Mpwapwa (mji)

From Wikipedia

Mpwapwa ni mji nchini Tanzania katika Mkoa wa Dodoma. Ni makao makuu ya Wilaya ya Mpwapwa. Ina historia ndefu inayorejea wakati wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Wakazi wa mji huu hasa ni Wagogo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mpwapwa (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mpwapwa (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine