Basil wa Caesarea
From Wikipedia
Basil wa Caesarea (takriban 329 – 1 Januari, 379) alikuwa askofu katika mji wa Caesarea. Alitangazwa kuwa mtakatifu punde baada ya kifo chake. Sikukuu yake ni 2 Januari.
Basil wa Caesarea (takriban 329 – 1 Januari, 379) alikuwa askofu katika mji wa Caesarea. Alitangazwa kuwa mtakatifu punde baada ya kifo chake. Sikukuu yake ni 2 Januari.