Talk:NASA

From Wikipedia

Ndesanjo, hujambo. Sidhani ni vema kubadilisha "mradi wa Mercury" kuwa "mradi wa Zebaki". "Mercury" hapa ni jina halisi la kiingereza. Ibaki ilivyo. Pia tusingebadilisha "Gemini" kuwa "mapacha", Wostok kuwa "mashariki" na kadhalika --Kipala 17:35, 3 Aprili 2006 (UTC)