Nicolaas Bloembergen

From Wikipedia

Nicolaas Bloembergen (amezaliwa 11 Machi, 1920) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Mwaka wa 1958 alikata uraia wa Marekani. Hasa alichunguza mnururisho na usumaku wa kiini cha atomu. Mwaka wa 1981, pamoja na Arthur Schawlow na Kai Siegbahn alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nicolaas Bloembergen" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nicolaas Bloembergen kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine