Thomas Mann

From Wikipedia

Thomas Mann (6 Juni, 187512 Agosti, 1955) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa anajulikana kwa riwaya zake, k.m. "Akina Buddenbrook" (kwa Kijerumani Buddenbrooks, iliyotolewa mwaka wa 1900), "Kifo katika mji wa Venice" (Tod in Venedig, 1912), "Mlima wa Ajabu" (Der Zauberberg, 1924) au "Maungamo ya Felix Krull, Tapeli" (Bekenntnisse des Hochstaplers Felix Krull, 1954). Pia aliandika insha nyingi. Mwaka wa 1929 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Thomas Mann" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Thomas Mann kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.