Pablo Neruda

From Wikipedia

Pablo Neruda (12 Julai, 190423 Septemba, 1973) alikuwa mwanasiasa na mshairi kutoka nchi ya Chile. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Neftalí Ricardo Reyes Basoalto. Alikuwa balozi wa nchi yake katika nchi mbalimbali za Asia, Ulaya na Amerika ya Kusini. Mwaka wa 1971 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Pablo Neruda" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Pablo Neruda kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.