Anselm wa Canterbury

From Wikipedia

Anselm wa Canterbury (takriban 1033 au 1034 – 21 Aprili, 1109) alikuwa askofu mkuu katika mji wa Canterbury. Mwaka wa 1163 alitangazwa kuwa mtakatifu. Mwaka wa 1720 alitangazwa kuwa Mwalimu wa Kanisa. Sikukuu yake ni 21 Aprili.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Anselm wa Canterbury" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Anselm wa Canterbury kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.