Wakerewe
From Wikipedia
Wakerewe ni kabila la Tanzania wanaoishi kwenye kisiwa cha Ukerewe katika Ziwa la Viktoria. Lugha yao ni Kikerewe.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wakerewe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wakerewe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |