Orodha ya nchi za Afrika

From Wikipedia

Afrika duniani
Afrika duniani
Kanda za Afrika kufuatana na Umoja wa Mataifa
Kanda za Afrika kufuatana na Umoja wa Mataifa

Orodha ya nchi na maeneo barani Afrika imepangwa kufuatana na kanda za Afrika jinsi zilivyopangwa na Umoja wa Mataifa. Majina ya nchi hutajwa pamoja na maeneo yanayotawaliwa na nchi nje ya Afrika au ambayo yamekuwa sehemu kamili ya nchi nje ya Afrika.

Afrika
Afrika

Contents

[edit] Afrika ya Mashariki:

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2002 takriban)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Burundi
27,830 6,373,002 229.0 Bujumbura
Komoro
2,170 614,382 283.1 Moroni
Jibuti
23,000 472,810 20.6 Jibuti
Eritrea
121,320 4,465,651 36.8 Asmara
Ethiopia
1,127,127 67,673,031 60.0 Addis Ababa
Kenya
582,650 31,138,735 53.4 Nairobi
Madagaska
587,040 16,473,477 28.1 Antananarivo
Malawi
118,480 10,701,824 90.3 Lilongwe
Mauritius
2,040 1,200,206 588.3 Port Louis
Mayotte (Ufaransa)
374 170,879 456.9 Mamoudzou
Msumbiji
801,590 19,607,519 24.5 Maputo
Réunion (Ufaransa)
2,512 743,981 296.2 Saint-Denis
Rwanda
26,338 7,398,074 280.9 Kigali
Shelisheli
455 80,098 176.0 Victoria
Somalia
637,657 7,753,310 12.2 Mogadishu
Sudan
2,505,810 37,090,298 14.8 Khartoum
Tanzania
945,087 37,187,939 39.3 Dodoma
Uganda
236,040 24,699,073 104.6 Kampala
Zambia
752,614 9,959,037 13.2 Lusaka
Zimbabwe
390,580 11,376,676 29.1 Harare

[edit] Afrika ya Kati

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2002 takriban)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Angola
1,246,700 10,593,171 8.5 Luanda
Kamerun
475,440 16,184,748 34.0 Yaoundé
Jamhuri ya Afrika ya Kati
622,984 3,642,739 5.8 Bangui
Chadi
1,284,000 8,997,237 7.0 N'Djamena
Kongo, Jamhuri ya
342,000 2,958,448 8.7 Brazzaville
Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia
2,345,410 55,225,478 23.5 Kinshasa
Guinea ya Ikweta
28,051 498,144 17.8 Malabo
Gabon
267,667 1,233,353 4.6 Libreville
São Tomé na Príncipe
1,001 170,372 170.2 São Tomé

[edit] Afrika ya Kaskazini

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2002 takriban)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Algeria
2,381,740 32,277,942 13.6 Algiers
Misri (2)
1,001,450 70,712,345 70.6 Cairo
Libya
1,759,540 5,368,585 3.1 Tripoli
Moroko
446,550 31,167,783 69.8 Rabat
Tunisia
163,610 9,815,644 60.0 Tunis
Maeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini:
Visiwa vya Kanari(Hispania) (3) 7,492 1,694,477 226.2 Las Palmas de Gran Canaria,
Santa Cruz de Tenerife
Ceuta (Hispania) (4)
20 71,505 3,575.2
Visiwa vya Madeira (Ureno)(5) 797 245,000 307.4 Funchal
Melilla (Hispania) (6)
12 66,411 5,534.2

[edit] Afrika ya Kusini

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2002 takriban)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Botswana
600,370 1,591,232 2.7 Gaborone
Lesotho
30,355 2,207,954 72.7 Maseru
Namibia
825,418 1,820,916 2.2 Windhoek
Afrika Kusini (7)
1,219,912 43,647,658 35.8 Bloemfontein, Cape Town, Pretoria
Uswazi
17,363 1,123,605 64.7 Mbabane

[edit] Afrika ya Magharibi

Jina la nchi au eneo,
bendera
Eneo
(km²)
Wakazi
(mnamo Julai 2002 takriban)
Wakazi kwa km² Mji Mkuu
Benin
112,620 6,787,625 60.3 Porto-Novo
Burkina Faso
274,200 12,603,185 46.0 Ouagadougou
Cabo Verde
4,033 408,760 101.4 Praia
Côte d'Ivoire (8)
322,460 16,804,784 52.1 Abidjan, Yamoussoukro
Gambia
11,300 1,455,842 128.8 Banjul
Ghana
239,460 20,244,154 84.5 Accra
Guinea
245,857 7,775,065 31.6 Conakry
Guinea-Bissau
36,120 1,345,479 37.3 Bissau
Liberia
111,370 3,288,198 29.5 Monrovia
Mali
1,240,000 11,340,480 9.1 Bamako
Mauritania
1,030,700 2,828,858 2.7 Nouakchott
Niger
1,267,000 10,639,744 8.4 Niamey
Nigeria
923,768 129,934,911 140.7 Abuja
Saint Helena (Uingereza)
410 7,317 17.8 Jamestown
Senegal
196,190 10,589,571 54.0 Dakar
Sierra Leone
71,740 5,614,743 78.3 Freetown
Togo
56,785 5,285,501 93.1 Lomé
Sahara ya Magharibi (Moroko) (9)
266,000 256,177 1.0 El Aaiún
Total 30,368,609 843,705,143 27.8

Maelezo:

  1. Kanda zinazotajwa (Afrika ya Kusini – Magharibi n.k.) zinafuata utaratibu wa Umoja wa Mataifa UN categorisations/map.
  2. Misri imo Afrika lakini sehemu ya eneo lake iko Asia ya Magharibi. Wengine huiita nchi ya kimabara.
  3. Visiwa vya Kanari ni sehemu ya Hispania ikiwa Las Palmas de Gran Canaria pamoja na Santa Cruz de Tenerife ndiyo miji mikuu pamoja mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini; viko karibu na Moroko and Sahara ya Magharibi; wakazi na eneo vya 2001.
  4. Mji wa Ceuta ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya Moroko; wakazi na eneo ni ya 2001.
  5. Visiwa vya Madeira ni sehemu ya Ureno, mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini viko karibu na Moroko; wakazi na eneo vya 2001.
  6. Mji wa Melilla ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya Moroko; wakazi na eneo ni ya 2001.
  7. Bloemfontein ndiyo makao ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini, Cape Town ni makao ya Bunge, Pretoria ni makao makuu ya serikali.
  8. Yamoussoukro ndiyo rasmi Mji Mkuu wa Côte d'Ivoire lakini Abidjan ni makao ya serikali hali halisi.
  9. Sahara ya Magharibi imetekwa na kutawaliwa kwa sehemu kubwa na Moroko hali isiyokubalika na jumuiya ya kimataifa .