Michail Aleksandrovich Sholokhov

From Wikipedia

Mikhail Aleksandrovich Sholokhov (24 Mei, 190521 Februari, 1984) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Urusi. Hasa aliandika riwaya, k.m. "Don, Mto wa Kimya" (kwa Kirusi Tikhy Don) iliyotolewa katika majuzuu manne miaka ya 1928-40. Mwaka wa 1965 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Michail Aleksandrovich Sholokhov" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Michail Aleksandrovich Sholokhov kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.