1833
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 19 Februari - Elie Ducommun (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1902)
- 7 Mei - Johannes Brahms
- 20 Septemba - Ernesto Teodoro Moneta (mwandishi Mwitalia, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1907)
- 21 Oktoba - Alfred Nobel (mhandisi Msweden, na mwanzishaji wa Tuzo ya Nobel)
- 12 Novemba - Alexander Borodin (mtungaji wa muziki Mrusi)