Tabora Mjini

From Wikipedia

Wilaya Tabora Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Tabora. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 188,808 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Tabora Mjini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Tabora Mjini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine