Maximilian Kolbe

From Wikipedia

Maximilian Kolbe (8 Januari, 189414 Agosti, 1941) alikuwa padre Mkatoliki katika nchi ya Poland. Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia alifungwa na kuuawa na wafuasi wa Nazi katika kambi ya wafungwa wa siasa kule Auschwitz. Mwaka wa 1982 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 14 Agosti.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Maximilian Kolbe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Maximilian Kolbe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine