John Lennon

From Wikipedia

John Lennon (9 Oktoba, 19408 Desemba, 1980) alikuwa mmojawapo wa wanamuziki wanne wa bendi moja hodari iliyoitwa "The Beatles". Yeye alikuwa Mwingereza. Mke wake alikuwa Yoko Ono. Aliuawa kwa kupigwa risasi mlangoni mwa nyumbani kwake akiwa na umri wa miaka 40 tu.

[edit] Viungo vya Nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Lennon" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Lennon kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine