Nadine Gordimer

From Wikipedia

Nadine Gordimer (amezaliwa 20 Novemba, 1923) ni mwandishi kutoka nchi ya Afrika Kusini. Hasa aliandika riwaya dhidi ya siasa ya ubaguzi ya rangi (yaani apartheid), na kuonyesha uharibifu katika maisha ya Waafrika. Mwaka wa 1991 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nadine Gordimer" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nadine Gordimer kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.