Bukoba Mjini
From Wikipedia
Wilaya ya Bukoba Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Kagera. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 81,221 [1].
Wilaya ya Bukoba Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Kagera. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 81,221 [1].