1969
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 1 Septemba - Mapinduzi ya Libya; maafisa chini ya Muammar al-Gaddafi wanampindua mfalme Idris I na kutangaza jamhuri.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 17 Agosti - Otto Stern (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1943)