Ernest Rutherford

From Wikipedia

Ernest Rutherford (30 Agosti, 187119 Oktoba, 1937) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Utafiti wake hasa uliweka msingi kwa fizikia ya kiini. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ernest Rutherford" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ernest Rutherford kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.