Nicolaas Bloembergen
From Wikipedia
Nicolaas Bloembergen (amezaliwa 11 Machi, 1920) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Mwaka wa 1958 alikata uraia wa Marekani. Hasa alichunguza mnururisho na usumaku wa kiini cha atomu. Mwaka wa 1981, pamoja na Arthur Schawlow na Kai Siegbahn alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.