Ganga (mto)
From Wikipedia
Mto Ganga (Ganges) | |
---|---|
|
|
Chanzo | barafuto ya Gangotri |
Mdomo | Ghuba ya Bengali |
Nchi za beseni ya mto | India, Bangladesh |
Urefu | 2,510 km |
Kimo cha chanzo | 7,756 m |
Kiasi cha maji kinachotolewa mdomoni | 14,270 m³/s |
Eneo la beseni (km²) | 907,000 km² |
Image:Varanasi temple.jpg
Mjini Varanasi kuna mahekalu mengi kando la mtoni
Ganga ni mto mkubwa katika Uhindi wa Kaskazini.
[edit] Ganga na dini
Katika imani ya Uhindu Ganga ni mto mtakatifu. Huabudiwa pia kama mungu wa kike. Wafuasi wa dini ya Uhindu mara nyingi wanajaribu kuhiji mtoni kabla ya kufa wakitumaini ya kwmaba maiti itachomwa na majivu kumwagika mtoni. Kuoga mtoni kunatazamiwa kama bafu ya kuondoa dhambi.