1888
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 17 Februari - Otto Stern (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1943)
- 5 Julai - Herbert Spencer Gasser (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1944)
- 17 Julai - Shmuel Yosef Agnon (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1966)
- 22 Julai - Selman Waksman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1952)
- 16 Septemba - Frans Eemil Sillanpää (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1939)
- 26 Septemba - T. S. Eliot (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1948)
- 16 Oktoba - Eugene O'Neill (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1936)
- 7 Novemba - Chandrasekhara Raman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1930)