Sumbawanga (mji)

From Wikipedia

Sumbawanga ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Rukwa. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 147,483 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sumbawanga (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sumbawanga (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine