Musoma mjini

From Wikipedia

Wilaya ya Musoma Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Mara. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 108,242 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Musoma mjini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Musoma mjini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine