Romain Rolland

From Wikipedia

Romain Rolland (29 Januari, 186630 Desemba, 1944) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Baadhi ya maandiko yake aliandika wasifu ya maisha ya Ludwig van Beethoven. Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia alifuata mawazo ya Gandhi na ya kikomunisti. Mwaka wa 1915 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Romain Rolland" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Romain Rolland kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.