Rudolf Mössbauer
From Wikipedia
Rudolf Ludwig Mössbauer (amezaliwa 31 Januari, 1929) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1961, pamoja na Robert Hofstadter alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.