Wagweno
From Wikipedia
Wagweno ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Kilimanjaro, upande wa Kaskazini wa Milima ya Upare. Lugha yao ni Kigweno.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wagweno" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wagweno kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |