Abbai
From Wikipedia
Maporomoko ya Tis Isat kwenye mto wa Abbai (Nile ya buluu) | |
---|---|
![]()
Maporomoko ya "Tis Isat" karibu na Bahar Dar/ Ziwa Tana
|
|
Mto wa Abbai (Nile ya buluu) | |
Jina: | Abbai (ndani ya Ethiopia) |
Mahali: | Nyanda za juu za Ethiopia |
Urefu: | 800 km ndani ya Ethiopia |
Chanzo: | Ziwa Tana |
Kimo cha chanzo: | 1.800 juu ya UB |
Mdomo: | inaendelea kama Nile ya buluu |
Kimo cha mdomo: | |
Tofauti ya kimo: | |
Tawimito ya kulia: | |
Tawimito ya kushoto: | |
Mijo mikubwa mtoni: | |
Je inafaa kama njia ya maji? |
Abbai (Mto mkubwa, pia Abay au Abai) ni mto mkubwa kabisa katika Ethiopia. Ndiyo sehemu ya juu ya Nile ya Buluu na tawimto mkubwa kabisa wa mto Nile. Baada ya kutoka Ethiopia na kuingia Sudan inaitwa kwa (Kiarabu: النيل الأزرق; an-nīl al-azraq).
Ina chanzo chake kwenye kimo cha mita 1800 juu ya UB inapotoka katika Ziwa Tana katika nyanda za juu za Ethiopia. Kwanza inaelekea kusini-mashariki lakini inabadilika mwelekeo kwenda magharibi halafu kaskazini.
Waethiopia wengi wanasemekana kuitazama kama mto mtakatifu.