1859
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 19 Februari - Svante Arrhenius (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1903)
- 6 Julai - Verner von Heidenstam (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1916)
- 4 Agosti - Knut Hamsun (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1920)
- 18 Oktoba - Henri Bergson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1927)