Kibaha (mji)

From Wikipedia

Kibaha ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Pwani. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kibaha ilihesabiwa kuwa 132,045 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kibaha (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kibaha (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine