George Bernard Shaw
From Wikipedia
George Bernard Shaw (26 Julai, 1856 – 2 Novemba, 1950) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ireland. Hasa aliandika tamthiliya na insha. Mwaka wa 1925 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
George Bernard Shaw (26 Julai, 1856 – 2 Novemba, 1950) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ireland. Hasa aliandika tamthiliya na insha. Mwaka wa 1925 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.