Giosue Carducci
From Wikipedia
Giosuè Carducci (27 Julai, 1835 – 16 Februari, 1907) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Italia. Mwaka wa 1906 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Giosuè Carducci (27 Julai, 1835 – 16 Februari, 1907) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Italia. Mwaka wa 1906 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.