Kimbugu
From Wikipedia
Kimbugu (pia huitwa Kima'a au Kibwayo na wengine) ni lugha mahuluti ya Kibantu na ya Kikushi nchini Tanzania inayozungumzwa na Wambugu.
[edit] Viungo vya nje
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=mhd
- http://www.african.gu.se/tanzania/weblinks.html
[edit] Marejeo
- Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6
Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:
- Green, Clive. 1963. The Wambugu of Usambara (with notes on Kimbugu). Tanganyika notes and records, 61, uk.175-189.
- Mous, Maarten. 1994. Ma’a or Mbugu. Katika: Mixed languages: 15 case studies in language intertwining, uk.175-201. Kuhaririwa na Peter Bakker & Maarten Mous. Amsterdam: Instituut voor Functioneel Onderzoek van Taal en Taalgebruik (IFOTT).
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kimbugu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kimbugu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |