Kikabwa
From Wikipedia
Kikabwa ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wakabwa. Labda hii ni lahaja ya lugha ya Kiroba au Kikuria tu.
[edit] Viungo vya nje
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=cwa
- http://www.african.gu.se/tanzania/weblinks.html
[edit] Marejeo
- Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kikabwa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kikabwa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |