Uyui

From Wikipedia

Wilaya Uyui ni wilaya moja ya Mkoa wa Tabora. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 282,272 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Uyui" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Uyui kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine