Dario Fo

From Wikipedia

Dario Fo (amezaliwa 24 Machi, 1926) ni mwandishi wa michezo ya kuigiza kutoka nchi ya Italia. Mwaka wa 1997 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Dario Fo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Dario Fo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.