William wa Ockham

From Wikipedia

William wa Ockham (takriban 1285 – 9 Aprili 1349 au 1350) alikuwa mwanateolojia na mwanafalsafa kutoka nchi ya Uingereza. Alikuwa mmojawapo wa waanzishaji wa mantiki ya kisasa. Pia alimkosoa Papa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "William wa Ockham" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu William wa Ockham kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.