Brian Josephson

From Wikipedia

Brian David Josephson (amezaliwa 4 Januari, 1940) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza nadharia ya upitishaji umeme. Mwaka wa 1973, pamoja na Leo Esaki na Ivar Giaever alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Brian Josephson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Brian Josephson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine