Kibena

From Wikipedia

Kibena ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wabena.

[edit] Mfumo wa Sauti (Fonolojia)

Lugha ya Kibena ina irabu 5 na konsonanti 23. Pia, tofauti kati ya irabu fupi na irabu ndefu huleta tofauti za maana.

[edit] Viungo vya nje

[edit] Marejeo

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Priebusch, Martin. 1935. Bena-Hehe-Grammatik. Berlin: Kommissionsverlag der Buchhandlung der Berliner Missionsgesellschaft.
  • Sowa, R. von. 1900. Skizze der Grammatik des Ki-Bena (Ki-Hehe) in Deutsch-Ostafrika. Zeitschrift für afrikanische und oceanische Sprachen, 5, uk. 63-75.
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kibena" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kibena kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.