Iramba

From Wikipedia

Wilaya ya Iramba ni wilaya moja ya Mkoa wa Singida. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 368,131 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Iramba" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Iramba kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine