Singida Vijijini

From Wikipedia

Wilaya ya Singida Vijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Singida. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 401,850 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Singida Vijijini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Singida Vijijini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine