Winston Churchill

From Wikipedia

Winston Churchill
Winston Churchill

Winston Leonard Spencer Churchill (30 Novemba, 187424 Januari, 1965) alikuwa mwanasiasa, mwanajeshi na mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Mara mbili alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, miaka ya 1940-45, na 1951-55. Mwaka wa 1953 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Winston Churchill" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Winston Churchill kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine