Cote d'Ivoire

From Wikipedia

République de Côte d'Ivoire
Republic of Côte d'Ivoire
Flag of Côte d'Ivoire Nembo ya Côte d'Ivoire
Bendera Nembo
Wito la taifa: (tafsiri) Umoja, Nidhamu, Kazi
Wimbo wa taifa: L'Abidjanaise
Lokeshen ya Côte d'Ivoire
Mji mkuu Yamoussoukro (rasmi)
Abidjan (hali halisi)
6°51′ N 5°18′ W
Mji mkubwa nchini Abidjan
Lugha rasmi Kifaransa
Serikali
Rais
Jamhuri
Laurent Gbagbo
Uhuru
Tarehe
Agosti 7, 1960
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
322,460 km² (ya 67)
1.4%
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - 1988 sensa
 - Msongamano wa watu
 
18,154,000 ¹ (ya 57)
10,815,694
54/km² (ya 118)
Fedha CFA franc (XOF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC+0)
haifuatwi (UTC+0)
Intaneti TLD .ci
Kodi ya simu +225

Côte d'Ivoire (tamka: kot divwar; kifar.: "Pwani la pembe za ndovu") (Kisw. pia: Kodivaa), kwa Kiingereza Ivory Coast ni nchi ya Afrika ya Magharibi. Imepakana na Liberia na Guinea upande wa magharibi, Mali na Burkina Faso kaskazini, Ghana kwenye mashariki na Ghuba ya Guinea ya Atlantiki upande wa kusini.

Iliwahi kuwa kati ya nchi tajiri zaidi za Afrika lakini tangu mwaka 2002 uchumi na hali ya maisha zimeharibika kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Ramani ya Côte d'Ivoire
Ramani ya Côte d'Ivoire

[edit] Viungo vya nje

Serikali

Habari

Overviews

Orodha

Utalii

Mengineyo



Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Cote d'Ivoire" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Cote d'Ivoire kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.