Harry Martinson
From Wikipedia
Harry Edmund Martinson (6 Mei, 1904 – 11 Februari, 1978) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Sweden. Hasa aliandika riwaya na mashairi. Mwaka wa 1974, pamoja na Eyvind Johnson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Harry Edmund Martinson (6 Mei, 1904 – 11 Februari, 1978) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Sweden. Hasa aliandika riwaya na mashairi. Mwaka wa 1974, pamoja na Eyvind Johnson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.