Wabondei
From Wikipedia
Wabondei ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Tanga, karibu na Milima ya Usambara. Lugha yao ni Kibondei. Mwaka 1987 idadi ya Wabondei ilikadiriwa kuwa 80,000 [1].
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wabondei" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wabondei kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |