Dennis Gabor

From Wikipedia

Dennis Gabor (5 Juni, 19008 Februari, 1979) alikuwa mhandisi kutoka nchi ya Hungaria. Mwaka wa 1933, baada ya kufanya kazi nchini Ujerumani, alihamia Uingereza. Hasa alichunguza nadharia ya upigaji picha na kuvumbua holografia. Mwaka wa 1971 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Dennis Gabor" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Dennis Gabor kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine