Adelaide wa Italia

From Wikipedia

Adelaide wa Italia (takriban 93116 Desemba, 999) alikuwa binti wa Rudolf II, mfalme wa Burgundia. Kwanza aliolewa na Lothar, mfalme wa Italia. Alipofariki Lothar, Adelaide aliolewa na Otto I, mfalme wa Ujerumani. Aliishi maisha matakatifu. Sikukuu yake ni 16 Desemba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Adelaide wa Italia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Adelaide wa Italia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.