Papa Pius X

From Wikipedia

Pius X
Pius X

Papa Pius X (2 Juni, 183520 Agosti, 1914) alikuwa Papa kuanzia 4 Agosti, 1903 hadi kifo chake. Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giuseppe Sarto. Alivishwa taji 9 Agosti 1903. Kabla ya kuchaguliwa kama Papa, alikuwa askofu wa Mantua (tangu 1884) na askofu mkuu wa Venice (tangu 1893). Mwaka wa 1954 alitangazwa kuwa mtakatifu.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Papa Pius X" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Papa Pius X kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.