Valentin Weigel

From Wikipedia

Valentin Weigel (7 Agosti, 153310 Juni, 1588) alikuwa mwanateolojia wa Kiprotestanti kutoka nchi ya Ujerumani. Jina lake pia liliandikwa Weichel. Alitunga maandiko mengi yaliyoathiriwa na uchaji wa kutafakari sana habari za Mungu.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Valentin Weigel" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Valentin Weigel kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine