Culture

From Wikipedia

Culture ni kundi la muziki wa reggae toka katika nchini Jamaika lililoanzishwa mwaka 1976. Jina la mwanzoni la kundi hili lilikuwa ni African Disciples. Kundi la Culture linaaminika kuwa ni kati ya makundi yanayopinga muziki halisi wa reggae wenye mafunzo na busara. Waanzilishi wa kundi hili ni Joseph Hill, mwimbaji mwongozaji, Kenneth Dayes, mwitikiaji, na Albert Walker, mwitikiaji. Wimbo wao wa Two Sevens Clash uliorekodiwa mwaka 1977 katika studio za Joe Gibbs uliwapatia umaarufu mkubwa na kuwaweka kwenye ramani ya muziki wa reggae duniani.

[edit] Albamu za Culture

  • Two Sevens Clash
  • Harder Than the Rest
  • Lion Rock
  • Nuff Crisis
  • Good Things
  • Culture at Work
  • Culture in Culture
  • Three Sides to My Story
  • International Herb
  • Wings of a Dove
  • Too Long in Slavery
  • Trod On
  • One Stone
  • Baldhead Bridge
  • Trust Me
  • 17 Chapters of Culture
  • Ras Portraits
  • Cultural Livity: Culture Live '98 (Live)
  • Production Something
  • Obeah Peace and Love
  • Cumbolo
  • Culture in Dub: 15 Dub Shots
  • Stoned
  • Payday
  • Peace and Love
  • Humble African
  • Live in Africa 2002
  • Healing of the Nations
  • World Peace
  • Humble African
  • Live in Africa 2002
  • Healing of the Nations
  • World Peace Rounder 2003

[edit] Viungo vya nje

Lugha nyingine