Bukoba (mji)

From Wikipedia

Bukoba ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bukoba (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bukoba (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine