Fasihi
From Wikipedia
Fasihi ni sanaa inayotumia lugha ili kufikisha ujumbe kwa jamii husika . Fasihi imegawanyika katika makundi makubwa mawili: fasihi andishi na fasihi simulizi.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Fasihi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Fasihi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |