Sikonge

From Wikipedia

Wilaya Sikonge ni wilaya moja ya Mkoa wa Tabora. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 133,388 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sikonge" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sikonge kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine