Rashidi Kawawa

From Wikipedia

Rashidi Mfaume Kawawa (amezaliwa 27 Mei, 1926) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Kuanzia tarehe 22 Januari, 1962 hadi tarehe 13 Februari, 1977 alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. Alifuatwa na Edward Sokoine.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Rashidi Kawawa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Rashidi Kawawa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine