Ernest Rutherford
From Wikipedia
Ernest Rutherford (30 Agosti, 1871 – 19 Oktoba, 1937) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Utafiti wake hasa uliweka msingi kwa fizikia ya kiini. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
Ernest Rutherford (30 Agosti, 1871 – 19 Oktoba, 1937) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Utafiti wake hasa uliweka msingi kwa fizikia ya kiini. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.