John Bosco

From Wikipedia

Mtakatifu Padre John Bosco
Mtakatifu Padre John Bosco

John Bosco (16 Agosti, 181531 Januari, 1888) alikuwa padre Mkatoliki na mwanzishi wa Jumuiya ya Francis de Sales Mtakatifu (kwa Kiingereza Salesian Order). Alijitahidi hasa kuwaelimisha watoto na vijana wa kiume. Mwaka wa 1934 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 31 Januari.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Bosco" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Bosco kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine