Kisangu

From Wikipedia

Kisangu (au Kisango; pia huitwa Kirori) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wasangu.

[edit] Mfumo wa Sauti (Fonolojia)

Lugha ya Kisangu ina irabu 5 na konsonanti 29. Pia, tofauti kati ya irabu fupi na irabu ndefu huleta tofauti za maana.

[edit] Viungo vya nje

[edit] Marejeo

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Heese, Paul. 1919/20. Die Sango-Sprache: eine kurze Grammatik für Anfänger. Zeitschrift für Eingeborenen-Sprachen, 10, uk.87-106.
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kisangu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kisangu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.