Richard Kuhn

From Wikipedia

Richard Kuhn (3 Desemba, 19001 Agosti, 1967) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza vitamini. Mwaka wa 1938 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Richard Kuhn" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Richard Kuhn kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.