Wakwere

From Wikipedia

Wakwere (pia wanaitwa Wanghwele) ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Bagamoyo. Lugha yao ni Kikwere.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wakwere" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wakwere kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine