Paulo Diakono

From Wikipedia

Paulo Diakono (takriban 720 hadi 797) alikuwa mwanahistoria aliyetoka kabila la Walangobardi. Kati ya miaka 782 na 787 aliishi ikuluni mwa mfalme Karoli Mashuhuri. Aliandika historia ya maaskofu wa mji wa Metz, historia ya Walangobardi, na wasifu ya maisha ya Papa Gregori I.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Paulo Diakono" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Paulo Diakono kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.