François Mauriac
From Wikipedia
François Mauriac (11 Oktoba, 1885 – 1 Septemba, 1970) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Maandiko yake mara nyingi yanahusu nafsi ya mtu anayejaribu kuelewa mambo ya dhambi, ya neema na ya wokovu. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.