30 Januari
From Wikipedia
Des - Januari - Feb | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 1899 - Max Theiler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1951)
[edit] Waliofariki
- 1928 - Johannes Fibiger (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1926)
- 1948 - Mahatma Gandhi anauawa na Mhindu mkali anayechukia jitihada za Ghandi za kutunza umoja wa Uhindi na haki kwa ajili ya Waislamu Wahindi.
- 1991 - John Bardeen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia miaka ya 1956 na 1972)