Ben Mottelson

From Wikipedia

Ben Roy Mottelson (amezaliwa 9 Julai, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Baadaye alihamia na kukata uraia wa Denmark. Hasa alichunguza nadharia ya atomu na kugundua mfumo isopacha (kwa Kiingereza asymmetrical shapes) wa kiini cha atomu. Mwaka wa 1975, pamoja na Aage Bohr na James Rainwater alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ben Mottelson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ben Mottelson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine