William Butler Yeats

From Wikipedia

William Butler Yeats (13 Juni, 186528 Januari, 1939) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Ireland; kaka yake mdogo ni Jack Butler Yeats. Hasa aliandika juu ya mizizi ya utamaduni wa nchi yake. Mwaka wa 1923 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "William Butler Yeats" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu William Butler Yeats kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine