Ahiezeri
From Wikipedia
Ahiezeri alikuwa kiongozi wa kabila la Dani anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 25.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Ahiezeri" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Ahiezeri kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |