Kasulu
From Wikipedia
Wilaya Kasulu ni wilaya moja ya Mkoa wa Kigoma. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 628,677 [1].
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kasulu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kasulu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |