1939
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 1 Septemba - Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilianza.
[edit] Waliozaliwa
- 4 Aprili - Hugh Masekela
- 13 Aprili - Seamus Heaney (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1995)
[edit] Waliofariki
- 28 Januari - William Butler Yeats (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1923)