Shinyanga (mji)
From Wikipedia
Shinyanga ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Shinyanga. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 135,166 [1].
Shinyanga ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Shinyanga. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 135,166 [1].