Gabriela Mistral

From Wikipedia

Gabriela Mistral (6 Aprili, 188910 Januari, 1957) alikuwa mwandishi na mshairi wa kike kutoka nchi ya Chile. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Lucila Godoy Alcayaga. Hasa aliuandikia upendo katika mashairi yake. Mwaka wa 1945 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Gabriela Mistral" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gabriela Mistral kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.