Tegucigalpa
From Wikipedia
Tegucigalpa ((Tegus kwa kifupi) ni mji mkuu na mji mkubwa nchini Honduras.
Ina wakazi zaidi ya milioni moja.
Mji ulianzishwa na Wahispania mwaka 1578 kwa jina la "Real Villa de San Miguel de Tegucigalpa de Heredia" kama kituo cha migodi ya dhahabu na fedha.