Luis Alvarez

From Wikipedia

Luis Walter Alvarez (13 Juni, 19111 Septemba, 1988) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine, alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1968 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Luis Alvarez" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Luis Alvarez kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine