William Shija
From Wikipedia
Dakta William Shija ni Katibu Mkuu wa Bunge la Jumuiya ya Madola. Shija, aliyezaliwa mwaka 1947, amewahi kuwa mbunge wa CCM wa jimbo la Sengerema toka mwaka 1990 hadi 2005. Alichaguliwa katika kikao cha 52 cha bunge hilo linalowakutanisha wawakilishi 700 kutoka mabunge ya nchi zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.