Tandahimba

From Wikipedia

Wilaya ya Tandahimba ni wilaya moja ya Mkoa wa Mtwara. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 204,648 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Tandahimba" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Tandahimba kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine