Kibaha (mji)
From Wikipedia
Kibaha ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Pwani. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kibaha ilihesabiwa kuwa 132,045 [1].
Kibaha ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Pwani. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kibaha ilihesabiwa kuwa 132,045 [1].