Kibena
From Wikipedia
Kibena ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wabena.
[edit] Mfumo wa Sauti (Fonolojia)
Lugha ya Kibena ina irabu 5 na konsonanti 23. Pia, tofauti kati ya irabu fupi na irabu ndefu huleta tofauti za maana.
[edit] Viungo vya nje
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=bez
- http://www.african.gu.se/tanzania/weblinks.html
- http://www.linguistics.berkeley.edu/CBOLD/Docs/TLS.html (tovuti hiyo ina msamiati wa Kibena)
[edit] Marejeo
- Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6
Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:
- Priebusch, Martin. 1935. Bena-Hehe-Grammatik. Berlin: Kommissionsverlag der Buchhandlung der Berliner Missionsgesellschaft.
- Sowa, R. von. 1900. Skizze der Grammatik des Ki-Bena (Ki-Hehe) in Deutsch-Ostafrika. Zeitschrift für afrikanische und oceanische Sprachen, 5, uk. 63-75.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kibena" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kibena kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |