Charles Glover Barkla

From Wikipedia

Charles Glover Barkla (7 Juni, 187723 Oktoba, 1944) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza mionzi ya eksirei na kufanya majaribio nazo. Mwaka wa 1917 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Charles Glover Barkla" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Charles Glover Barkla kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.