Valentin Weigel
From Wikipedia
Valentin Weigel (7 Agosti, 1533 – 10 Juni, 1588) alikuwa mwanateolojia wa Kiprotestanti kutoka nchi ya Ujerumani. Jina lake pia liliandikwa Weichel. Alitunga maandiko mengi yaliyoathiriwa na uchaji wa kutafakari sana habari za Mungu.