Tunis

From Wikipedia

Place de la Victoire (Uwanja wa ushindi) mjini Tunis
Place de la Victoire (Uwanja wa ushindi) mjini Tunis
Picha ya Tunis kutoka angani
Picha ya Tunis kutoka angani

Tunis (Kiarabu: تونس ) ni mji mkuu wa Tunisia na mji mkubwa nchini ikiwa na wakazi 728,463 (mwaka 2004) ambao pamoja na wakazi wa mitaa ya nje wanafikia jumla ya milioni 1.6.

Mji uko ufukoni wa Mediteranea karibu na Karthago ya Kale.


[edit] Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Tunis" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Tunis kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.