Eliabu
From Wikipedia
Eliabu alikuwa kiongozi wa kabila la Zebuluni anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika kitabu cha Hesabu, sura ya 2, mstari wa 7.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Eliabu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Eliabu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |