John Bardeen

From Wikipedia

A commemorative plaque remembering Bardeen and the Theory of Superconductivity, at the University of Illinois at Urbana-Champaign campus
A commemorative plaque remembering Bardeen and the Theory of Superconductivity, at the University of Illinois at Urbana-Champaign campus

John Bardeen (23 Mei, 190830 Januari, 1991) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza uhandisi wa umeme na kuvumbua transista. Mwaka wa 1956, pamoja na William Shockley na Walter Brattain, na tena mwaka wa 1972, pamoja na Leon Cooper na John Schrieffer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Bardeen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Bardeen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.