Otto Wallach
From Wikipedia
Otto Wallach (27 Machi, 1847 – 26 Februari, 1931) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza michanganyiko kama terpini. Mwaka wa 1910 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
Otto Wallach (27 Machi, 1847 – 26 Februari, 1931) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza michanganyiko kama terpini. Mwaka wa 1910 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.