Severo Ochoa

From Wikipedia

Severo Ochoa (24 Septemba, 19051 Novemba, 1993) alikuwa mwanabiolojia kutoka nchi ya Hispania. Hasa alichunguza vimeng’enya vya chembe hai. Pia alifaulu kusanisi DNA. Mwaka wa 1959, pamoja na Arthur Kornberg alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Severo Ochoa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Severo Ochoa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.