Wasangu
From Wikipedia
Wasangu ni kabila kutoka eneo la kusini-magharibi ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wasangu ilikadiriwa kuwa 75,000 [1]. Lugha yao ni Kisangu.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wasangu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wasangu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |