332 KK
From Wikipedia
Contents |
[edit] Matukio
[edit] Ugiriki wa Kale / Uajemi
- Aleksander Mkuu anavamia Shamu, Palestina na Misri. Wayahudi wanamkubali kama mtawala mkuu na makuhani wa Misri wanampokea kama Mungu aliye hai.
- Mfalme wa Uajemi Dareios III ni tayari kushirikiana utawala wake na Aleksander asiyekubali.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- Antiphanes, mshairi Mgiriki (* 408 KK)