
Jamhuri ya Kongo ni nchi ya Afrika ya Kati. Imejulikana pia kama Kongo-Brazzaville kutokana na mji mkuu kwa kusudi la kutochanganywa na nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Jamhuri ya Kongo imepakana na Gabon, Kamerun, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Angola na Bahari ya Atlantiki.
Nchi ilikuwa koloni ya Ufaransa.
Nchi za Afrika | ![]() |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia |