Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu

From Wikipedia

Bendera ya Sahara ya Magharibi Image:Coat of arms of Western Sahara.png
Wito: Uhuru, Demokrasia, Umoja
image:LocationWesternSahara.png
Lugha rasmi Ḥassānīya Kiarabu na Kihispania
Mji mkuu na mji mkubwa Laâyoune – (kwa maandishi ya Kimoroko: (El Aaiún, al-'uyūn))
Rais (serikali ya nje) Mohamed Abdelaziz
Waziri mkuu (serikali ya nje) Abdelkader Taleb Oumar
Eneo
- jumla
- % maji

266,000 km²
---
Wakazi
- Jumla
- Wakazi/km²

267,405 (Julai 2004 kadirio)
1/km²
Uhuru
- Imetangazwa
- Imetawaliwa
Kutoka Hispania
27.02.1976
na Moroko
Pesa Dirham ya Moroko Dirham (MAD)
Wakati UTC 0
Wimbo la Taifa Yābaniy Es-Saharā (listen)


Sahara ya Magharibi - Eneo chini ya serikali ya Jahuri ya Sahara ina rangi ya njano
Sahara ya Magharibi - Eneo chini ya serikali ya Jahuri ya Sahara ina rangi ya njano

Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu ni jina la dola ambalo liko hasa nje ya eneo lake la Sahara ya Magharibi. Serikali yake inatawala kanda la mashariki ya nchi nje ya ukuta wa kimaroko na makambi ya wakimzi 155,000 ndani ya Algeria. Jamhuri ilitangazwa na Polisario mwaka 1976 baada ya kuodoka kwa Hispania katika koloni yake ya awali. Lakini sehmu kubwa ya eneo ilivamiwa na Maroko.

Serikali iko mkononi mwa Polisario. Rais ya Jamhuri ni Katibu Mkuu wa Polisario Mohamed Abdelaziz. Nchi 53 zimekubali Jamhuri.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia