Nebukadreza II

From Wikipedia

Nebukadreza II alikuwa mfalme wa Babeli karne ya 6 KK. Alitawala Babeli kati ya 604 KK mpaka 562 KK. Aliwahi kuuvunja mji wa Yerusalemu na kuwateka Wayahudi.

Ndiye aliyejenga bustani za kupendeza katika enzi hizo zinazojulikana kama bustani za kuning'inia za Babeli, ambazo ni moja ya maajabu saba ya dunia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nebukadreza II" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nebukadreza II kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.