Kidigo
From Wikipedia
Kidigo (pia huitwa Chidigo) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wadigo.
[edit] Viungo vya nje
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=dig
- http://www.african.gu.se/tanzania/weblinks.html
[edit] Marejeo
- Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6
Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:
- 1996. Kusoma Kidigo: transition primer, Kiswahili to Chidigo. Nairobi: Bible Translation & Literacy, East Africa. Kurasa 15.
- 1996. Ni wakati wa kudzifundza kusoma Chidigo! [It’s time to learn reading Digo!] Nairobi: Bible Translation & Literacy, East Africa. Kurasa 92.
- Meinhof, Carl. 1905. Linguistische Studien in Ostafrika, V: Digo. Mitteilungen des Seminars für orientalische Sprachen, 8 (III. Abt.), uk 177-185.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kidigo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kidigo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |