Msela
From Wikipedia
Msela ni mtu ambaye haoni matatizo. Anakuawa anafanya anachotaka na hajali watu watafikiri nini. Hata kama msela hafuati serikali na hafanyi anachotakiwa, huyu mtu anapendwa kwa watu wa kawaida kwa sababu si jambazi wala mhuni. Ni mtu poa tu, na ubaya yake unapendwa kwa sababu si kweli ubaya hata kama anaishi "kibadboy". Kwa kweli hata mtu huyu anakuwa na heshima kwa watu wengine ila pengine anaweza kuamua kwamba hana heshima tena. Mara nyingi wazungu wanaotembea vichochoroni wanaitwa masela. Na mfano moja kwa msela anajulikana sana ni "Eminem"