Miguel Ángel Asturias

From Wikipedia

Miguel Ángel Asturias (19 Oktoba, 18999 Juni, 1974) alikuwa mwandishi na mwanasiasa kutoka nchi ya Guatemala. Hasa aliandika mashairi na riwaya. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Miguel Ángel Asturias" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Miguel Ángel Asturias kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine